Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyumba za Mchungaji Lwakatare zavunjwa

Mchungaji wa Kanisa la Assemblies Of God Mikocheni, Dk. Getrude Lwakatare

Mchungaji wa Kanisa la Assemblies Of God Mikocheni, Dk. Getrude Lwakatare

MANENO SELANYIKA NA VICTOR MRUTU (TUDARCO)

SERIKALI jana imebomoa nyumba nne za Mchungaji wa Kanisa la Assemblies Of God Mikocheni, Dk. Getrude Lwakatare, zilizopo Mtaa wa Palm Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.

Inadaiwa Mchungaji Lwakatare alikuwa anamiliki eneo hilo kinyume na sheria.

Akizungumza na waandishi wa habari katika eneo la tukio, Mhandisi wa Manispaa ya Kinondoni, Baraka Mkuya, alisema uamuzi huo umetoka...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

NYUMBA ZAVUNJWA MANZESE KWA UJENZI MPYA

Picha za tukio la eneo lililovunjwa. KAMERA ya mtandao huu wa GPL  leo mchana imenasa picha ya baadhi ya  nyumba zilizovunjwa  maeneo ya Manzese, jijini Dar es Salama, huku watoto wakionekana kufurahia kwa kupata eneo la kuchezea mpira, na wengine kujipatia mabaki ya nondo chakavu na vitu vingine walivyoona vinawafaa.…

 

5 years ago

Bongo5

Video: Mchungaji Getrude Lwakatare aapishwa bungeni

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai amemuapisha Dkt Getrude Rwakatare kuwa Mbunge wa viti Maalum wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mheshimiwa Lwakatare ameapishwa mapema Alhamisi, Mjini Dodoma na Spika Ndugai, baada ya kuteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Aprili 14 mwaka huu ili kujaza nafasi iliyoachwa na Sophia Simba ambaye alivuliwa uanachama wa CCM kwa madai ya uvunjifu wa maadili ya kichama.

Video:

Dkt Getrude Lwakatare anaingia katika...

 

9 years ago

Mtanzania

Mchungaji Lwakatare azuia hekalu lake kortini

lwakatareNa Kulwa Mzee, Dar es Salaam

MAHAKAMA Kuu Kitengo cha Ardhi imezuia nyumba anayoishi Mchungaji wa Kanisa  la  Assemblies of God Mikocheni, Dk. Getrude Lwakatare kubomolewa.

Uamuzi huo wa mahakama ulitolewa juzi na Jaji John Mgeta, baada ya Wakili wa Lwakatare, Emmanuel Muga kuwasilisha maombi ya kupinga ubomoaji huo chini ya hati ya dharura.

Jaji Mgeta alizuia ubomoaji wa jengo hilo ama kuchukua hatua yoyote kuhusu jengo hilo lililopo Kawe Beach.

Muga aliwasilisha maombi akimwakilisha mdai...

 

5 years ago

Bongo5

Mchungaji Lwakatare azungumzia kuziba pengo la Sophia Simba

Mchungaji wa kanisa la Assemblies Of God maarufu kama ‘Mlima wa moto’ Dk Getrude Lakwatare, lililopo Mikocheni B, amemshukuru Rais Dk. John Magufuli kwa kumkumbuka na kumteua katika nafasi ya ubunge wa Viti Maalumu.

Mama Lwakatare alitoa shukrani hizo wakati wa Ibada ya Pasaka katika kanisa hilo.

“Tunasherehekea kumbukumbu ya kufufuka kwa mwokozi wetu Yesu ambaye alitufia pale msalabani. Pasaka ya mwaka huu ni yangu, Mungu ameniona. “Nina furaha ya mwili na roho kwa sababu Yesu amefufuka...

 

11 years ago

Habarileo

Nyumba za Mchungaji Rwakatare zabomolewa

WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Makazi jana imebomoa nyumba nne zilizojengwa ndani ya kiwanja namba 314 zilichopo eneo la Mbezi Beach, jijini Dar es Salaam zinazomilikiwa na Mchungaji Getrude Rwakatare kwa tuhuma kuwa alivamia eneo hilo.

 

9 years ago

MillardAyo

Nyumba ya Mch.LWAKATARE, Mawaziri wa Magufuli Vinginguti, KINGUNGE na kasi ya MAGUFULI..#Magazetini

HABARILEO Makatibu wakuu na Naibu Makatibu Wakuu walioteuliwa na kuapishwa juzi wamekutana katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya semina elekezi iliyoongozwa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue. Akizungumza kabla ya kuanza kwa mada zilizoandaliwa katika semina hiyo jana, Katibu Mkuu Kiongozi Sefue, alisema semina hiyo ni ya […]

The post Nyumba ya Mch.LWAKATARE, Mawaziri wa Magufuli Vinginguti, KINGUNGE na kasi ya MAGUFULI..#Magazetini appeared first on...

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Rekodi nyingi zavunjwa

Hivi sasa tunasubiri miaka mingine minne ijayo kwa ajili ya kushuhudia Fainali za Kombe la Dunia 2018.

 

10 years ago

Daily News

Lwakatare case adjourned


Daily News
Lwakatare case adjourned
Daily News
KAPAMA THE prosecution on Wednesday asked the Kutu Resident Magtrate's Court in Dar es Salaam for more time to complete the investigations into criminal charges against Chadema's Director of Defence and Security, Wilfred Lwakatare and another ...

 

10 years ago

IPPmedia

Lwakatare's case rages on


IPPmedia
Lwakatare's case rages on
IPPmedia
Proceedings of the case facing Director of Defence and Security for Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilfred Lwakatare has raised legal arguments before the Court of Appeal in the application submitted by the Director of Public ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani