DC, mkurugenzi wapandishwa kizimbani
NA VICTOR BARIETY, GEITA TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imewapandisha kizimbazi katika Mahakama ya Wilaya ya Chato, Mkuu wa Wilaya ya Uvinza, Hadija Nyembo na aliyekuwa Mkurugenzi wa Wilaya ya Chato, Hamida Kwikega, kwa tuhuma za upotevu wa Sh bilioni 1.4 za pembejeo za kilimo zilizotolewa na Serikali kupitia Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika. Mbali na viongozi hao, wengine waliofikishwa mahakamani hapo jana ni Ofisa Kilimo na Mifugo wa Wilaya ya Chato, Phares...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*o1BjZKmwQRemORlPUVyPv-gvs6Pa05BP8AXDd0YzW9is1dHiVE7e-Krh4P3m-2roMuEZcY0zMZdPmjmah42EGN/1.jpg?width=650)
MKURUGENZI WA ZAMANI WA TANESCO, MKEWE WAPANDISHWA KIZIMBANI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-us5MelaC8Lk/VDwrCg8AUKI/AAAAAAAGp9s/3TvtXdGzIFA/s72-c/unnamed.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora wapandishwa kizimbani Baraza la Maadili.
![](http://4.bp.blogspot.com/-us5MelaC8Lk/VDwrCg8AUKI/AAAAAAAGp9s/3TvtXdGzIFA/s1600/unnamed.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Mrisho Mashaka Gambo leo amefikishwa mbele ya Baraza la Maadili ili kujibu tuhuma...
11 years ago
Mwananchi04 Apr
Kigwangwalla, wenzake wapandishwa kizimbani
10 years ago
Uhuru NewspaperKibonde, Gardner wapandishwa kizimbani
NA JESSICA KILEO
WATANGAZAJI wawili, akiwemo Ephraim Kibonde wa Kituo cha Redio cha Clouds, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, kujibu mashitaka mawili, likiwemo la kumtukana ofisa wa polisi.
Kibonde (42) na Gardner Habash (41), walifikishwa mahakamani hapo jana na kupandishwa kizimbani mbele ya Hakimu Mfawidhi, Anicieta Wambura.
Wakili wa Serikali Salum Ahamed, alidai kuwa Agosti 9, mwaka huu, katika Kituo cha Polisi cha Oysterbay, wilayani Kinondoni, washitakiwa...
10 years ago
Uhuru Newspaper29 Jan
Wafuasi 30 wa CUF wapandishwa kizimbani
NA FURAHA OMARY
WAFUASI 30 wa Chama cha CUF, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka matatu, likiwemo la kufanya mgomo baada ya kukatazwa kukusanyika na kuandamana.
Washitakiwa hao walisomewa mashitaka hayo jana mbele ya Hakimu Mkazi, Emmilius Mchauru na kupelekwa rumande katika gereza la Segerea, kutokana na barua za wadhamini kutakiwa kuhakikiwa.
Kwa mujibu wa hati ya mashitaka, washitakiwa hao ni Shabani Ngurangwa (56), Shabani Tano au...
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Raia wa Vietnam wapandishwa kizimbani
WATU watatu raia wa Vietnam wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi kwa tuhuma za kuingia kwenye makazi ya wakimbizi ya Katumba, Wilaya ya Mlele, mkoani...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm5XPNW46hzfwV*Vxeu4FsXKb88EO2QwmkeTPvEJU5sTxgBbk-mmddZp*OB9mjIOlVmP9ZqXHmxXU4wD5YCYOov0/IMG20140801WA0008.jpg?width=650)
WATUHUMIWA 19 WA UGAIDI WAPANDISHWA KIZIMBANI JIJINI ARUSHA
11 years ago
Mwananchi24 Jul
SHERIA: Watu sita wapandishwa kizimbani kwa ugaidi
9 years ago
StarTV29 Dec
Askari Waliodaiwa kuuwa sinza wapandishwa kizimbani Dar
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imewapandisha kizimbani Askari sita wa Kikosi Maalum cha kudhibiti na kupambana na ujangili wakikabiliwa na tuhuma za makosa mawili ya mauaji.
Katika kesi hiyo inayosikilizwa na Hakimu Mkazi Thomas Simba wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu inadaiwa Askari hao kwa pamoja walifanya mauaji hayo ya wafanyabiashara Yasin Rajab Rashid na Samson Michael ‘Ngosha’ tukio lililofanyika Dar es Salaam.
Katika kesi hiyo ambayo ilionekana kuendeshwa kwa...