MTUHUMIWA WA MAUJI YA BINTI WA KAZI APANDISHWA KIZIMBANI
Mkami Zakaria (30)mtuhumiwa wa mauaji ya binti wa kazi eneo la Elkuirei wilayani Arumeru akiingizwa mahakamani chini ya Askari kanzu wa kike kwenye mahakama ya hakimu mfawidhi wilaya hiyo leo Gari iliyombeba mtuhumiwa wa mauaji ikitoka nje ya mahakama ya hakimu mfawidhi wilaya ya Arumeru picha zote na
Na Vero Ignatus Arusha
Taharuki imetanda kwenye mahakama ya hakimu mkazi Arumeru wakati mtuhumiwa wa mauaji ya binti wa kazi Mkami Shirima baada ya kufikishwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzimtuhumiwa wa mauaji nchini uingereza apandishwa kizimbani mahakama ya kisutu jijini Dar es salaam leo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JwljluxxjSY/XnxdytJg3TI/AAAAAAAAI28/S4tUS1___xke5qsSadGjkIN8VGdBmU5bACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200326_100557_001.jpg)
MSHUKIWA WA MAUAJI YA BINTI WA KAZI KIZIMBANI KWA KESI YA MAUAJI NA MADAWA YA KULEVYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JwljluxxjSY/XnxdytJg3TI/AAAAAAAAI28/S4tUS1___xke5qsSadGjkIN8VGdBmU5bACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200326_100557_001.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-BL7ffa8fjoc/Xnxd-8PWteI/AAAAAAAAI3A/rPPCQICNfIMspYar5UxMxC29Jk4Xe-JYwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200326_101415_806.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-j0lTGQFCnYo/XnylgUVdMQI/AAAAAAAAI3g/4jj4AoCrXuE8KdlcgYiEGDqvsdWTDT8pQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200326_100557_001.jpg)
10 years ago
GPLSLIM APANDISHWA KIZIMBANI
11 years ago
Mtanzania06 Aug
Mansour apandishwa kizimbani
![Aliyekuwa Mwakilishi wa Kiembe Samaki, Mansour Yusuf Himid](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Mansour-Yusuf-Himid.jpeg)
Aliyekuwa Mwakilishi wa Kiembe Samaki, Mansour Yusuf Himid
Na Is-haka Omar, Zanzibar
ALIYEKUWA Mwakilishi wa Kiembe Samaki, Mansour Yussuf Himid, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mkoa Vuga, akituhumiwa kutenda makosa matatu likiwemo la kukutwa na silaha pamoja na risasi kinyume cha sheria.
Akimsomewa mashitaka hayo jana mbele ya Hakimu Khamis Ramadhani, Mwendesha mashtaka wa Serikali, Maulid Ali, alisema Agosti 2, mwaka huu saa 7:18 katika eneo la Chukwani mjini Unguja, ...
11 years ago
Habarileo20 May
Ofisa NHIF apandishwa kizimbani
OFISA wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Godius Masilango, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashitaka ya kusababisha hasara ya Sh milioni 51.
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Mkosamali apandishwa kizimbani Kigoma
11 years ago
Mwananchi19 Jan
‘Muuaji’ wa Dk Mvungi apandishwa kizimbani
10 years ago
MichuziMkurugenzi Mkuu wa ZBC apandishwa kizimbani
MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC) Hassan Abdalla Mitawi amefikishwa mahakamani kwa makosa kadhaa ikiwemo kosa la matumizi mabaya ya ofisi na ukwepaji kodi.
Mkurugenzi huyo alipanda kizimbani majira ya saa 5 asubuhi juzi katika mahakama ya mkoa Vuga, mbele ya Hakimu Ali Ameir.
Akisoma mashitaka mbele ya hakimu huyo, Muendesha mashtaka Abdalla Issa Mgongo, alisema mshitakiwa huyo amefikishwa mbele ya mahakama hiyo akiwa na mashitaka mawili.
Alisema kosa la kwanza...
10 years ago
Dewji Blog17 Dec
Mbunge wa Arumeru Mashariki apandishwa kizimbani
Mbunge wa jimbo la Arumeru mashariki Joshua Nasari ,(CHADEMA).
Na Mahmoud Ahmad, Arusha
MBUNGE wa jimbo la Arumeru mashariki Joshua Nasari ,(CHADEMA)anatarajiwa kufikishwa mahakamani leo kutokana na kutumia silaha na kisha kumteka mtendaji wa kata ya Makiba, na kuchoma bendera za chama cha Mapinduzi katika maeneo mbalimbali wilayani Meru.
Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Arusha Liberatus Sabas, amesema tukio hilo limetokea Desemba 14 mwaka huu wakati mbunge huyo alipokuwa akifuatilia...