Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TID afanya kolabo na rapper wa Afrika Kusini, Tumi Molekane

TID ameingia kwenye studio ya B Records za Dar es Salaam na rapper wa Afrika Kusini, Tumi Molekane. Wimbo waliorekodi unaitwa ‘Bongo’. TID ameiambia Bongo5 kuwa rapper huyo alikuwa na shauku kubwa ya kufanya naye kazi. “Mimi na Tumi tumefanya kazi moja nzuri sana studio jana,” amesema TID. “Tumetoka late sana kama saa kumi hivi. […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Rapper Cassper Nyovest wa Afrika Kusini apata deal la kihistoria

Rapper wa Afrika Kusini, Refiloe Phoolo maarufu kama Cassper Nyovest amesaini deal la ubalozi kubwa zaidi katika historia ya muziki nchini humo. Welcoming @CassperNyovest to the MTN family! He's officially our new brand ambassador! Fun times ahead! #MTNCassper pic.twitter.com/6eOe0wJhMC — MTN South Africa (@MTNza) October 22, 2015 Rapper huyo amekuwa balozi wa mtandao wa MTN. […]

 

10 years ago

Bongo5

Mfahamu Maggz: Rapper wa Afrika Kusini anayefanana sura na Chidi Benz (Video)

Wanasema duniani kuna takriban watu saba wanaofanana sura na wewe. Maggz ni mtu mmoja kati ya watu saba wanaofanana sura na Chidi Benz. Kinachofurahisha zaidi ni kuwa Maggz naye ni rapper mkali anayeheshimika nchini Afrika Kusini. Tazama baadhi ya video zake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tumi anaporomosha mistari kutoka A.Kusini

Msanii Tumi Molekane amejenga jina lake kama mwimbaji na mtunzi wa mashairi ya kusisimua .Ngoma hii iko katika Album yake Solo ya Rob the Church aliyoitoa Agosti mwaka huu.

 

9 years ago

Bongo5

Rapper K.O wa Afrika Kusini kufanya Media & Showcase Tour Tanzania wiki ijayo

Rapper aliyeshirikishwa kwenye wimbo wa Vanessa Mdee ‘No Body But Me’, K.O kutoka Afrika Kusini anatarajia kuja Tanzania Jumatatu ijayo kwaajili ya ziara ya kuzunguka kwenye vyombo vya habari kwa lengo la kujitangaza zaidi. K.O akiwa na Vanessa K.O ambaye jina lake halisi ni Ntokozo Mdluli atatembelea magazeti, vituo vya Radio na Tv pamoja na […]

 

10 years ago

Michuzi

Balozi wa Afrika ya Kusini Nchini Tanzania afanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro

Na. Andrew Chimesela
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Rajab Rutengwe amesema Pamoja na kuwa Mkoa wa Morogoro una maeneo makubwa ya ardhi bado maeneo hayo hayajatumika ipasavyo na kushiwishi wawekezaji kuja kuwekeza Mkoani humo katika Sekta ya kilimo, Viwanda na Utalii. Dkt. Rutengwe ameyasema hayo hivi karibuni wakati wa mazungumzo baina yake na Balozi wa Afrika ya Kusini Nchini Tanzania Mhe T. D. Mseleku alipomtembelea Ofsini kwake.
Aidha, alimueleza Balozi Mseleku kuwa eneo ambalo...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Lil Ommy wa Times FM afanya ziara kwenye redio za Afrika Kusini, aeleza alichojifunza

de98d706-c2ab-4594-bc30-a595db645200

Mtangazaji wa kipindi cha The Playlist cha Times FM, Lil Ommy yupo jijini Johannesburg alikoenda kwenye ziara maalum kujifunza mambo yanayohusiana na redio.

de98d706-c2ab-4594-bc30-a595db645200

Akiwa huko amezunguka kwenye vituo mbalimbali vya redio na TV vikiwemo vituo vya SABC. Amesema amejifunza mambo mengi kwenye redio na muziki.

d6e355e6-3787-4794-9057-bc71d7af53f0

“Jamaa wana promote zaidi muziki wao na lugha yao kwenye redio wanachanganya Zulu, wanapenda kujifunza Kiswahili, wanaichukulia kama lugha kubwa ya bara la Afrika ukiachana na Kiingereza kuwa...

 

9 years ago

Bongo5

Christian Bella afanya kolabo na Koffi Olomide

12193444_1655486444698942_6015838084402136083_n

Christian Bella ameingia studio na kufanya kolabo na msanii mkongwe DR Congo, Koffi Olomide.

12193444_1655486444698942_6015838084402136083_n
Christian Bella na Koffi wakiwa studio

Kupitia ukurasa wa Instagram wa Bella ameshare picha akiwa na Koffi studio na kuandika: Tumemaliza kurecord audio na koffi olomide asante Mungu.

Bella akiwa na Koffi Olomide
Bella akiwa na Koffi Olomide

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

Bongo5

Star Game meets The Chase: Prezzo afanya kolabo na Feza Kessy

Aliyewahi kuwa mwakilishi wa Kenya kwenye shindano la Big Brother Africa Star Game, Prezzo ameingia studio kurekodi ngoma na mwakilishi wa Tanzania kwenye shindano hilo (The Chase) Feza Kessy. Prezzo amepost picha akiwa na Feza na kuandika: Studio session with @fezakessy new sh*t cming soon. We dnt sleep coz sleeping is the cousin of death […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani