Mafuriko yabomoa nyumba 87 wilayani Bagamoyo
JUMLA ya kaya 87 katika kitongoji cha Biga Kata ya Mkange Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, hazina mahali pa kuishi baada ya nyumba zao kubomolewa na mafuriko yaliyotokana na mvua kubwa iliyonyesha juzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo20 Apr
Mvua yabomoa nyumba 300 Rorya
NYUMBA 300 katika kata tano wilayani Rorya, zimeharibiwa na mvua iliyonyesha mwishoni mwa wiki.
11 years ago
Mwananchi08 Aug
Serikali yabomoa nyumba za mamilioni Mbezi Beach
>Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imebomoa nyumba nne zenye thamani ya Sh800 milioni mali ya Tibe K. John zilizojengwa katika eneo la Mbezi Beach bila kibali na kinyume na sheria za mipango miji.
10 years ago
GPLBAGAMOYO HISTORICAL MARATHON LAFANA WILAYANI BAGAMOYO
Washiriki wa mbio wakiwa katika viwanja vya Shule ya Msingi Mbaruku ya Bagamoyo wakisubiri kupewa zawadi. Mgeni rasmi katika tamasha hilo, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa akiwa na baadhi ya washiriki wa michezo.…
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-BuYx2dqA3so/U2XcrX4mI1I/AAAAAAAArOA/0z47RLfF9eQ/s1600/1.jpg)
CDA YABOMOA NYUMBA ZAIDI YA 65 MLIMWA KUSINI DODOMA, WANANCHI WAHAHA
 Tingatinga la Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu [CDA], likibomoa moja ya nyumba zilizopo katika hifadhi ya Barabara inayotarajiwa kuanza…
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3r6pqfzid3E/XveOzwX3bII/AAAAAAALvsE/a3TkVt6LXZICyiz-V0g-LSULiwGtEXwMACLcBGAsYHQ/s72-c/2-2-2.jpg)
DKT KALEMANI AFANYA ZIARA YA NYUMBA KWA NYUMBA KUKAGUA KAZI YA USAMBAZAJI UMEME VIJIJINI WILAYANI MISUNGWI Inbox x
![](https://1.bp.blogspot.com/-3r6pqfzid3E/XveOzwX3bII/AAAAAAALvsE/a3TkVt6LXZICyiz-V0g-LSULiwGtEXwMACLcBGAsYHQ/s640/2-2-2.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/3AAA-4-1024x576.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/4AAA-3.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7MhI6wJOESxCTnr1QB5pgAaGr7ncX4lKf31DqJpMc2TTd8h*QXczQXclDHhZDIhDBXoJpAzL8U120XrcL8Q*VsPh/IMG20141201WA0004.jpg)
MVUA ILIYONYESHA BAGAMOYO YASABABISHA MAFURIKO
Hizi ni picha tofauti zikienesha taswira ya mvua iliyonyesha Bagamoyo alfajiri ya leo na kusababisha mafuriko. Hayo ni maji yaliyojaa stendi ya mabasi ya…
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4qKkghN4VHk/VUxjslaq8RI/AAAAAAAAPHU/mUjfOicpnLk/s72-c/E86A5954%2B(800x533)%2B(800x533).jpg)
MAFURIKO YAATHILI DARAJA LA KIKULETWA WILAYANI HAI
![](http://1.bp.blogspot.com/-4qKkghN4VHk/VUxjslaq8RI/AAAAAAAAPHU/mUjfOicpnLk/s640/E86A5954%2B(800x533)%2B(800x533).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-00mGRa98UOM/VUxjtNFVYQI/AAAAAAAAPHc/MpwjO9HIQN0/s640/E86A5957%2B(800x533)%2B(800x533).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tieUal9DD28/VUxjsDLIU5I/AAAAAAAAPHQ/WVr0AGwgiHk/s640/E86A5968%2B(800x533)%2B(800x533).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NYWs1tSFQMg/VUxjx2gS0VI/AAAAAAAAPHo/NHDYCPjpe1M/s640/E86A5977%2B(800x533)%2B(800x533).jpg)
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
MichuziNMB YASAIDIA WAHANGA WA MAFURIKO - WILAYANI HAI-KILIMANJARO
BENKI ya NMB, imetoa msaada wa vitu mbalimbali vinavyogharimu kiasi cha Sh milioni 10 kwa ajili ya kuwasaidia wakazi wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro baada ya kukumbwa na mafuriko yaliyotokea wiki lililopita.
Benki hiyo imetoa vitu mbalimbali vikiwemo unga, maharage, magodoro na sementi vyenye gharama ya shilingi milioni 10 kwa ajili ya kusaidia wahanga wa tukio hilo lililowaacha mamia ya Watanzania bila makazi huku mali zao zikiharibiwa kwa kiasi kikubwa.
Akikabidhi msaada huo kwa...
Benki hiyo imetoa vitu mbalimbali vikiwemo unga, maharage, magodoro na sementi vyenye gharama ya shilingi milioni 10 kwa ajili ya kusaidia wahanga wa tukio hilo lililowaacha mamia ya Watanzania bila makazi huku mali zao zikiharibiwa kwa kiasi kikubwa.
Akikabidhi msaada huo kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-q7G8mJl8rIg/Uzzs-zlblqI/AAAAAAAFYFo/6o-43U6X1R0/s72-c/New+Picture+(8).bmp)
taarifa ya kufungwa kwa Barabara ya Bagamoyo - Makofia - Msata kutokana na mafuriko
![](http://1.bp.blogspot.com/-q7G8mJl8rIg/Uzzs-zlblqI/AAAAAAAFYFo/6o-43U6X1R0/s1600/New+Picture+(8).bmp)
MADEREVA WANASHAURIWA KUTUMIA BARABARA YA DAR ES SALAAM – CHALINZE - MOROGORO NA BAGAMOYO – MLANDIZI – CHALINZE KWA KIPINDI HIKI AMBACHO BARABARA YA BAGAMOYO – MAKOFIA –...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania