mtuhumiwa wa mauaji nchini uingereza apandishwa kizimbani mahakama ya kisutu jijini Dar es salaam leo
Mtanzania mwenye asili ya Kiarabu, Sammy al Mahri, aishiye Uingereza akiwa chini ya ulinzi wa polisi, wakati akipelekwa kizimbani katika mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu jijini Dar es Salaam,leo, kusomewa mashitaka ya kumuua mpenzi wake nchini Uingereza. Mahri anadaiwa kukimbilia Tanzania baada ya kufanya mauaji hayo. Picha na Khamis Mussa
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWALIOSAMBAZA MATOKEO YA URAIS KINYUME CHA SHERIA WAPANDISHWA KIZIMBANI MAHAKAMA YA KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
CloudsFM31 Dec
10 years ago
Dewji Blog28 Oct
Waliosambaza matokeo ya Urais kinyume cha sheria wapandishwa kizimbani Mahakama ya Kisutu jijini Dar
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe...
11 years ago
Michuzi
mwenendo wa kesi ya mauaji ya bila kukusudia ya lulu michael mahakama kuu jijini dar es salaam leo

10 years ago
VijimamboASKOFU GWAJIMA AFIKISHWA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM

9 years ago
MichuziMBUNGE WA JIMBO LA UBUNGO, SAID KUBENEA AFIKISHWA MAHAKAMA YA KISUTU JIJINI DAR LEO.
11 years ago
GPLCHIDI BENZ APANDISHWA KIZIMBANI KISUTU
Msanii wa Hip Hop, Rashid Makwiro 'Chid Benz' akiwa chini ya ulinzi akipelekwa kizimbani katika Mahakama ya Kisutu leo. ...Akielekea kwenye 'karandinga' tayari kwa safari ya Segerea.…
11 years ago
Michuzi
CHID BENZ APANDISHWA KIZIMBANI JIJINI DAR LEO KWA SHITAKA LA KUKUTWA NA DAWA ZA KULEVYA,AKOSA DHAMANA, KESI YAKE KUTAJWA TENA NOVEMBA 11

Chid Benz amefikishwa mapema leo saa 3:00 asubuhi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kusomewa mashitaka yake. Saa 7:50 mchana alifikishwa mbele ya...
5 years ago
MichuziMTUHUMIWA WA MAUJI YA BINTI WA KAZI APANDISHWA KIZIMBANI
Mkami Zakaria (30)mtuhumiwa wa mauaji ya binti wa kazi eneo la Elkuirei wilayani Arumeru akiingizwa mahakamani chini ya Askari kanzu wa kike kwenye mahakama ya hakimu mfawidhi wilaya hiyo leo Gari iliyombeba mtuhumiwa wa mauaji ikitoka nje ya mahakama ya hakimu mfawidhi wilaya ya Arumeru picha zote na
Na Vero Ignatus Arusha
Taharuki imetanda kwenye mahakama ya hakimu mkazi Arumeru wakati mtuhumiwa wa mauaji ya binti wa kazi Mkami Shirima baada ya kufikishwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania