Mvutano mkali Lwakatare, DPP
RUFAA iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), dhidi ya Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demopkrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilfred Lwakatare na mwenzake Joseph Ludovick imeibua mvutano...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Daily News27 Jul
DPP wants Lwakatare charged over 'terror'
Daily News
THE Director of Public Prosecutions (DPP) has filed an application before the Court of Appeal to oppose the dismissal of terrorism charges against the Director of Defence and Security of Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare, ...
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Court rejects DPP appeal on Lwakatare
10 years ago
Habarileo06 Dec
Maombi ya DPP kesi ya Lwakatare yatupwa
KESI ya ugaidi iliyowasilishwa katika Mahakama ya Rufaa na Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), kuomba marejeo ya hukumu ya Mahakama Kuu iliyompa ushindi Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Wilfred Lwakatare, imetupiliwa mbali kutokana na kuwepo kwa upungufu wa kisheria.
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Lwakatare, DPP kuchuana upya kortini leo
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Mvutano mkali Bunge, Mahakama
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Mvutano mkali wasubiriwa kesho
11 years ago
Mwananchi04 May
Mvutano mkali watokea baina ya Serikali na Bunge
9 years ago
Mtanzania22 Oct
Mvutano mkali waibuka kortini kesi ya mita 200
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
MVUTANO mkali wa zaidi ya saa sita umeibuka katika kesi ya kutaka kujua uhalali wa wananchi ama wapigakura kukaa nje ya mita 200 kutoka katika vituo vya kupigia kura na kutaka tafsiri ya mahakama kuhusu kifungu cha sheria ya uchaguzi namba 104(1).
Mvutano huo uliibuka kati ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) na wakili wa mleta maombi katika shauri hilo wakati Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ilipoanza kusikiliza kesi hiyo jana.
Kesi hiyo inayosikilizwa na...
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-niM0Gpu_Rxw/U58URqVpIII/AAAAAAAABQE/VC21qXrf9us/s72-c/CHENGE2.jpg)
MVUTANO BAJETI
Kamati ya Bunge yasema serikali haitaki kusikiliza ushauri Yadaiwa haiumizi kichwa kusaka vyanzo vingine vya mapato Yabanwa na kutakiwa kurejesha mikopo ya mifuko ya hifadhi
NA WAANDISHI WETU, DODOMA
UCHAMBUZI wa bajeti ya Serikali ya mwaka 2014/2015 uneonyesha kuwa mzigo wa matumizi ni mkubwa ikilinganishwa na vyanzo vya mapato.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti ya Bunge, Andrew Chenge, alipokua akiwasilisha taarifa ya kamati yake bungeni.
![](http://4.bp.blogspot.com/-niM0Gpu_Rxw/U58URqVpIII/AAAAAAAABQE/VC21qXrf9us/s1600/CHENGE2.jpg)