Afya yangu kwa sasa inaimarika, niombeeni-Pengo
Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema kuwa hali ya afya yake inaendelea kuimarika. na kuwataka waumini kuendelea kumwombea.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9wY6nHswW6HFBni2bNPCoEmAExzOEr3OXzpdvNmgoed1dXL-mji6G3v1hUnn0Aa5j410bAZ9uTZzBgrgUre919Lem9jsnUG/cardinalpengo.jpg?width=650)
AFYA YA PENGO TETE
9 years ago
Habarileo03 Jan
Afya ya Kardinali Pengo yaimarika
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Kardinali Polycarp Pengo aliyelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete anaendelea vizuri na anaweza kuruhusiwa wiki ijayo.
9 years ago
Mwananchi04 Jan
JKCI: Bado tunachunguza afya ya Pengo
9 years ago
Habarileo03 Jan
Naibu waziri afya amtembelea Pengo
NAIBU Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Hamis Kigwangala amemtembelea na kumjulia hali Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/J2SsCM-DCjk/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi08 Feb
Messi: Sasa zamu yangu
10 years ago
Raia Mwema25 Jun
Sasa roho yangu imetulia
WAKATI wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005, Rais Jakaya Kikwete, alivuma sana na alipendwa na watu wen
Privatus Karugendo
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI AMJULIA HALI MUADHAMA KADINALI POLYCARP PENGO ANAYEFANYIWA UCHUNGUZI WA AFYA YAKE MUHIMBILI
10 years ago
VijimamboAskofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo hali ya afya yake inaendelea kuimarika
Na Goodluck Eliona, Mwananchi Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema kuwa hali ya afya yake inaendelea kuimarika. na kuwataka waumini kuendelea kumwombea.Akizungumza kwenye Misa Takatifu ya Mavuno na shukurani kwa jimbo hilo, iliyofanyika jana Msimbazi Center jijini Dar es Salaam, Pengo alisema ameamua kuitumia siku...