'Bajeti imetulia'
WASOMI, wanaharakati na wananchi kwa ujumla wamepongeza Bajeti ya mwaka 2014/15 ya Sh trilioni 19 iliyowasilishwa bungeni juzi na kujikita zaidi katika kuimarisha miundombinu ya elimu, usafiri wa reli na usambazaji wa nishati ya umeme vijijini, wakisema imekata kiu ya Watanzania wengi.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania