Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora wapandishwa kizimbani Baraza la Maadili.

Mwenyekiti wa Baraza la Maadili Mhe. Balozi Jaji (Mst.) Hamisi Msumi katikati akiwa na Wajumbe wa Baraza hilo Bibi Selina Wambura kushoto na Bibi Hilda Gondwe kulia kabla ya kuanza kusikiliza Mashauri ya ukiukwaji wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma yaliyowasilishwa na Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma.Na Ally Mataula, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma.
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Mrisho Mashaka Gambo leo amefikishwa mbele ya Baraza la Maadili ili kujibu tuhuma...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
Mashahidi walieleza Baraza la Maadili jinsi Mkuu wa Wilaya ya Korogwe alivyokiuka Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma.
10 years ago
VijimamboTAKUKURU YAMKINGIA KIFUA MKURUGENZI WA MANISPAA YA TABORA MBELE YA BARAZA LA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA
Na Dotto Mwaibale
KAMANDA wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Wilaya ya Mkuranga, Damas...
11 years ago
Michuzi.jpg)
Meya Manispaa ya Tabora apandishwa kizimbani Baraza la Maadili kwa matumizi mabaya ya madaraka na kutoa Tamko la uongo la mali zake.
11 years ago
Michuzi.jpg)
News Alert: Baraza la Maadili latoa amri ya kukamatwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe
Baraza la Maadili limetoa amri ya kukamatwa mara moja Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Mrisho Gambo kwa kukaidi wito wa kufika mbele ya Baraza hilo kujibu tuhuma zinazomkabili.
Akizungumza baada ya kuahirisha kikao cha Baraza hilo lililoanza vikao vyake tarehe 9/10/2014, Mwenyekiti wa Baraza la Maadili Mhe Balozi Jaji (Mst.) Hamisi Msumi alisema kuwa amri hiyo imetolewa kwa mujibu wa fungu la 24 (4) la Sheria ya Maadili ...
11 years ago
Michuzi.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe ajisalimisha kwenye Baraza la Maadili na kupewa onyo, Nchambi apewa nafasi kufika kikao
Wakati Vikao vya Baraza la Maadili vikiendelea siku yake ya pili kusikiliza mashauri ya ukiukwaji wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma Na. 13 ya 1995, Baraza hilo likiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Balozi Jaji (Mst.) Hamisi Msumi limetoa onyo kwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Mrisho Gambo kwa kukaidi wito wa kufika mbele ya Baraza hilo kujibu tuhuma zinazomkabili.
Kwa mujibu wa maelezo kutoka kwa Mwanasheria wa Sekretarieti...
10 years ago
Mtanzania23 Jan
DC, mkurugenzi wapandishwa kizimbani
NA VICTOR BARIETY, GEITA TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imewapandisha kizimbazi katika Mahakama ya Wilaya ya Chato, Mkuu wa Wilaya ya Uvinza, Hadija Nyembo na aliyekuwa Mkurugenzi wa Wilaya ya Chato, Hamida Kwikega, kwa tuhuma za upotevu wa Sh bilioni 1.4 za pembejeo za kilimo zilizotolewa na Serikali kupitia Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika. Mbali na viongozi hao, wengine waliofikishwa mahakamani hapo jana ni Ofisa Kilimo na Mifugo wa Wilaya ya Chato, Phares...
11 years ago
GPL
MKURUGENZI WA ZAMANI WA TANESCO, MKEWE WAPANDISHWA KIZIMBANI
11 years ago
Michuzi17 Jun
NEWS ALERT: SHEKHE WA MKOA WA TABORA NA WAUMINI WATANO WAPANDISHWA KIZIMBANI
10 years ago
Michuzi.jpg)
Meya wa Halmashauri ya Tabora, Gulam Dewji akijitetea mbele ya Baraza la Maadili jijini Dar es Salaam leo.
.jpg)
.jpg)
.jpg)