Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mvua yabomoa nyumba 300 Rorya

NYUMBA 300 katika kata tano wilayani Rorya, zimeharibiwa na mvua iliyonyesha mwishoni mwa wiki.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mvua yaharibu nyumba, ekari 300 za mashamba

Mvua ya mawe iliyonyesha jana alasiri katika Kijiji cha Isansa, Wilaya ya Mbozi mkoani Mbeya kwa zaidi ya dakika 40, imeezua mabati ya nyumba na kuharibu zaidi ya ekari 300 za mashamba.

 

11 years ago

Habarileo

Mafuriko yabomoa nyumba 87 wilayani Bagamoyo

JUMLA ya kaya 87 katika kitongoji cha Biga Kata ya Mkange Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, hazina mahali pa kuishi baada ya nyumba zao kubomolewa na mafuriko yaliyotokana na mvua kubwa iliyonyesha juzi.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yabomoa nyumba za mamilioni Mbezi Beach

>Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya  Makazi imebomoa nyumba nne zenye thamani ya Sh800 milioni mali ya Tibe K. John zilizojengwa katika eneo la Mbezi Beach bila kibali na kinyume na sheria za mipango miji.

 

11 years ago

GPL

CDA YABOMOA NYUMBA ZAIDI YA 65 MLIMWA KUSINI DODOMA‏, WANANCHI WAHAHA

 Tingatinga la Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu [CDA], likibomoa moja ya nyumba zilizopo katika hifadhi ya Barabara inayotarajiwa kuanza…

 

9 years ago

StarTV

Zaidi ya nyumba 300 zakatiwa umeme Kinondoni

 

Shirika la Umeme Tanesco mkoa wa Kinondoni Kaskazini umezikatia umeme nyumba zaidi ya mia tatu zilizobainika kuhujumu miundombinu kwa kujiungia umeme kinyume cha sheria ili waweze kutumia umeme bila malipo yoyote.

Operation hiyo ambayo imeanza tangu mwaka 2011 imelenga kukomesha vitendo vya uhujumu miundombinu ya umeme ili kuwawezesha wananchi kunufaika na rasilimali hiyo kwa maendeleo yao..

 Wakaguzi hao wakiwa katika mtaa Oyerstabay kata Msasani barabara ya Mkadini nyumba Prot no; 63...

 

11 years ago

Mwananchi

Mvua yaua, yaezua nyumba 62

Nyumba 62 zilizopo katika Vijiji vya Wilaya ya Kilindi, zimeezuliwa na nyingine kubomoka kutokana na mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali kunyesha kwenye maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Tanga.

 

10 years ago

Mwananchi

Nyumba 30 zabomolewa na mvua Mara

Mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali, imesababisha nyumba zaidi ya 30 kuanguka, ng’ombe saba kufa katika vitongoji vya Maganana na Mgenda Msirori katika Kijiji cha Gusuhi, Kata ya Nyambureti Wilaya ya Serengeti mkoani Mara.

 

11 years ago

Habarileo

Mvua yaua watu, nyumba zasombwa

MVUA iliyonyesha juzi na jana, ikiambatana na upepo mkali katika mikoa mbalimbali nchini, imeleta madhara na kusababisha vifo vya watu kadhaa. Jijini Dar es Salaam, nyumba nyingi zimebomolewa na kuzingirwa na maji, na miundombinu imekatika, ikiwemo kufunikwa kwa madaraja muhimu na adha za kila aina.

 

11 years ago

Habarileo

Mvua yaua mmoja, yaezua nyumba 85

MVUA zimeleta maafa mkoani Kilimanjaro baada ya mtu mmoja kufariki dunia sanjari na nyumba zaidi ya 85 kuezuliwa mapaa. Mkuu wa Wilaya ya Hai, Novatus Makunga, alisema kaya takribani 85 zimekosa makazi. Aidha wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kibohehe, na Shule ya Msingi Kishare wamekosa pa kusomea kutokana na baadhi ya madarasa kuezuliwa mapaa kwa upepo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani