Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchungaji Lwakatare azuia hekalu lake kortini

lwakatareNa Kulwa Mzee, Dar es Salaam

MAHAKAMA Kuu Kitengo cha Ardhi imezuia nyumba anayoishi Mchungaji wa Kanisa  la  Assemblies of God Mikocheni, Dk. Getrude Lwakatare kubomolewa.

Uamuzi huo wa mahakama ulitolewa juzi na Jaji John Mgeta, baada ya Wakili wa Lwakatare, Emmanuel Muga kuwasilisha maombi ya kupinga ubomoaji huo chini ya hati ya dharura.

Jaji Mgeta alizuia ubomoaji wa jengo hilo ama kuchukua hatua yoyote kuhusu jengo hilo lililopo Kawe Beach.

Muga aliwasilisha maombi akimwakilisha mdai...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video: Ronaldo aonyesha hekalu lake Hispania

ronaldo6

Mchezaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo amewaonesha mashabiki mjengo wake wa kifahari kupitia video, wenye thamani ya pauni milioni 4.8.

ronaldo6

Hekalu hilo lipo La Finca sehemu ya Pozuelo de Alarcon – kitongoji cha wasomi kilomita 10 magharibi mwa wilaya ya Moncloa, Madrid pia iko karibu na nyumba za wachezaji mwenzake Gareth Bale na gwiji wa Ufaransa, Zinedine Zidane.

Akiwa na mpiga picha wa kampuni ya Unscripted Sport, Ronaldo ambaye analipwa pauni 288,000 kwa wiki baada ya kukatwa kodi...

 

11 years ago

Mtanzania

Nyumba za Mchungaji Lwakatare zavunjwa

Mchungaji wa Kanisa la Assemblies Of God Mikocheni, Dk. Getrude Lwakatare

Mchungaji wa Kanisa la Assemblies Of God Mikocheni, Dk. Getrude Lwakatare

MANENO SELANYIKA NA VICTOR MRUTU (TUDARCO)

SERIKALI jana imebomoa nyumba nne za Mchungaji wa Kanisa la Assemblies Of God Mikocheni, Dk. Getrude Lwakatare, zilizopo Mtaa wa Palm Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.

Inadaiwa Mchungaji Lwakatare alikuwa anamiliki eneo hilo kinyume na sheria.

Akizungumza na waandishi wa habari katika eneo la tukio, Mhandisi wa Manispaa ya Kinondoni, Baraka Mkuya, alisema uamuzi huo umetoka...

 

5 years ago

Bongo5

Video: Mchungaji Getrude Lwakatare aapishwa bungeni

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai amemuapisha Dkt Getrude Rwakatare kuwa Mbunge wa viti Maalum wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mheshimiwa Lwakatare ameapishwa mapema Alhamisi, Mjini Dodoma na Spika Ndugai, baada ya kuteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Aprili 14 mwaka huu ili kujaza nafasi iliyoachwa na Sophia Simba ambaye alivuliwa uanachama wa CCM kwa madai ya uvunjifu wa maadili ya kichama.

Video:

Dkt Getrude Lwakatare anaingia katika...

 

5 years ago

Bongo5

Mchungaji Lwakatare azungumzia kuziba pengo la Sophia Simba

Mchungaji wa kanisa la Assemblies Of God maarufu kama ‘Mlima wa moto’ Dk Getrude Lakwatare, lililopo Mikocheni B, amemshukuru Rais Dk. John Magufuli kwa kumkumbuka na kumteua katika nafasi ya ubunge wa Viti Maalumu.

Mama Lwakatare alitoa shukrani hizo wakati wa Ibada ya Pasaka katika kanisa hilo.

“Tunasherehekea kumbukumbu ya kufufuka kwa mwokozi wetu Yesu ambaye alitufia pale msalabani. Pasaka ya mwaka huu ni yangu, Mungu ameniona. “Nina furaha ya mwili na roho kwa sababu Yesu amefufuka...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Lwakatare aibwaga serikali kortini

MKURUGENZI wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilfred Lwakatare, ameshinda rufaa ya maombi ya marejeo yaliyowasilishwa na Serikali kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania...

 

11 years ago

Mwananchi

Lwakatare, DPP kuchuana upya kortini leo

Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Wilfred Lwakatare leo anatarajiwa kuchuana upya na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) wakati Mahakama ya Rufani itakaposikiliza maombi ya marejeo ya hukumu ya Mahakama Kuu iliyomfutia mashtaka ya ugaidi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hekalu la Palmyra limeharibiwa kabisa-UN

Umoja wa Mataifa umesema kuwa picha zilizonaswa na satelite zimethibitisha kuwa hekalu la Palmyra Kaskazini mwa Syria umeharibiwa

 

11 years ago

BBCSwahili

Washambuliana ndani ya Hekalu India

Watu kadhaa wamejeruhiwa baada ya waumini wa Sikh wakiwa wamejihami kwa mapanga kushambuliana katika hekalu nchini India.

 

10 years ago

Vijimambo

Mbunge ahoji hekalu la mwenzake kutobomolewa.

Mbunge wa Viti Maalum, Ester Bulaya (CCM).
Mbunge wa Viti Maalum, Ester Bulaya (CCM) (pichani), ameishambulia Serikali hususani Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (Nemc) kuwa ndumila kuwili kwa kushindwa kubomoa hekalu lililojengwa eneo la Mbezi Beach, Dar es Salaam.

Bila kumtaja anayemiliki hekalu hilo, Esther alisema kuwa baadhi ya watu waliojenga majumba katika maneo yasiyoruhusiwa kisheria, wameketi upande wa kulia na kushoto kwake bungeni humo.

Alisema hayo wakati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani