Tumi anaporomosha mistari kutoka A.Kusini
Msanii Tumi Molekane amejenga jina lake kama mwimbaji na mtunzi wa mashairi ya kusisimua .Ngoma hii iko katika Album yake Solo ya Rob the Church aliyoitoa Agosti mwaka huu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo524 Sep
TID afanya kolabo na rapper wa Afrika Kusini, Tumi Molekane
11 years ago
Habarileo17 Jun
'Mabasi UDA lazima yawe na mistari'
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imesisitiza kwamba, mabasi ya Shirika la Usafirishaji Dar es Salaam (UDA) yanatakiwa kupaka rangi kulingana na njia na si kuweka vibao pekee.
9 years ago
BBCSwahili01 Nov
Taylor Swift ashtakiwa kwa kuiba mistari
10 years ago
Bongo Movies03 Aug
Hapa na Pale: Hii ndiyo Mistari ya Nuh Mziwanda Alipokuwa Anamtongoza Wema Sepetu, Utavunja Mbavu
Kwa jinsi teknolojia ilivyokua watu wanapaswa kuwa makini sana kwa simu wanazopiga na maneno wanayoongea
Nuh Mziwanda amejikuta akiumbuka vibaya baada ya Wema Sepetu kuvujisha sauti anayosikika akimtongoza mrembo huyo. Mazungumzo hayo yanachekesha sana hasa kutokana na mistari anayompa Miss Tanzania huyo wa zamani. Haya ni maongezi yaliyofanyika mwezi June (siku moja kabla ya KTMA 2015). Tunafahamu wapo wasioweza kusikiliza clip yote hivyo tumekuandikia mazungumzo hayo.
Nuh Mziwanda: Kuna...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-DJ41OmwyE8s/VHKf3TrZr7I/AAAAAAAATxY/ixXFQeeXX3Y/s72-c/25.jpg)
VIONGOZI WA SPLM KUTOKA SUDANI KUSINI WAMFUATA KINANA MASASI
![](http://2.bp.blogspot.com/-DJ41OmwyE8s/VHKf3TrZr7I/AAAAAAAATxY/ixXFQeeXX3Y/s1600/25.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-01655bEkqO8/VHKf2v2Zv2I/AAAAAAAATxQ/q5I0TpKumUM/s1600/26.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5ScASxO7TXY/VCq67tj-ilI/AAAAAAAGmvk/IMGqw7n1nFw/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
MAAFISA KUTOKA AFRIKA KUSINI WATEMBELEA WIZARA YA NISHATI NA MADINI
Maafisa Wakuu 35 kutoka Chuo cha Ulinzi wa Taifa cha Afrika Kusini (South African National Defence College – NDC), wametembelea Makao Makuu ya Wizara ya Nishati na Madini Septemba 30, 2014 kwa lengo la kujifunza kuhusu Sera ya Tanzania kuhusu vyanzo vya nishati nchini hususan mafuta, gesi, makaa ya mawe na uvumbuzi wa madini mengine na changamoto zake.
Maafisa hao waliongozwa na Mkuu wa Chuo Brigedia Jenerali G.M. Yekelo pamoja na Maafisa kutoka...
11 years ago
MichuziWANDISHI KUTOKA AFRIKA KUSINI WATEMBELEA PORI LA AKIBA LA SELOUS
Kundi la wandshi wa habari tisa kutoka vyombo vya habari vya Serikali na binafsi nchini Afrika Kusini wametembelea Pori la Akiba la Selous na kufurahishwa na vivutio vllivyomo katika pori hilo wakiwemo wanyama kama Simba, tembo, twiga, na ndege wa aina mbali mbali.
Wandishi hao walivutiwa na kufurahia sana kuwaona hasa Simba na tembo kiasi cha miongoni mwao Kulikiri kuwa ni mara yao kwanza kuwaona wanyama hao kwa macho yao wakiwa katika maisha yao ya asili...
10 years ago
Michuziujumbe wa kampuni ya siemens kutoka afrika ya kusini wamtembelea waziri wa uchukuzi