Chidi Benz kurudi tena mahakamani January 15
Hatma ya rapper Chidi Benz kuhusiana na kama ataachia huru au kufungwa jela kutokana na mashtaka matatu yanayomkabili kufuatia kukamatwa na madawa ya kulevya, haikuweza kujulikana Alhamis hii baada ya kupanda tena kizimbani kwenye mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam. Chidi amepangwa kurejea tena mahakamani hapo January 15, 2015. Juzi rapper huyo alikuwa na […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLCHIDI BENZ APANDISHWA KIZIMBANI KISUTU
10 years ago
Bongo524 Oct
Chidi Benz akamatwa na dawa za kulevya airport
10 years ago
CloudsFM07 Nov
CHIDI BENZ KUACHIA ALBUM YA PAMOJA NA FID Q
Tasnia ya muziki wa kizazi kipya sasa hivi inasubiria kwa hamu album ya pamoja ya wasanii wakubwa wa hip hop ndani ya Afrika Mashariki, album kati ya Chidi Benz na Fid Q.
Sasa hivi Chidi Benz ana zaidi ya wiki uraiani baada ya kukaa zaidi ya siku nne nyuma ya nondo, alisema kuwa bado hawajaanza kurekodi lakini muda si mrefu wataanza kurekodi na anaamini itakuwa ni bonge la albam mashabiki wakae tayari.
10 years ago
Bongo511 Nov
‘Niombeeni’ — asema Chidi Benz, kupanda kizimbani leo
10 years ago
Bongo529 Oct
Chidi Benz apata dhamana baada ya kutimiza masharti
10 years ago
Bongo528 Nov
Chidi Benz azungumzia kesi yake na video ya ‘Mpaka Kuchee’
10 years ago
Bongo511 Dec
Huu ni ushauri wa Chidi Benz kuhusiana na suala la Diamond na Davido
10 years ago
Bongo528 Oct
Chidi Benz apanda kizimbani, arejeshwa rumande hadi Nov 11