Mkurugenzi Mkuu wa ZBC apandishwa kizimbani
MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC) Hassan Abdalla Mitawi amefikishwa mahakamani kwa makosa kadhaa ikiwemo kosa la matumizi mabaya ya ofisi na ukwepaji kodi.
Mkurugenzi huyo alipanda kizimbani majira ya saa 5 asubuhi juzi katika mahakama ya mkoa Vuga, mbele ya Hakimu Ali Ameir.
Akisoma mashitaka mbele ya hakimu huyo, Muendesha mashtaka Abdalla Issa Mgongo, alisema mshitakiwa huyo amefikishwa mbele ya mahakama hiyo akiwa na mashitaka mawili.
Alisema kosa la kwanza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Mkurugenzi wa ZBC apandishwa kizimbani Zanzibar
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-k9tNhOuNGs0/VTdLuarrReI/AAAAAAAHSc4/0OcVIZhiN4Y/s72-c/6621067.png)
NEWS ALERT: KAFULILA APANDISHWA KIZIMBANI KWA KUMTUKANA MKUU WA WILAYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-k9tNhOuNGs0/VTdLuarrReI/AAAAAAAHSc4/0OcVIZhiN4Y/s1600/6621067.png)
MBUNGE wa Jimbo la Kigoma Kusini Mhe. David Kafulila amepandishwa kizimbani katika mahakama ya Wilaya ya Kigoma kujibu shitaka la kutumia lugha ya matumisi dhidi ya Mkuu wa Wilaya Uvinza Khadija Nyembo.
Kafulila alifikishwa mahakamani hapo majira ya saa mbili asubuhi akiwa chini ya ulinzi mkali wa polisi.
Mbele ya Hakimu David Ngunyale,Wakili wa Serekali Marysinta Lazaro alidai kuwa Kafulila alitenda kosa hilo tarehe 1 mwezi wa 8 mwaka 2013 katika kata...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-us5MelaC8Lk/VDwrCg8AUKI/AAAAAAAGp9s/3TvtXdGzIFA/s72-c/unnamed.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora wapandishwa kizimbani Baraza la Maadili.
![](http://4.bp.blogspot.com/-us5MelaC8Lk/VDwrCg8AUKI/AAAAAAAGp9s/3TvtXdGzIFA/s1600/unnamed.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Mrisho Mashaka Gambo leo amefikishwa mbele ya Baraza la Maadili ili kujibu tuhuma...
10 years ago
GPLSLIM APANDISHWA KIZIMBANI
11 years ago
Mtanzania06 Aug
Mansour apandishwa kizimbani
![Aliyekuwa Mwakilishi wa Kiembe Samaki, Mansour Yusuf Himid](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Mansour-Yusuf-Himid.jpeg)
Aliyekuwa Mwakilishi wa Kiembe Samaki, Mansour Yusuf Himid
Na Is-haka Omar, Zanzibar
ALIYEKUWA Mwakilishi wa Kiembe Samaki, Mansour Yussuf Himid, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mkoa Vuga, akituhumiwa kutenda makosa matatu likiwemo la kukutwa na silaha pamoja na risasi kinyume cha sheria.
Akimsomewa mashitaka hayo jana mbele ya Hakimu Khamis Ramadhani, Mwendesha mashtaka wa Serikali, Maulid Ali, alisema Agosti 2, mwaka huu saa 7:18 katika eneo la Chukwani mjini Unguja, ...
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Mkosamali apandishwa kizimbani Kigoma
11 years ago
Habarileo20 May
Ofisa NHIF apandishwa kizimbani
OFISA wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Godius Masilango, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashitaka ya kusababisha hasara ya Sh milioni 51.
11 years ago
Mwananchi19 Jan
‘Muuaji’ wa Dk Mvungi apandishwa kizimbani
10 years ago
Dewji Blog17 Dec
Mbunge wa Arumeru Mashariki apandishwa kizimbani
Mbunge wa jimbo la Arumeru mashariki Joshua Nasari ,(CHADEMA).
Na Mahmoud Ahmad, Arusha
MBUNGE wa jimbo la Arumeru mashariki Joshua Nasari ,(CHADEMA)anatarajiwa kufikishwa mahakamani leo kutokana na kutumia silaha na kisha kumteka mtendaji wa kata ya Makiba, na kuchoma bendera za chama cha Mapinduzi katika maeneo mbalimbali wilayani Meru.
Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Arusha Liberatus Sabas, amesema tukio hilo limetokea Desemba 14 mwaka huu wakati mbunge huyo alipokuwa akifuatilia...