'Mabasi UDA lazima yawe na mistari'
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imesisitiza kwamba, mabasi ya Shirika la Usafirishaji Dar es Salaam (UDA) yanatakiwa kupaka rangi kulingana na njia na si kuweka vibao pekee.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania