Dk. Slaa apanda kizimbani
Na Mwandishi Wetu, Hai
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbroad Slaa, amepanda kizimbani na kutoa ushahidi katika kesi utapeli dhidi ya mtu aliyetumia jina la Jaji Mkuu Mstaafu, Barnabas Samatta.
Katika kesi hiyo namba 117, Dk. Slaa ni shahidi wa nane na alisema kuwa mke wake, Josephine Mushumbuzi, ndiye aliyemsaidia kumgundua mtu aliyejaribu kumtapeli kwa kutumia jina la Jaji Samatta.
Alikuwa akituoa ushahidi jana katika Mahakama ya Hakimu Mfawidhi wa Wilaya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Naibu Meya apanda kizimbani
NAIBU Meya wa Jiji la Arusha, Prosper Msofe na Diwani wa Kata ya Levelos, Ephata Nanyaro, wote kutoka CHADEMA, wamefikishwa mahakamani kwa kosa la kumshambulia mgambo wa jiji, William Mollel....
10 years ago
Habarileo18 Apr
Gwajima apanda kizimbani Kisutu
HATIMAYE Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima (45), amepanda katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashitaka mawili, ikiwemo la kutumia lugha ya matusi dhidi ya Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam la Kanisa Katoliki, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo.
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Lema naye ‘apanda kizimbani’ Hai
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Sheikh Farid apanda kizimbani Kisutu
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Jaji Mkuu mstaafu ‘apanda kizimbani’
9 years ago
Mwananchi22 Oct
Masha apanda kizimbani, apata dhamana
11 years ago
Mwananchi28 May
Bibi wa ‘unga’ asomewa shtaka, apanda kizimbani
10 years ago
Bongo528 Oct
Chidi Benz apanda kizimbani, arejeshwa rumande hadi Nov 11
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Mbowe apanda kizimbani Himo, aiomba Mahakama ifute kesi