TID afanya kolabo na rapper wa Afrika Kusini, Tumi Molekane
TID ameingia kwenye studio ya B Records za Dar es Salaam na rapper wa Afrika Kusini, Tumi Molekane. Wimbo waliorekodi unaitwa ‘Bongo’. TID ameiambia Bongo5 kuwa rapper huyo alikuwa na shauku kubwa ya kufanya naye kazi. “Mimi na Tumi tumefanya kazi moja nzuri sana studio jana,” amesema TID. “Tumetoka late sana kama saa kumi hivi. […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo526 Oct
Rapper Cassper Nyovest wa Afrika Kusini apata deal la kihistoria
10 years ago
Bongo505 Sep
Mfahamu Maggz: Rapper wa Afrika Kusini anayefanana sura na Chidi Benz (Video)
10 years ago
BBCSwahili27 Sep
Tumi anaporomosha mistari kutoka A.Kusini
9 years ago
Bongo508 Sep
Rapper K.O wa Afrika Kusini kufanya Media & Showcase Tour Tanzania wiki ijayo
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-P-4dFHAUr28/VXkro6U5r4I/AAAAAAAHel0/_WILQA8kai0/s72-c/01.jpg)
Balozi wa Afrika ya Kusini Nchini Tanzania afanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Rajab Rutengwe amesema Pamoja na kuwa Mkoa wa Morogoro una maeneo makubwa ya ardhi bado maeneo hayo hayajatumika ipasavyo na kushiwishi wawekezaji kuja kuwekeza Mkoani humo katika Sekta ya kilimo, Viwanda na Utalii. Dkt. Rutengwe ameyasema hayo hivi karibuni wakati wa mazungumzo baina yake na Balozi wa Afrika ya Kusini Nchini Tanzania Mhe T. D. Mseleku alipomtembelea Ofsini kwake.
Aidha, alimueleza Balozi Mseleku kuwa eneo ambalo...
9 years ago
Bongo520 Nov
Picha: Lil Ommy wa Times FM afanya ziara kwenye redio za Afrika Kusini, aeleza alichojifunza
![de98d706-c2ab-4594-bc30-a595db645200](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/de98d706-c2ab-4594-bc30-a595db645200-300x194.jpg)
Mtangazaji wa kipindi cha The Playlist cha Times FM, Lil Ommy yupo jijini Johannesburg alikoenda kwenye ziara maalum kujifunza mambo yanayohusiana na redio.
Akiwa huko amezunguka kwenye vituo mbalimbali vya redio na TV vikiwemo vituo vya SABC. Amesema amejifunza mambo mengi kwenye redio na muziki.
“Jamaa wana promote zaidi muziki wao na lugha yao kwenye redio wanachanganya Zulu, wanapenda kujifunza Kiswahili, wanaichukulia kama lugha kubwa ya bara la Afrika ukiachana na Kiingereza kuwa...
9 years ago
Bongo510 Nov
Christian Bella afanya kolabo na Koffi Olomide
![12193444_1655486444698942_6015838084402136083_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12193444_1655486444698942_6015838084402136083_n-300x194.jpg)
Christian Bella ameingia studio na kufanya kolabo na msanii mkongwe DR Congo, Koffi Olomide.
Christian Bella na Koffi wakiwa studio
Kupitia ukurasa wa Instagram wa Bella ameshare picha akiwa na Koffi studio na kuandika: Tumemaliza kurecord audio na koffi olomide asante Mungu.
Bella akiwa na Koffi Olomide
11 years ago
Bongo521 Jul
Star Game meets The Chase: Prezzo afanya kolabo na Feza Kessy