Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MP Rwakatare sues ex


MP Rwakatare sues ex-bank official over land ownership
Daily News
THE Managing Director of St Mary's Junior School Limited, Rev Dr Getrude Rwakatare, has sued the ex-Managing Director of Exim Bank Tanzania Limited, Sabetha Mwambeja, over ownership of New Palm Tree Village Beach Resort and demands 14bn/- ...

bank official over land ownership

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAMA RWAKATARE AFIKISHWA POLISI

Waandishi Wetu
MCHUNGAJI Kiongozi wa Kanisa la Mikocheni B Assemblies of God jijini Dar, Dk. Getrude Rwakatare (pichani) amefunguliwa mashitaka katika Kituo cha Polisi Wazo Hill kwa uharibifu wa mali inayodaiwa ina thamani ya shilingi milioni 20. Bw. Grayson Justine anayelalamika kuvunjiwa nyumba yake na Mch. Getrude Rwakatare. Taarifa zilizopatikana katika kituo hicho zenye Jalada la Kumbukumbu WH/RB/9029/2014 UHARIBIFU WA...

 

11 years ago

Habarileo

Nyumba za Mchungaji Rwakatare zabomolewa

WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Makazi jana imebomoa nyumba nne zilizojengwa ndani ya kiwanja namba 314 zilichopo eneo la Mbezi Beach, jijini Dar es Salaam zinazomilikiwa na Mchungaji Getrude Rwakatare kwa tuhuma kuwa alivamia eneo hilo.

 

9 years ago

Mwananchi

Mchungaji Rwakatare aivimbia Serikali

Baada ya nyumba yake kuwekewa alama ya kutakiwa kubomolewa muda wowote kuanzia Januari 6, Mchungaji wa Kanisa la Assemblies of God, Dk Getrude Rwakatare ameitaka Serikali itii uamuzi wa Mahakama Kuu wa kuzuia ubomoaji.

 

10 years ago

GPL

KESI YA MAMA RWAKATARE FAILI LAIBWA!

Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Assemblies of God jijini Dar, Dk. Getrude Rwakatare. Sakata la Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Assemblies of God jijini Dar, Dk. Getrude Rwakatare (pichani) kufunguliwa kesi ya uharibifu wa mali katika Kituo cha Polisi cha Wazo Hill, limechukua sura mpya baada ya faili la kesi hiyo kupotea katika mazingira ya kutatanisha, huku ikidaiwa kwamba limeibwa. Kufuatia kudaiwa kuibwa kwa faili hilo...

 

10 years ago

TheCitizen

Widow wants Rwakatare jailed over ‘land grab’

>A widow in Dar es Salaam is asking the High Court to jail Special Seats MP and evangelist Getrude Rwakatare for allegedly grabbing her city plot.

 

10 years ago

GPL

MAMA RWAKATARE HAFIKURII KUGOMBEA UBUNGE MWAKANI

Stori:Mwandishi Wetu
Mbunge wa Viti Maalum CCM ambaye pia ni Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Mikocheni B Assemblies of God jijini Dar, Dk. Getrude Rwakatare (pichani) ameibuka na kusema hafikirii kugombea nafasi hiyo mwakani. Mbunge wa Viti Maalum CCM ambaye pia ni Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Mikocheni B Assemblies of God jijini Dar, Dk. Getrude Rwakatare. Akizungumza na gazeti hili juzi jijini Dar, Mama Rwakatare alisema...

 

5 years ago

CCM Blog

CORONA YAKWAMISHA ASKOFU RWAKATARE KUAGWA BUNGENI

Uongozi wa Bunge umesema aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum, Askofu Getrude Rwakatare (70), hataagwa kwenye viwanja vya Bunge kama ilivyo kawaida kutokana na mlipuko wa virusi vya corona vinavyosababisha homa ya mapafu.
Umesema unawasiliana na familia ili kujua utaratibu wa mazishi na ndipo Bunge litajulishwa namna wabunge watakavyoshiriki kumuaga mwenzao.
Spika wa Bunge, Job Ndugai, aliyasema hayo jana, alipotoa taarifa hiyo bungeni jijini hapa na kuwataka wabunge kuwa na subira wakati...

 

5 years ago

Michuzi

DKT GETRUDE RWAKATARE AZIKWA KANISANI KWAKE MIKOCHENI B

Sanduku lenye mwili wa Askofu na Mbunge wa Viti maalum CCM Mkoa wa Morogoro mama Getrude Rwakatare likiwa tayari kuingizwa kaburini huku likiwa limefunikwa bendera ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa mazishi yaliyofanyika kwenye kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni B jijini Dar Ea salaam leo.

Baadhi ya Waombolezaji wachache wakiwa katika mazishi ya aliyekuwa Askofu na mbunge wa Viti Maalum CCM Mkoa wa Morogoro Mama Getrude Rwakatare yaliyofanyika kwenye kanisa la Mlima wa Moto...

 

5 years ago

CCM Blog

BREAKING NEWS: MCHUNGAJI MAMA GERTRUDE RWAKATARE AFARIKI DUNIA

Mchungaji wa Kanisa la Mlima wa Moto, Askofu Gertrude Rwakatare amefariki dunia alfajiri ya leo ya Aprili 20, 2020.

Mtoto wake Muta Rwakatare amethibitisha.
Taarifa zaidi tutawaletea kadri tutakavyoendelea kupata taarifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani