Sasa roho yangu imetulia
WAKATI wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005, Rais Jakaya Kikwete, alivuma sana na alipendwa na watu wen
Privatus Karugendo
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*pFJjdzRt4aZa5TB9VoMWEFjapJ2lDLjqobLjPfGUmTM0h5EsgssdKHDTJd4GBa24Qc1uaHKJj7*ATJGeAwnMxQ/maskini.jpg)
NASUBIRI MUNGU AICHUKUE ROHO YANGU
11 years ago
Michuzi09 Apr
11 years ago
GPL09 Apr
9 years ago
Mtanzania07 Dec
Kerr sasa roho kwatu Msimbazi
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dylan Kerr, ameanza kujivunia kikosi chake kuwa kwa sasa kipo imara na kinaweza kumpatia matokeo mazuri kwenye mechi zilizobakia za Ligi Kuu Tanzania Bara kama ilivyokuwa mkakati wake.
Simba hivi karibuni ilifanikiwa kuifunga Kimbunga FC ya Zanzibar kwa mabao 5-2, ikiwa ni mchezo wao wa kwanza wa majaribio tangu ligi isimame, kesho itajipima tena na timu nyingine visiwani humo.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kerr alisema kadiri...
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Ukichukua fedha benki sasa ni roho mkononi
11 years ago
Mwananchi08 Feb
Messi: Sasa zamu yangu
10 years ago
Mwananchi23 Nov
Afya yangu kwa sasa inaimarika, niombeeni-Pengo
11 years ago
Habarileo14 Jun
'Bajeti imetulia'
WASOMI, wanaharakati na wananchi kwa ujumla wamepongeza Bajeti ya mwaka 2014/15 ya Sh trilioni 19 iliyowasilishwa bungeni juzi na kujikita zaidi katika kuimarisha miundombinu ya elimu, usafiri wa reli na usambazaji wa nishati ya umeme vijijini, wakisema imekata kiu ya Watanzania wengi.
9 years ago
Dewji Blog12 Sep
Jimbo la Iringa mjini lilikosa mbunge makini sasa ni zamu yangu ubunge -Mwakalebela
Mwakalebela akiomba kura kwa wananchi wa kata ya Mshindo jana.