Nyumba 100 zabomolewa Msimbazi
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi jana ilitekeleza shughuli ya ubomoaji nyumba zilizojengwa kwenye Bonde la Mto Msimbazi na kusababisha vilio na huzuni kutoka kwa wakazi na wamiliki wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo08 Aug
Nyumba za Mchungaji Rwakatare zabomolewa
WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Makazi jana imebomoa nyumba nne zilizojengwa ndani ya kiwanja namba 314 zilichopo eneo la Mbezi Beach, jijini Dar es Salaam zinazomilikiwa na Mchungaji Getrude Rwakatare kwa tuhuma kuwa alivamia eneo hilo.
10 years ago
Mwananchi02 Mar
Nyumba 30 zabomolewa na mvua Mara
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Nyumba zilizopo kwenye Bonde la Mkwajuni, Dar zabomolewa
Wakazi waishio katika Bonde la Mkwajuni leo wamebomolewa nyumba zao ikiwa ni mwendelezo wa bomoabomoa inayoendelea katika Mkoa wa Dar es Salaam.
Baadhi ya wananchi waliokubwa na kadhia hiyo wamepaza sauti zao juu ya kuvunjiwa nyumba zao huku wakilalamika kuwa hawakupewa taarifa yoyote ya kuwataka wahame eneo hilo kutoka uongozi wa serikali ya mtaa huo.
10 years ago
Mtanzania05 Mar
Maafa Shinyanga *Barafu yafunika kijiji, watu 42 wafariki dunia *Zaidi ya 91 wajeruhiwa, mamia wasombwa na maji *Nyumba zabomolewa, mifugo mingi nayo yafa
Paul Kayanda na Kadama Malunde, Kahama
WATU 42 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 91 wamejeruhiwa vibaya baada ya mvua kubwa ya mawe iliyoambatana na upepo mkali kunyesha katika Kijiji cha Mwakata, Kata ya Isaka, Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga.
Pamoja na vifo hivyo, nyumba za makazi na majengo ya taasisi mbalimbali, yamebomolewa na mafuriko yaliyosababishwa mawe kusambaa kijiji kizima.
Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Benson Mpesya, aliiambia MTANZANIA kwa simu jana kwamba zaidi ya kaya 100...
9 years ago
Bongo Movies05 Jan
Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi imezuia Bomoabomoa ya Nyumba za Wananchi Bonde la Mto Msimbazi
Mahakama kuu kitengo cha ardhi imezuia bomoabomoa ya Nyumba za wananchi bonde la mto Msimbazi hadi kesi ya msingi ikamilike Jan,11 mwaka huu.
Hukumu hiyo inafuatia shauri lililofunguliwa na Mbunge wa Kinondoni (CUF) Maulid Mtulia, kufungua kesi katika Mahakama kuu ya Ardhi kupinga ubomoaji wa nyumba uliokuwa ukiendelea bila kutoa njia mbadala za makazi ya wale wanaobomolewa.
Cloudsfm.com
9 years ago
Habarileo06 Jan
Bomoabomoa yakumba nyumba 100
BOMOABOMOA katika Manispaa ya Kinondoni imeendelea jana kwa nyumba takribani 100 kubomolewa kwa watu waishio mabondeni huku waliotakiwa kuhama katika hifadhi za misitu ya mikoko kufanya hivyo ifikapo kesho.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-x9rDR_0wJsY/Xk5mSuHr1TI/AAAAAAAAIIY/XgYWmEDBWcMc7xUmHW9883qJ-96uQ2vnQCEwYBhgL/s72-c/IMG-20200218-WA0031.jpg)
Shirika la nyumba la Taifa mkoani Arusha lakabithi mifuko 100 ya saruji shule ya sekondari Felix Mrema
![](https://1.bp.blogspot.com/-x9rDR_0wJsY/Xk5mSuHr1TI/AAAAAAAAIIY/XgYWmEDBWcMc7xUmHW9883qJ-96uQ2vnQCEwYBhgL/s640/IMG-20200218-WA0031.jpg)
Kushoto Ni meneja wa shirika la nyumba la Taifa mkoani Arusha, Ladislaus Bamanyisa akimkabithi mifuko Mia moja ya saruji Jana mkuu wa shule ya sekondari Felix Mrema ,Reginaldo Msendekwa aliyepo kulia katikati ni Mwenyekiti wa mtaa wa Jamhuri , Hussein Dudu ,ambapo mifuko hiyo ya saruji itasaidia ukarabati wa sakafu iliyochakaa
![](https://1.bp.blogspot.com/-4KTfBRI1VAQ/Xk5mSmBZfSI/AAAAAAAAIIU/OFkDgAU5jvwcmsmi_zrSXgLxAJMcZkjkwCEwYBhgL/s640/1582195948450_IMG-20200218-WA0026.jpg)
Mkuu wa shule ya sekondari Felix Mrema Reginaldo Msendekwa akimuonyesha Meneja wa shirika la nyumba , Ladislaus Bamanyisa aliyeko kushoto moja ya vioo vilivyowekwa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-awek_PkN0wA/Vlh5dl4GVAI/AAAAAAAIIpc/GydcGwIgVrk/s72-c/unnamed.jpg)
The BBC hosts debates throughout Africa as part of the 100 Women season More than 100 conversations across the world will discuss what it means to be a “good girl†or an “ideal womanâ€
![](http://3.bp.blogspot.com/-awek_PkN0wA/Vlh5dl4GVAI/AAAAAAAIIpc/GydcGwIgVrk/s640/unnamed.jpg)
The BBC will host debates throughout the day at BBC Broadcasting House in London, while more than 100 conversations will happen across the globe in eight languages. In Africa, many groups across the continent will...
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Hali tete Msimbazi