Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchungaji Rwakatare aivimbia Serikali

Baada ya nyumba yake kuwekewa alama ya kutakiwa kubomolewa muda wowote kuanzia Januari 6, Mchungaji wa Kanisa la Assemblies of God, Dk Getrude Rwakatare ameitaka Serikali itii uamuzi wa Mahakama Kuu wa kuzuia ubomoaji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Nyumba za Mchungaji Rwakatare zabomolewa

WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Makazi jana imebomoa nyumba nne zilizojengwa ndani ya kiwanja namba 314 zilichopo eneo la Mbezi Beach, jijini Dar es Salaam zinazomilikiwa na Mchungaji Getrude Rwakatare kwa tuhuma kuwa alivamia eneo hilo.

 

5 years ago

CCM Blog

BREAKING NEWS: MCHUNGAJI MAMA GERTRUDE RWAKATARE AFARIKI DUNIA

Mchungaji wa Kanisa la Mlima wa Moto, Askofu Gertrude Rwakatare amefariki dunia alfajiri ya leo ya Aprili 20, 2020.

Mtoto wake Muta Rwakatare amethibitisha.
Taarifa zaidi tutawaletea kadri tutakavyoendelea kupata taarifa.

 

10 years ago

Mtanzania

Singasinga aivimbia Serikali

SeithNa Kulwa Mzee, Dar es Salaam

WAKATI ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ikionyesha Kampuni ya Power Solution Limited (PAP) ilikwepa kodi ya Sh bilioni 8.68, kampuni hiyo imekimbilia Bodi ya Rufaa ya Kodi kupinga hatua ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuondoa hati za awali za kuthibitisha ulipaji wa kodi.

PAP ambayo inadaiwa kulipwa visivyo halali Sh bilioni 306 zilizokuwa kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, ombi lake lilikubaliwa na bodi hiyo ambayo imemzuia kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kafulila aivimbia IPTL

SIKU moja baada ya Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) kueleza kuwa imemfungulia kesi ya madai ya sh bilioni 310 Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila...

 

10 years ago

Mwananchi

Ndumbaro aivimbia kamati TFF makato ya asilimia tano

Mwanasheria wa Bodi ya Ligi, Dk Damas Ndumbaro ameigomea Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ambayo ilipanga kumweka kitimoto leo kwa tuhuma za kuzitetea klabu za Ligi Kuu na Daraja la Kwanza kuhusu makato ya asilimia tano ya fedha za wadhamini.

 

10 years ago

Bank Official Over Land Ownership

MP Rwakatare sues ex


MP Rwakatare sues ex-bank official over land ownership
Daily News
THE Managing Director of St Mary's Junior School Limited, Rev Dr Getrude Rwakatare, has sued the ex-Managing Director of Exim Bank Tanzania Limited, Sabetha Mwambeja, over ownership of New Palm Tree Village Beach Resort and demands 14bn/- ...

 

10 years ago

GPL

MAMA RWAKATARE AFIKISHWA POLISI

Waandishi Wetu
MCHUNGAJI Kiongozi wa Kanisa la Mikocheni B Assemblies of God jijini Dar, Dk. Getrude Rwakatare (pichani) amefunguliwa mashitaka katika Kituo cha Polisi Wazo Hill kwa uharibifu wa mali inayodaiwa ina thamani ya shilingi milioni 20. Bw. Grayson Justine anayelalamika kuvunjiwa nyumba yake na Mch. Getrude Rwakatare. Taarifa zilizopatikana katika kituo hicho zenye Jalada la Kumbukumbu WH/RB/9029/2014 UHARIBIFU WA...

 

10 years ago

GPL

KESI YA MAMA RWAKATARE FAILI LAIBWA!

Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Assemblies of God jijini Dar, Dk. Getrude Rwakatare. Sakata la Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Assemblies of God jijini Dar, Dk. Getrude Rwakatare (pichani) kufunguliwa kesi ya uharibifu wa mali katika Kituo cha Polisi cha Wazo Hill, limechukua sura mpya baada ya faili la kesi hiyo kupotea katika mazingira ya kutatanisha, huku ikidaiwa kwamba limeibwa. Kufuatia kudaiwa kuibwa kwa faili hilo...

 

10 years ago

TheCitizen

Widow wants Rwakatare jailed over ‘land grab’

>A widow in Dar es Salaam is asking the High Court to jail Special Seats MP and evangelist Getrude Rwakatare for allegedly grabbing her city plot.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani