Mvua yabomoa nyumba 300 Rorya
NYUMBA 300 katika kata tano wilayani Rorya, zimeharibiwa na mvua iliyonyesha mwishoni mwa wiki.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Feb
Mvua yaharibu nyumba, ekari 300 za mashamba
11 years ago
Habarileo30 Mar
Mafuriko yabomoa nyumba 87 wilayani Bagamoyo
JUMLA ya kaya 87 katika kitongoji cha Biga Kata ya Mkange Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, hazina mahali pa kuishi baada ya nyumba zao kubomolewa na mafuriko yaliyotokana na mvua kubwa iliyonyesha juzi.
11 years ago
Mwananchi08 Aug
Serikali yabomoa nyumba za mamilioni Mbezi Beach
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-BuYx2dqA3so/U2XcrX4mI1I/AAAAAAAArOA/0z47RLfF9eQ/s1600/1.jpg)
CDA YABOMOA NYUMBA ZAIDI YA 65 MLIMWA KUSINI DODOMA, WANANCHI WAHAHA
9 years ago
StarTV03 Dec
Zaidi ya nyumba 300 zakatiwa umeme Kinondoni
Shirika la Umeme Tanesco mkoa wa Kinondoni Kaskazini umezikatia umeme nyumba zaidi ya mia tatu zilizobainika kuhujumu miundombinu kwa kujiungia umeme kinyume cha sheria ili waweze kutumia umeme bila malipo yoyote.
Operation hiyo ambayo imeanza tangu mwaka 2011 imelenga kukomesha vitendo vya uhujumu miundombinu ya umeme ili kuwawezesha wananchi kunufaika na rasilimali hiyo kwa maendeleo yao..
Wakaguzi hao wakiwa katika mtaa Oyerstabay kata Msasani barabara ya Mkadini nyumba Prot no; 63...
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Mvua yaua, yaezua nyumba 62
10 years ago
Mwananchi02 Mar
Nyumba 30 zabomolewa na mvua Mara
11 years ago
Habarileo13 Apr
Mvua yaua watu, nyumba zasombwa
MVUA iliyonyesha juzi na jana, ikiambatana na upepo mkali katika mikoa mbalimbali nchini, imeleta madhara na kusababisha vifo vya watu kadhaa. Jijini Dar es Salaam, nyumba nyingi zimebomolewa na kuzingirwa na maji, na miundombinu imekatika, ikiwemo kufunikwa kwa madaraja muhimu na adha za kila aina.
11 years ago
Habarileo14 Feb
Mvua yaua mmoja, yaezua nyumba 85
MVUA zimeleta maafa mkoani Kilimanjaro baada ya mtu mmoja kufariki dunia sanjari na nyumba zaidi ya 85 kuezuliwa mapaa. Mkuu wa Wilaya ya Hai, Novatus Makunga, alisema kaya takribani 85 zimekosa makazi. Aidha wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kibohehe, na Shule ya Msingi Kishare wamekosa pa kusomea kutokana na baadhi ya madarasa kuezuliwa mapaa kwa upepo.