Chidi Benz azungumzia kesi yake na video ya ‘Mpaka Kuchee’
Rapper Chidi Benz anayekabiliwa na kesi ya kukutwa na madawa ya kulevya, amesema kesi hiyo imeathiri kufanyika kwa video ya wimbo wake ‘Mpaka Kuchee’ aliyowashirikisha Diamond na AY. Chidi alikuwa akiongea na Bongo5 jana kwenye uzinduzi wa video ya Wakazi ‘Wanawake wa Dar’. “Video inakuja, bado sijaanza kufanya mazungumzo na AY wala Diamond ambao nipo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo519 Aug
New Music: Chidi Benz feat Diamond & AY – Mpaka Kuchee
10 years ago
Bongo511 Nov
Kesi ya Chid Benz yasogezwa mbele mpaka December 1
10 years ago
Bongo505 Sep
Mfahamu Maggz: Rapper wa Afrika Kusini anayefanana sura na Chidi Benz (Video)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N9SP9Z4W-DfSV1AcWkWaU2uGjAmmF5oVLG5*ejR0a0gQ1HE8yPrzXlUJ8jHtfds3JsQYu0WNyOPF895opfiJL5b7KZjGy7s2/breakingnews.gif)
KESI YA CHID BENZ YAPIGWA KALENDA MPAKA JANUARI 21 MWAKA HUU
10 years ago
GPLCHIDI BENZ APANDISHWA KIZIMBANI KISUTU
10 years ago
CloudsFM07 Nov
CHIDI BENZ KUACHIA ALBUM YA PAMOJA NA FID Q
Tasnia ya muziki wa kizazi kipya sasa hivi inasubiria kwa hamu album ya pamoja ya wasanii wakubwa wa hip hop ndani ya Afrika Mashariki, album kati ya Chidi Benz na Fid Q.
Sasa hivi Chidi Benz ana zaidi ya wiki uraiani baada ya kukaa zaidi ya siku nne nyuma ya nondo, alisema kuwa bado hawajaanza kurekodi lakini muda si mrefu wataanza kurekodi na anaamini itakuwa ni bonge la albam mashabiki wakae tayari.
10 years ago
Bongo524 Oct
Chidi Benz akamatwa na dawa za kulevya airport
10 years ago
Bongo504 Dec
Chidi Benz kurudi tena mahakamani January 15