Nyumba za Mchungaji Rwakatare zabomolewa
WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Makazi jana imebomoa nyumba nne zilizojengwa ndani ya kiwanja namba 314 zilichopo eneo la Mbezi Beach, jijini Dar es Salaam zinazomilikiwa na Mchungaji Getrude Rwakatare kwa tuhuma kuwa alivamia eneo hilo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Mchungaji Rwakatare aivimbia Serikali
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Nyumba 100 zabomolewa Msimbazi
10 years ago
Mwananchi02 Mar
Nyumba 30 zabomolewa na mvua Mara
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-5CkFr_2p47M/Xp0_Iz6psDI/AAAAAAAAyPA/OuHdiQcGabEfiEIoDbW_0mhw42ve2SnYwCLcBGAsYHQ/s72-c/Bishop-Dr.Gertrude-Rwakatare-habari-Njema.jpg)
BREAKING NEWS: MCHUNGAJI MAMA GERTRUDE RWAKATARE AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5CkFr_2p47M/Xp0_Iz6psDI/AAAAAAAAyPA/OuHdiQcGabEfiEIoDbW_0mhw42ve2SnYwCLcBGAsYHQ/s400/Bishop-Dr.Gertrude-Rwakatare-habari-Njema.jpg)
Mtoto wake Muta Rwakatare amethibitisha.
Taarifa zaidi tutawaletea kadri tutakavyoendelea kupata taarifa.
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Nyumba zilizopo kwenye Bonde la Mkwajuni, Dar zabomolewa
Wakazi waishio katika Bonde la Mkwajuni leo wamebomolewa nyumba zao ikiwa ni mwendelezo wa bomoabomoa inayoendelea katika Mkoa wa Dar es Salaam.
Baadhi ya wananchi waliokubwa na kadhia hiyo wamepaza sauti zao juu ya kuvunjiwa nyumba zao huku wakilalamika kuwa hawakupewa taarifa yoyote ya kuwataka wahame eneo hilo kutoka uongozi wa serikali ya mtaa huo.
10 years ago
Mtanzania05 Mar
Maafa Shinyanga *Barafu yafunika kijiji, watu 42 wafariki dunia *Zaidi ya 91 wajeruhiwa, mamia wasombwa na maji *Nyumba zabomolewa, mifugo mingi nayo yafa
Paul Kayanda na Kadama Malunde, Kahama
WATU 42 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 91 wamejeruhiwa vibaya baada ya mvua kubwa ya mawe iliyoambatana na upepo mkali kunyesha katika Kijiji cha Mwakata, Kata ya Isaka, Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga.
Pamoja na vifo hivyo, nyumba za makazi na majengo ya taasisi mbalimbali, yamebomolewa na mafuriko yaliyosababishwa mawe kusambaa kijiji kizima.
Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Benson Mpesya, aliiambia MTANZANIA kwa simu jana kwamba zaidi ya kaya 100...
11 years ago
Mtanzania08 Aug
Nyumba za Mchungaji Lwakatare zavunjwa
![Mchungaji wa Kanisa la Assemblies Of God Mikocheni, Dk. Getrude Lwakatare](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Mchungaji-Lwakatare.jpg)
Mchungaji wa Kanisa la Assemblies Of God Mikocheni, Dk. Getrude Lwakatare
MANENO SELANYIKA NA VICTOR MRUTU (TUDARCO)
SERIKALI jana imebomoa nyumba nne za Mchungaji wa Kanisa la Assemblies Of God Mikocheni, Dk. Getrude Lwakatare, zilizopo Mtaa wa Palm Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.
Inadaiwa Mchungaji Lwakatare alikuwa anamiliki eneo hilo kinyume na sheria.
Akizungumza na waandishi wa habari katika eneo la tukio, Mhandisi wa Manispaa ya Kinondoni, Baraka Mkuya, alisema uamuzi huo umetoka...
10 years ago
Bank Official Over Land Ownership02 Feb
MP Rwakatare sues ex
Daily News
THE Managing Director of St Mary's Junior School Limited, Rev Dr Getrude Rwakatare, has sued the ex-Managing Director of Exim Bank Tanzania Limited, Sabetha Mwambeja, over ownership of New Palm Tree Village Beach Resort and demands 14bn/- ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KBI*TiKs6pInKxclxfH1p8ON44P-NPu5XHDubvK3RwhJwkEExuxWUGYRPMgEjePpcV9rN-GTBiJKoNfIpdvC3azTMcsJxtOt/lwakatale.gif?width=650)
MAMA RWAKATARE AFIKISHWA POLISI