Nyumba za Mchungaji Lwakatare zavunjwa
Mchungaji wa Kanisa la Assemblies Of God Mikocheni, Dk. Getrude Lwakatare
MANENO SELANYIKA NA VICTOR MRUTU (TUDARCO)
SERIKALI jana imebomoa nyumba nne za Mchungaji wa Kanisa la Assemblies Of God Mikocheni, Dk. Getrude Lwakatare, zilizopo Mtaa wa Palm Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.
Inadaiwa Mchungaji Lwakatare alikuwa anamiliki eneo hilo kinyume na sheria.
Akizungumza na waandishi wa habari katika eneo la tukio, Mhandisi wa Manispaa ya Kinondoni, Baraka Mkuya, alisema uamuzi huo umetoka...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLNYUMBA ZAVUNJWA MANZESE KWA UJENZI MPYA
5 years ago
Bongo514 Feb
Video: Mchungaji Getrude Lwakatare aapishwa bungeni
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai amemuapisha Dkt Getrude Rwakatare kuwa Mbunge wa viti Maalum wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mheshimiwa Lwakatare ameapishwa mapema Alhamisi, Mjini Dodoma na Spika Ndugai, baada ya kuteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Aprili 14 mwaka huu ili kujaza nafasi iliyoachwa na Sophia Simba ambaye alivuliwa uanachama wa CCM kwa madai ya uvunjifu wa maadili ya kichama.
Video:
Dkt Getrude Lwakatare anaingia katika...
9 years ago
Mtanzania07 Jan
Mchungaji Lwakatare azuia hekalu lake kortini
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MAHAKAMA Kuu Kitengo cha Ardhi imezuia nyumba anayoishi Mchungaji wa Kanisa la Assemblies of God Mikocheni, Dk. Getrude Lwakatare kubomolewa.
Uamuzi huo wa mahakama ulitolewa juzi na Jaji John Mgeta, baada ya Wakili wa Lwakatare, Emmanuel Muga kuwasilisha maombi ya kupinga ubomoaji huo chini ya hati ya dharura.
Jaji Mgeta alizuia ubomoaji wa jengo hilo ama kuchukua hatua yoyote kuhusu jengo hilo lililopo Kawe Beach.
Muga aliwasilisha maombi akimwakilisha mdai...
5 years ago
Bongo514 Feb
Mchungaji Lwakatare azungumzia kuziba pengo la Sophia Simba
Mchungaji wa kanisa la Assemblies Of God maarufu kama ‘Mlima wa moto’ Dk Getrude Lakwatare, lililopo Mikocheni B, amemshukuru Rais Dk. John Magufuli kwa kumkumbuka na kumteua katika nafasi ya ubunge wa Viti Maalumu.
Mama Lwakatare alitoa shukrani hizo wakati wa Ibada ya Pasaka katika kanisa hilo.
“Tunasherehekea kumbukumbu ya kufufuka kwa mwokozi wetu Yesu ambaye alitufia pale msalabani. Pasaka ya mwaka huu ni yangu, Mungu ameniona. “Nina furaha ya mwili na roho kwa sababu Yesu amefufuka...
11 years ago
Habarileo08 Aug
Nyumba za Mchungaji Rwakatare zabomolewa
WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Makazi jana imebomoa nyumba nne zilizojengwa ndani ya kiwanja namba 314 zilichopo eneo la Mbezi Beach, jijini Dar es Salaam zinazomilikiwa na Mchungaji Getrude Rwakatare kwa tuhuma kuwa alivamia eneo hilo.
9 years ago
MillardAyo03 Jan
Nyumba ya Mch.LWAKATARE, Mawaziri wa Magufuli Vinginguti, KINGUNGE na kasi ya MAGUFULI..#Magazetini
HABARILEO Makatibu wakuu na Naibu Makatibu Wakuu walioteuliwa na kuapishwa juzi wamekutana katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya semina elekezi iliyoongozwa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue. Akizungumza kabla ya kuanza kwa mada zilizoandaliwa katika semina hiyo jana, Katibu Mkuu Kiongozi Sefue, alisema semina hiyo ni ya […]
The post Nyumba ya Mch.LWAKATARE, Mawaziri wa Magufuli Vinginguti, KINGUNGE na kasi ya MAGUFULI..#Magazetini appeared first on...
11 years ago
Mwananchi21 Jul
BRAZIL 2014: Rekodi nyingi zavunjwa
10 years ago
Daily News04 Dec
Lwakatare case adjourned
Daily News
Daily News
KAPAMA THE prosecution on Wednesday asked the Kutu Resident Magtrate's Court in Dar es Salaam for more time to complete the investigations into criminal charges against Chadema's Director of Defence and Security, Wilfred Lwakatare and another ...
10 years ago
IPPmedia14 Oct
Lwakatare's case rages on
IPPmedia
IPPmedia
Proceedings of the case facing Director of Defence and Security for Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilfred Lwakatare has raised legal arguments before the Court of Appeal in the application submitted by the Director of Public ...