Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rapper K.O wa Afrika Kusini kufanya Media & Showcase Tour Tanzania wiki ijayo

Rapper aliyeshirikishwa kwenye wimbo wa Vanessa Mdee ‘No Body But Me’, K.O kutoka Afrika Kusini anatarajia kuja Tanzania Jumatatu ijayo kwaajili ya ziara ya kuzunguka kwenye vyombo vya habari kwa lengo la kujitangaza zaidi. K.O akiwa na Vanessa K.O ambaye jina lake halisi ni Ntokozo Mdluli atatembelea magazeti, vituo vya Radio na Tv pamoja na […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

KUNDI LA PILI LA WATANZANIA WALIOKWAMA AFRIKA KUSINI LINATARAJIWA KUREJEA NYUMBANI MAPEMA WIKI IJAYO

Na Mwandishi wetu, Pretoria


Kundi la pili la Watanzania waliokwama nchini Afrika Kusini kutokana na Lockdown nchini humo iliyosababishwa na ugonjwa wa Corona linatarajia kurejeshwa nchini mwanzoni mwa wiki ijayo mara tu baada ya taratibu za safari hiyo kukamilika, imefahamika.


Kwa mujibu wa ubalozi wa Tanzania nchini humo, jumla ya Watanzania 63 wamekuwa katika harakati za kutaka kurejea nyumbani lakini wamekwama kutokana na changamoto mbalimbali ikiwemo kuchelewa kwa vibali vya kusafiri nje...

 

9 years ago

Bongo5

Rapper Cassper Nyovest wa Afrika Kusini apata deal la kihistoria

Rapper wa Afrika Kusini, Refiloe Phoolo maarufu kama Cassper Nyovest amesaini deal la ubalozi kubwa zaidi katika historia ya muziki nchini humo. Welcoming @CassperNyovest to the MTN family! He's officially our new brand ambassador! Fun times ahead! #MTNCassper pic.twitter.com/6eOe0wJhMC — MTN South Africa (@MTNza) October 22, 2015 Rapper huyo amekuwa balozi wa mtandao wa MTN. […]

 

10 years ago

Bongo5

TID afanya kolabo na rapper wa Afrika Kusini, Tumi Molekane

TID ameingia kwenye studio ya B Records za Dar es Salaam na rapper wa Afrika Kusini, Tumi Molekane. Wimbo waliorekodi unaitwa ‘Bongo’. TID ameiambia Bongo5 kuwa rapper huyo alikuwa na shauku kubwa ya kufanya naye kazi. “Mimi na Tumi tumefanya kazi moja nzuri sana studio jana,” amesema TID. “Tumetoka late sana kama saa kumi hivi. […]

 

10 years ago

Bongo5

Mfahamu Maggz: Rapper wa Afrika Kusini anayefanana sura na Chidi Benz (Video)

Wanasema duniani kuna takriban watu saba wanaofanana sura na wewe. Maggz ni mtu mmoja kati ya watu saba wanaofanana sura na Chidi Benz. Kinachofurahisha zaidi ni kuwa Maggz naye ni rapper mkali anayeheshimika nchini Afrika Kusini. Tazama baadhi ya video zake.

 

10 years ago

Bongo5

Director Godfather wa Afrika Kusini kufanya ziara ya siku 7 Afrika Mashariki na crew yake

Muongozaji wa video, Godfather kutoka Afrika Kusini ambaye ameshafanya kazi na wasanii wengi wa Tanzania wakiwemo Diamond, Ommy Dimpoz, Alikiba, Linah na wengine, anatarajia kufanya ziara ya Afrika mashariki akiwa na crew yake. Katika ziara hiyo ya siku saba itakayoanza mwisho wa mwezi huu wa nne, Godfather amesema atakuwa tayari kufanya video na wasanii wa […]

 

10 years ago

Michuzi

Tanzania one of only 3 African Countries selected to showcase at the International Fashion Showcase London 2015

Tanzanian Designers An-Nisa Abayas, Eve Collections, Jacqueline Kibacha, Nakadhilika-NK and Nau Nuhu presented their 2015 collections during London Fashion Week 20-24th February to international press and the fashion elite in a showcase organized by the British Fashion Council and the British Council. The collections were also launched in a private view at the Tanzanian High Commission. The showcase included designers from nearly 30 countries covering 4 continents with each presenting a...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Afrika kusini kufungwa wiki tatu

Maafisa wa usalama wameenea katika mitaa mbalimbali Afrika Kusini wakati taifa lilipotangaza watu wasitoke nje.

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI WA AFRIKA KUSINI ASHIRIKI KUFANYA USAFI MHIMBILI

 Balozi wa Afrika Kusini hapa nchini, Thami Mseleku akifanya usafi katika Wodi (A) ya Watoto iliyopo katika Taasisi ya Mifupa Muhimbili(MOI),ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela.Muunganishi wa Makazi katika Umoja wa Mataifa,Alvaro Rodriguez (wa kwanza kutoka kushoto),Balozi wa Afrika Kusini nchini,Thami Mseleku (wa pili) wakiwa na baadhi ya wawakilishi wakipokea misaada kwa niaba ya walezi wengine. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa...

 

11 years ago

Michuzi

HOFU YATANDA KWA WASHIRIKI WA SHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS, HUKU WENGINE WAKITAMANI WIKI IJAYO ISIFIKE

Baadhi ya washiriki wa Fainali ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) wakiwa mbele ya Majaji tayari kwa kupewa maoni yao na hatimaye kutaja watakaotoka chomwa na jua la utosi kwa Wiki hii. Kutoka Kulia ni Tishi Abdallah, Katikati ni Mtawa Kapalata na Kushoto ni Joshua Wambura.Anneth Peter (katikati) akiwa mwenye huzuni kubwa kutokana na Mshiriki mwenza kutoka kanda ya Kaskazini Kareb John (hayupo pichani) kutoka kwenye shindano mara baada ya kuchomwa na jua la utosi. Washiriki wawili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani