Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CORONA YAKWAMISHA ASKOFU RWAKATARE KUAGWA BUNGENI

Uongozi wa Bunge umesema aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum, Askofu Getrude Rwakatare (70), hataagwa kwenye viwanja vya Bunge kama ilivyo kawaida kutokana na mlipuko wa virusi vya corona vinavyosababisha homa ya mapafu.
Umesema unawasiliana na familia ili kujua utaratibu wa mazishi na ndipo Bunge litajulishwa namna wabunge watakavyoshiriki kumuaga mwenzao.
Spika wa Bunge, Job Ndugai, aliyasema hayo jana, alipotoa taarifa hiyo bungeni jijini hapa na kuwataka wabunge kuwa na subira wakati...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

ASKOFU MAMA RWAKATARE AZIKWA KANISANI KWAKE MIKOCHENI B, DAR ES SALAAM, LEO


Baadhi ya Waombolezaji wachache wakiwa katika mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Morogoro Askofu Mama Getrude Rwakatare yaliyofanyika kwenye kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni B jijini Dar es Salaam, leo

MIKOCHENI, Dar es Salaam
Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Morogoro na Kiongozi wa Kanisa la Mikocheni B Assembly of God (Mlima wa Moto), Askofu Mama Getrude Rwakatare amezikwa leo katika Kanisa lake hilo lililopo Mikocheni B, jijini Dar es Salaam.

Mazishi hayo...

 

11 years ago

Habarileo

Askofu: Ukawa rudini bungeni

KANISA Katoliki Tanzania limetoa tamko zito kuhusu mchakato wa Katiba unaoendelea, matukio yanayoashiria uchochezi wa dini na Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani, unaotarajiwa kufanyika mwaka kesho.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Askofu ataka UKAWA warudi bungeni

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Methodist nchini (TMC), Mathew Byamungu ametoa wito kwa wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kurejea kwenye Bunge la Katiba pindi litakapoanza tena. Askofu...

 

11 years ago

Habarileo

Askofu akemea unabii wenye nia mbaya bungeni

Askofu wa Katoliki Jimbo la Dodoma, Mhashamu Gervas NyaisongaASKOFU wa Kanisa Katoliki Jimbo la Dodoma, Mhashamu Gervas Nyaisonga, ameongoza Ibada ya kuombea Bunge Maalumu la Katiba, ili Mungu awezeshe wajumbe wa Bunge hilo kuwawakilisha Watanzania vyema.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona:Imamu na Askofu Tanzania waeleza kwanini wameamua kufunga nyumba za ibada

Nyumba za ibada nchini Tanzania zingali wazi tofauti na maeneo mengi ulimwenguni wakati huu wa janga la virusi vya corona.

 

11 years ago

Michuzi

ASKOFU KKKT IRINGA DKT MDEGELA ATAKA'UKAWA' WASIRUHUSIWE KUENEZA CHUKI NCHINI, AWATAKA WAREJEE BUNGENI AMA WAFUNGASHE VIRAGO WARUDI NYUMBANI ASEMA SERIKALI NI MBILI PEKEE

Askofu Mkuu wa Kanisa la Kilutheri (KKT) dayosisi ya  Iringa  Dkt. OwdenburgMdegela Wachungaji na  msaidizi wa Askofu kulia wakifuatilia salam za  pasaka zilizokuwa  zikitolewa na askofu Dkt. Mdegela Waumini  wa KKKT usharika wa kanisa  kuu Iringa leo.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA Na  Francis Godwin, Iringa 
ASKOFU mkuu wa Kanisa la Kilutheri (KKT) dayosisi ya  Iringa  Dkt. OwdenburgMdegela ameitumia ibada  ya Jumapili ya Pasaka leo  kulaani vikali  wale wote  wanaowatukana...

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU: OMBEENI TAIFA NA UCHAGUZI MKUU UJAO - Askofu Niwemugizi ataka UKAWA warudi bungeni mwezi ujao, asema siyo ombi



WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amewaomba viongozi wa dini kote nchini na wananchi waungane pamoja ili kuombea uchaguzi mkuu wa viongozi wakuu wa Rais, wabunge na madiwani unaotarajiwa kufanyika mwakani.

Ametoa wito huo leo mchana (Jumanne, Julai mosi, 2014) wakati akizungumza na maelfu ya waumini na viongozi mbalimbali waliohudhuria ibada ya Jubilei ya miaka 25 ya Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Iringa, Mhashamu Tarsicius Ngalalekumtwa katika uwanja wa Kichangani wa Kanisa Kuu la Kihesa.
"Maaskofu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani