CORONA YAKWAMISHA ASKOFU RWAKATARE KUAGWA BUNGENI
![](https://1.bp.blogspot.com/-BkCL1KBV81A/Xp_fLhjIDwI/AAAAAAAC3q4/0MMsHfvt_H0OgnvuV5jKNPkdaezzuNqqQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Uongozi wa Bunge umesema aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum, Askofu Getrude Rwakatare (70), hataagwa kwenye viwanja vya Bunge kama ilivyo kawaida kutokana na mlipuko wa virusi vya corona vinavyosababisha homa ya mapafu.
Umesema unawasiliana na familia ili kujua utaratibu wa mazishi na ndipo Bunge litajulishwa namna wabunge watakavyoshiriki kumuaga mwenzao.
Spika wa Bunge, Job Ndugai, aliyasema hayo jana, alipotoa taarifa hiyo bungeni jijini hapa na kuwataka wabunge kuwa na subira wakati...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-oPW0iG5IzlQ/XqG4YUabKnI/AAAAAAACJ8o/RoR0TpG7OHY8APItIaM4MdCoqENLDbAIACEwYBhgL/s72-c/IMG_20200423_183626.jpg)
ASKOFU MAMA RWAKATARE AZIKWA KANISANI KWAKE MIKOCHENI B, DAR ES SALAAM, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-oPW0iG5IzlQ/XqG4YUabKnI/AAAAAAACJ8o/RoR0TpG7OHY8APItIaM4MdCoqENLDbAIACEwYBhgL/s400/IMG_20200423_183626.jpg)
MIKOCHENI, Dar es Salaam
Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Morogoro na Kiongozi wa Kanisa la Mikocheni B Assembly of God (Mlima wa Moto), Askofu Mama Getrude Rwakatare amezikwa leo katika Kanisa lake hilo lililopo Mikocheni B, jijini Dar es Salaam.
Mazishi hayo...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-mEbZaeiJbfU/Xp1yGICDVTI/AAAAAAAEGxw/JI_QDRZq5ZAGiksfNsSvQuMq4XMmigg4QCLcBGAsYHQ/s72-c/0934bd00-b6ba-42c7-94a6-75d819d48a61.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mEbZaeiJbfU/Xp1yGICDVTI/AAAAAAAEGxw/JI_QDRZq5ZAGiksfNsSvQuMq4XMmigg4QCLcBGAsYHQ/s72-c/0934bd00-b6ba-42c7-94a6-75d819d48a61.jpg)
11 years ago
Habarileo02 Jul
Askofu: Ukawa rudini bungeni
KANISA Katoliki Tanzania limetoa tamko zito kuhusu mchakato wa Katiba unaoendelea, matukio yanayoashiria uchochezi wa dini na Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani, unaotarajiwa kufanyika mwaka kesho.
11 years ago
Tanzania Daima04 May
Askofu ataka UKAWA warudi bungeni
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Methodist nchini (TMC), Mathew Byamungu ametoa wito kwa wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kurejea kwenye Bunge la Katiba pindi litakapoanza tena. Askofu...
11 years ago
Habarileo25 Apr
Askofu akemea unabii wenye nia mbaya bungeni
ASKOFU wa Kanisa Katoliki Jimbo la Dodoma, Mhashamu Gervas Nyaisonga, ameongoza Ibada ya kuombea Bunge Maalumu la Katiba, ili Mungu awezeshe wajumbe wa Bunge hilo kuwawakilisha Watanzania vyema.
5 years ago
BBCSwahili21 Apr
Virusi vya corona:Imamu na Askofu Tanzania waeleza kwanini wameamua kufunga nyumba za ibada
11 years ago
Michuzi20 Apr
ASKOFU KKKT IRINGA DKT MDEGELA ATAKA'UKAWA' WASIRUHUSIWE KUENEZA CHUKI NCHINI, AWATAKA WAREJEE BUNGENI AMA WAFUNGASHE VIRAGO WARUDI NYUMBANI ASEMA SERIKALI NI MBILI PEKEE
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA Na Francis Godwin, Iringa
ASKOFU mkuu wa Kanisa la Kilutheri (KKT) dayosisi ya Iringa Dkt. OwdenburgMdegela ameitumia ibada ya Jumapili ya Pasaka leo kulaani vikali wale wote wanaowatukana...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4i1w6W-bFmE/U7MBkgH5VuI/AAAAAAAFt_4/haAWClKy-xo/s72-c/images.jpg)
WAZIRI MKUU: OMBEENI TAIFA NA UCHAGUZI MKUU UJAO - Askofu Niwemugizi ataka UKAWA warudi bungeni mwezi ujao, asema siyo ombi
![](http://2.bp.blogspot.com/-4i1w6W-bFmE/U7MBkgH5VuI/AAAAAAAFt_4/haAWClKy-xo/s1600/images.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amewaomba viongozi wa dini kote nchini na wananchi waungane pamoja ili kuombea uchaguzi mkuu wa viongozi wakuu wa Rais, wabunge na madiwani unaotarajiwa kufanyika mwakani.
Ametoa wito huo leo mchana (Jumanne, Julai mosi, 2014) wakati akizungumza na maelfu ya waumini na viongozi mbalimbali waliohudhuria ibada ya Jubilei ya miaka 25 ya Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Iringa, Mhashamu Tarsicius Ngalalekumtwa katika uwanja wa Kichangani wa Kanisa Kuu la Kihesa.
"Maaskofu...