AFYA YA PENGO TETE
![](http://api.ning.com:80/files/m9wY6nHswW6HFBni2bNPCoEmAExzOEr3OXzpdvNmgoed1dXL-mji6G3v1hUnn0Aa5j410bAZ9uTZzBgrgUre919Lem9jsnUG/cardinalpengo.jpg?width=650)
Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo, Â HALI ya kiafya ya Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo, 70, aliyeadhimisha miaka 30 ya uaskofu hivi karibuni ni tete. Ilielezwa na baadhi ya watu walio karibu na kiongozi huyo kuwa kutokana na hali yake kuwa tete ilisababisha siku ya maadhimisho hayo Jumatano iliyopita ashindwe kushiriki katika maandamano ambayo yalishirikisha maaskofu...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LxUWhj8CVoaLNY5orpDsajwlMqB1o77eSgUhA16CWSzZbrEKxogWT5jX-MCfG3tmwMXLbhoWTaKi8aMozgzxooz*lGseNyjR/JACK.jpg?width=650)
JACK PATRICK AFYA TETE GEREZANI
9 years ago
Habarileo03 Jan
Afya ya Kardinali Pengo yaimarika
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Kardinali Polycarp Pengo aliyelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete anaendelea vizuri na anaweza kuruhusiwa wiki ijayo.
9 years ago
Habarileo03 Jan
Naibu waziri afya amtembelea Pengo
NAIBU Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Hamis Kigwangala amemtembelea na kumjulia hali Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo.
9 years ago
Mwananchi04 Jan
JKCI: Bado tunachunguza afya ya Pengo
10 years ago
Mwananchi23 Nov
Afya yangu kwa sasa inaimarika, niombeeni-Pengo
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/J2SsCM-DCjk/default.jpg)
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI AMJULIA HALI MUADHAMA KADINALI POLYCARP PENGO ANAYEFANYIWA UCHUNGUZI WA AFYA YAKE MUHIMBILI
11 years ago
Dewji Blog07 May
Waziri Mkuu Pinda katika tete-a-tete na Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dr. Titus Kamani, bungeni mjini Dodoma May 7, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
10 years ago
VijimamboAskofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo hali ya afya yake inaendelea kuimarika
Na Goodluck Eliona, Mwananchi Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema kuwa hali ya afya yake inaendelea kuimarika. na kuwataka waumini kuendelea kumwombea.Akizungumza kwenye Misa Takatifu ya Mavuno na shukurani kwa jimbo hilo, iliyofanyika jana Msimbazi Center jijini Dar es Salaam, Pengo alisema ameamua kuitumia siku...