Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyumba 30 zabomolewa na mvua Mara

Mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali, imesababisha nyumba zaidi ya 30 kuanguka, ng’ombe saba kufa katika vitongoji vya Maganana na Mgenda Msirori katika Kijiji cha Gusuhi, Kata ya Nyambureti Wilaya ya Serengeti mkoani Mara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Nyumba za Mchungaji Rwakatare zabomolewa

WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Makazi jana imebomoa nyumba nne zilizojengwa ndani ya kiwanja namba 314 zilichopo eneo la Mbezi Beach, jijini Dar es Salaam zinazomilikiwa na Mchungaji Getrude Rwakatare kwa tuhuma kuwa alivamia eneo hilo.

 

9 years ago

Mwananchi

Nyumba 100 zabomolewa Msimbazi

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi jana ilitekeleza shughuli ya ubomoaji nyumba zilizojengwa kwenye Bonde la Mto Msimbazi na kusababisha vilio na huzuni kutoka kwa wakazi na wamiliki wake.

 

9 years ago

Global Publishers

Nyumba zilizopo kwenye Bonde la Mkwajuni, Dar zabomolewa

1.Tingatinga-likiwa-kazini-kuvunja-nyumba-hizo-zilizodaiwa-kuwa-ndani-ya-hifadhi-ya-barabara.

Wakazi waishio katika Bonde la Mkwajuni leo wamebomolewa nyumba zao ikiwa ni mwendelezo wa bomoabomoa inayoendelea katika Mkoa wa Dar es Salaam.

Baadhi ya wananchi waliokubwa na kadhia hiyo wamepaza sauti zao juu ya kuvunjiwa nyumba zao huku wakilalamika kuwa hawakupewa taarifa yoyote ya kuwataka wahame eneo hilo kutoka uongozi wa serikali ya mtaa huo.

 

9 years ago

StarTV

Ukamilishaji jengo la biashara Mutukula wachelewa kutokana na mvua za mara kwa mara

 

Ujenzi wa jengo la kisasa la biashara linalojengwa na shirika la Nyumba la Taifa katika mpaka wa Mutukula mkoani Kagera umechelewa kukamilika kutokana na mvua za mara kwa mara ambazo zimekuwa kikwazo katika shughuli mbalimbali za ujenzi wa jengo hilo linalokadiriwa kugharimu kiasi cha shilingi bilioni tatu nukta nne tano hadi litakapokamilika.

Awali ujenzi wa jengo hilo ulipangwa kukamilika Desemba mwaka huu lakini kutokana na mvua za mara kwa mara, jengo hilo sasa linatarajiwa kukamilika...

 

10 years ago

Mtanzania

Maafa Shinyanga *Barafu yafunika kijiji, watu 42 wafariki dunia *Zaidi ya 91 wajeruhiwa, mamia wasombwa na maji *Nyumba zabomolewa, mifugo mingi nayo yafa

IMG-20150304-WA0018Paul Kayanda na Kadama Malunde, Kahama

WATU 42 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 91 wamejeruhiwa vibaya baada ya mvua kubwa ya mawe iliyoambatana na upepo mkali kunyesha katika Kijiji cha Mwakata, Kata ya Isaka, Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga.
Pamoja na vifo hivyo, nyumba za makazi na majengo ya taasisi mbalimbali, yamebomolewa na mafuriko yaliyosababishwa mawe kusambaa kijiji kizima.

Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Benson Mpesya, aliiambia MTANZANIA kwa simu jana kwamba zaidi ya kaya 100...

 

11 years ago

Mwananchi

Mvua yaua, yaezua nyumba 62

Nyumba 62 zilizopo katika Vijiji vya Wilaya ya Kilindi, zimeezuliwa na nyingine kubomoka kutokana na mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali kunyesha kwenye maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Tanga.

 

11 years ago

Habarileo

Mvua yabomoa nyumba 300 Rorya

NYUMBA 300 katika kata tano wilayani Rorya, zimeharibiwa na mvua iliyonyesha mwishoni mwa wiki.

 

11 years ago

Habarileo

Mvua yaua watu, nyumba zasombwa

MVUA iliyonyesha juzi na jana, ikiambatana na upepo mkali katika mikoa mbalimbali nchini, imeleta madhara na kusababisha vifo vya watu kadhaa. Jijini Dar es Salaam, nyumba nyingi zimebomolewa na kuzingirwa na maji, na miundombinu imekatika, ikiwemo kufunikwa kwa madaraja muhimu na adha za kila aina.

 

11 years ago

Habarileo

Mvua yaua mmoja, yaezua nyumba 85

MVUA zimeleta maafa mkoani Kilimanjaro baada ya mtu mmoja kufariki dunia sanjari na nyumba zaidi ya 85 kuezuliwa mapaa. Mkuu wa Wilaya ya Hai, Novatus Makunga, alisema kaya takribani 85 zimekosa makazi. Aidha wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kibohehe, na Shule ya Msingi Kishare wamekosa pa kusomea kutokana na baadhi ya madarasa kuezuliwa mapaa kwa upepo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani