Mfahamu Maggz: Rapper wa Afrika Kusini anayefanana sura na Chidi Benz (Video)
Wanasema duniani kuna takriban watu saba wanaofanana sura na wewe. Maggz ni mtu mmoja kati ya watu saba wanaofanana sura na Chidi Benz. Kinachofurahisha zaidi ni kuwa Maggz naye ni rapper mkali anayeheshimika nchini Afrika Kusini. Tazama baadhi ya video zake.
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo528 Nov
Chidi Benz azungumzia kesi yake na video ya ‘Mpaka Kuchee’
10 years ago
Bongo524 Sep
TID afanya kolabo na rapper wa Afrika Kusini, Tumi Molekane
9 years ago
Bongo526 Oct
Rapper Cassper Nyovest wa Afrika Kusini apata deal la kihistoria
9 years ago
Bongo508 Sep
Rapper K.O wa Afrika Kusini kufanya Media & Showcase Tour Tanzania wiki ijayo
10 years ago
GPLCHIDI BENZ APANDISHWA KIZIMBANI KISUTU
10 years ago
CloudsFM07 Nov
CHIDI BENZ KUACHIA ALBUM YA PAMOJA NA FID Q
Tasnia ya muziki wa kizazi kipya sasa hivi inasubiria kwa hamu album ya pamoja ya wasanii wakubwa wa hip hop ndani ya Afrika Mashariki, album kati ya Chidi Benz na Fid Q.
Sasa hivi Chidi Benz ana zaidi ya wiki uraiani baada ya kukaa zaidi ya siku nne nyuma ya nondo, alisema kuwa bado hawajaanza kurekodi lakini muda si mrefu wataanza kurekodi na anaamini itakuwa ni bonge la albam mashabiki wakae tayari.
10 years ago
Bongo504 Dec
Chidi Benz kurudi tena mahakamani January 15
10 years ago
Bongo524 Oct
Chidi Benz akamatwa na dawa za kulevya airport