Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkurugenzi Mkuu wa ZBC apandishwa kizimbani


MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC) Hassan Abdalla Mitawi amefikishwa mahakamani kwa makosa kadhaa ikiwemo kosa la matumizi mabaya ya ofisi  na ukwepaji kodi. 

Mkurugenzi huyo alipanda kizimbani majira ya saa 5 asubuhi juzi katika mahakama ya mkoa Vuga, mbele ya Hakimu Ali Ameir.  
Akisoma mashitaka mbele ya hakimu huyo, Muendesha mashtaka Abdalla Issa Mgongo, alisema mshitakiwa huyo amefikishwa mbele ya mahakama hiyo akiwa na mashitaka mawili.
Alisema kosa la kwanza...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mkurugenzi wa ZBC apandishwa kizimbani Zanzibar

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC), Hassan Abdalla Mitawi amefikishwa mahakamani kwa kosa la matumizi mabaya ya ofisi na ukwepaji kodi.

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: KAFULILA APANDISHWA KIZIMBANI KWA KUMTUKANA MKUU WA WILAYA

Na Editha Karlo wa Globu ya Jamii,Kigoma
MBUNGE wa Jimbo la Kigoma Kusini Mhe. David Kafulila amepandishwa kizimbani katika mahakama ya Wilaya ya Kigoma kujibu shitaka la kutumia lugha ya matumisi dhidi ya Mkuu wa Wilaya Uvinza Khadija Nyembo.
Kafulila alifikishwa mahakamani hapo majira ya saa mbili asubuhi akiwa chini ya ulinzi mkali wa polisi.
Mbele ya Hakimu David Ngunyale,Wakili wa Serekali Marysinta Lazaro alidai kuwa Kafulila alitenda kosa hilo tarehe 1 mwezi wa 8 mwaka 2013 katika kata...

 

10 years ago

Michuzi

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora wapandishwa kizimbani Baraza la Maadili.

Mwenyekiti wa Baraza la Maadili Mhe. Balozi Jaji (Mst.) Hamisi Msumi katikati akiwa na Wajumbe wa Baraza hilo Bibi Selina Wambura kushoto na Bibi Hilda Gondwe kulia kabla ya kuanza kusikiliza Mashauri ya ukiukwaji wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma yaliyowasilishwa na Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma.Na Ally Mataula, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma.
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Mrisho  Mashaka Gambo leo amefikishwa mbele ya Baraza la Maadili ili kujibu tuhuma...

 

10 years ago

GPL

SLIM APANDISHWA KIZIMBANI

Msanii wa filamu nchini, Salim Omary ‘Slim’. Na Gladness Mallya/Ijumaa Wikienda BAADA ya ndoa kuvunjika, msanii wa filamu nchini, Salim Omary ‘Slim’ amedaiwa kupandishwa mahakamani baada ya mkewe, Asia kudai talaka. Chanzo makini kilisema kwamba, Slim alipandishwa kizimbani Jumatatu wiki hii katika Mahakama ya Mwanzo-Magomeni jijini Dar kwa madai ya talaka. Baada ya kuzipata habari hizo gazeti hili...

 

11 years ago

Mtanzania

Mansour apandishwa kizimbani

Aliyekuwa Mwakilishi wa Kiembe Samaki, Mansour Yusuf Himid

Aliyekuwa Mwakilishi wa Kiembe Samaki, Mansour Yusuf Himid

Na Is-haka Omar, Zanzibar

ALIYEKUWA Mwakilishi wa Kiembe Samaki, Mansour Yussuf Himid, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mkoa Vuga, akituhumiwa kutenda makosa matatu likiwemo la kukutwa na silaha pamoja na risasi kinyume cha sheria.

Akimsomewa mashitaka hayo jana  mbele ya Hakimu Khamis Ramadhani,  Mwendesha mashtaka wa Serikali,  Maulid Ali,  alisema Agosti 2, mwaka huu saa 7:18 katika eneo la Chukwani mjini Unguja, ...

 

10 years ago

Mwananchi

Mkosamali apandishwa kizimbani Kigoma

Mbunge wa Jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma, Felix Mkosamali amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kibondo akikabiliwa na shtaka la kumzuia karani mwandikishaji kufanya kazi yake.

 

11 years ago

Habarileo

Ofisa NHIF apandishwa kizimbani

OFISA wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Godius Masilango, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashitaka ya kusababisha hasara ya Sh milioni 51.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Muuaji’ wa Dk Mvungi apandishwa kizimbani

Mshtakiwa George Mulungu (28) mkazi wa Vingunguti amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa shtaka la kumuua kwa kukusudia aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Sengondo Mvungi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mbunge wa Arumeru Mashariki apandishwa kizimbani

IMG_4856

Mbunge wa jimbo la Arumeru mashariki Joshua Nasari ,(CHADEMA).

Na Mahmoud Ahmad, Arusha

MBUNGE wa jimbo la Arumeru mashariki Joshua Nasari ,(CHADEMA)anatarajiwa kufikishwa  mahakamani leo kutokana na kutumia silaha na kisha kumteka mtendaji wa kata ya Makiba, na kuchoma bendera za chama cha Mapinduzi katika maeneo mbalimbali  wilayani Meru.

Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Arusha Liberatus Sabas, amesema tukio hilo limetokea Desemba 14 mwaka huu  wakati mbunge huyo alipokuwa akifuatilia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani