Kerr sasa roho kwatu Msimbazi
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dylan Kerr, ameanza kujivunia kikosi chake kuwa kwa sasa kipo imara na kinaweza kumpatia matokeo mazuri kwenye mechi zilizobakia za Ligi Kuu Tanzania Bara kama ilivyokuwa mkakati wake.
Simba hivi karibuni ilifanikiwa kuifunga Kimbunga FC ya Zanzibar kwa mabao 5-2, ikiwa ni mchezo wao wa kwanza wa majaribio tangu ligi isimame, kesho itajipima tena na timu nyingine visiwani humo.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kerr alisema kadiri...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo07 Mar
WIKI ENDI HII NI YANGA NA SIMBA HOMA KUSHUKA HOMA KUPANDA WACHEZAJI WENYEWE ROHO KWATU.
![SIMBA V YANGA 8](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/SIMBA-V-YANGA-8.gif)
10 years ago
Raia Mwema25 Jun
Sasa roho yangu imetulia
WAKATI wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005, Rais Jakaya Kikwete, alivuma sana na alipendwa na watu wen
Privatus Karugendo
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Ukichukua fedha benki sasa ni roho mkononi
10 years ago
Vijimambo![](https://4.bp.blogspot.com/-0JsIYTRHsiU/VTQf5pi5PjI/AAAAAAAADtE/RbjWUdQ870o/s72-c/26ED72B700000578-0-image-a-1_1427131432184.jpg)
COLLECTION ZA DVD ZA MAYWEATHER NA PACQUAIO SASA ZINAPATIKANA UHURU / MSIMBAZI DAR
![](https://4.bp.blogspot.com/-0JsIYTRHsiU/VTQf5pi5PjI/AAAAAAAADtE/RbjWUdQ870o/s1600/26ED72B700000578-0-image-a-1_1427131432184.jpg)
IKIWA zimesalia siku chache kufanyika mpambano wa kusisimua wa mchezo wa masumbwi Duniani kati ya bondia Floyd Mayweather na Manny Paquaio mei 2 mwaka uhu mpambano uho uliovunja rekodi ya mapato mbalimbali ya ngumi zilizofanyika kwa kipindi hichi
kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amekwisha toa Collection DVD za mapambano ya wakali hawo yaliyopita nyuma dvd hizo zenye mafunzo mbalimbali pamoja na mazoezi wakati wakijiandaa kupigana...
11 years ago
TheCitizen29 May
Sweeping changes begin at Msimbazi
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Hali tete Msimbazi
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Nyumba 100 zabomolewa Msimbazi
10 years ago
Tanzania Daima20 Nov
StarMedia yasaidia Msimbazi Mseto
KAMPUNI ya StarMedia ambayo ni wasambazaji na wauzaji wa ving’amuzi vya Startimes nchini, imetoa msaada wa vifaa vya shule na vyakula wenye thamani ya sh milioni 2.5 kwa wanafunzi wenye...
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
‘IGP timua askari Msimbazi’
BAADHI wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wamemtaka Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Ernest Mangu, kufanya mabadiliko ya askari katika Kituo cha Polisi Msimbazi, kutokana na kuhusishwa katika tuhuma...