Lwakatare, DPP kuchuana upya kortini leo
Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Wilfred Lwakatare leo anatarajiwa kuchuana upya na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) wakati Mahakama ya Rufani itakaposikiliza maombi ya marejeo ya hukumu ya Mahakama Kuu iliyomfutia mashtaka ya ugaidi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi03 Mar
Sheikh Ponda, DPP kortini leo
10 years ago
Daily News27 Jul
DPP wants Lwakatare charged over 'terror'
Daily News
THE Director of Public Prosecutions (DPP) has filed an application before the Court of Appeal to oppose the dismissal of terrorism charges against the Director of Defence and Security of Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare, ...
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Mvutano mkali Lwakatare, DPP
RUFAA iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), dhidi ya Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demopkrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilfred Lwakatare na mwenzake Joseph Ludovick imeibua mvutano...
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Court rejects DPP appeal on Lwakatare
10 years ago
Habarileo06 Dec
Maombi ya DPP kesi ya Lwakatare yatupwa
KESI ya ugaidi iliyowasilishwa katika Mahakama ya Rufaa na Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), kuomba marejeo ya hukumu ya Mahakama Kuu iliyompa ushindi Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Wilfred Lwakatare, imetupiliwa mbali kutokana na kuwepo kwa upungufu wa kisheria.
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
Lwakatare aibwaga serikali kortini
MKURUGENZI wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilfred Lwakatare, ameshinda rufaa ya maombi ya marejeo yaliyowasilishwa na Serikali kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania...
9 years ago
Mtanzania07 Jan
Mchungaji Lwakatare azuia hekalu lake kortini
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MAHAKAMA Kuu Kitengo cha Ardhi imezuia nyumba anayoishi Mchungaji wa Kanisa la Assemblies of God Mikocheni, Dk. Getrude Lwakatare kubomolewa.
Uamuzi huo wa mahakama ulitolewa juzi na Jaji John Mgeta, baada ya Wakili wa Lwakatare, Emmanuel Muga kuwasilisha maombi ya kupinga ubomoaji huo chini ya hati ya dharura.
Jaji Mgeta alizuia ubomoaji wa jengo hilo ama kuchukua hatua yoyote kuhusu jengo hilo lililopo Kawe Beach.
Muga aliwasilisha maombi akimwakilisha mdai...
11 years ago
GPL17 May
11 years ago
Michuzi01 Feb
RADIOMBAO KUZINDULIWA UPYA LEO
![My bad, nimesahau kuweka anwani ya mtandaoni ya RADIO MBAO. Ni www.radiombao.com na itakuwa hewani kuanzia Februari Mosi 2014. Sie tunaamini katika #SharingIsCaring , na RADIOMBAO inakuhamasisha nawe ku-share nasi habari yoyote ile . Usihofie kwamba “ah mie sio mwandishi” tutahariri habari yako na itasomwa/kusikika katika nchi 138 duniani. Na wala usikwazwe na “ah mie sijawahi kuandika” kwani kama unaweza kuandika SMS basi kwa hakika unaweza pia kuandika habari. Pia kila jambo lina mwanzo, mtoto hazaliwi akitembea. Kwahiyo yawezekana RADIOMBAO ikaibua kipaji chako…lakini ili hilo liwezekane basi usihofie ku-share nasi habari. Ni Jumamosi Februari 1, 2014, mahali pa kukutana ni www.radiombao.com #SharingIsCaring (at Glasgow)](http://31.media.tumblr.com/946bfbe0832fc2c069028f00eb9a104b/tumblr_n05ck7D7K71qzfdwuo1_500.jpg)
RADIO MBAO: Ninaomba kuwafahamisha kuwa mie na mwenzangu @djkvelli mkongwe wa masuala ya entertainment kama dj nchini Marekani na mmiliki wa kituo maarufu cha radio mtandaoni, RADIOMBAO, tumeunganisha nguvu, na kwa pamoja tunawaletea uzinduzi RADIOMBAO katika sura mpya. Licha ya matangazo ya radio, RADIOMBAO sasa inakuletea habari mbalimbali katika namna tofauti (bringing you news not in your traditional way). Uzinduzi rasmi utakuwa LEO Jumamosi ya Februari 1 mwaka huu 2014.
Tunataka...