Mvutano mkali Bunge, Mahakama
Kitendo cha Mahakama kufungua milango kwa mawaziri na wabunge kufunguliwa mashtaka kutokana na kauli watakazozitoa bungeni ambazo ni kinyume cha Katiba na Sheria, kimeonekana kuwachanganya viongozi hao ambao wamesema kuwa wanalindwa na sheria ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 May
Mvutano mkali watokea baina ya Serikali na Bunge
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Mvutano mkali Lwakatare, DPP
RUFAA iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), dhidi ya Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demopkrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilfred Lwakatare na mwenzake Joseph Ludovick imeibua mvutano...
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Mvutano mkali wasubiriwa kesho
9 years ago
Mtanzania22 Oct
Mvutano mkali waibuka kortini kesi ya mita 200
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
MVUTANO mkali wa zaidi ya saa sita umeibuka katika kesi ya kutaka kujua uhalali wa wananchi ama wapigakura kukaa nje ya mita 200 kutoka katika vituo vya kupigia kura na kutaka tafsiri ya mahakama kuhusu kifungu cha sheria ya uchaguzi namba 104(1).
Mvutano huo uliibuka kati ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) na wakili wa mleta maombi katika shauri hilo wakati Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ilipoanza kusikiliza kesi hiyo jana.
Kesi hiyo inayosikilizwa na...
11 years ago
Mwananchi16 Jun
Siri ya mvutano Serikali, Bunge kuanikwa leo
11 years ago
Uhuru Newspaper16 Jun
Mjadala mkali kutikisa bunge
NA SELINA WILSON, DODOMA
MJADALA mkali unatarajiwa kutikisa Bunge leo, wakati wabunge watakapoanza kuchangia bajeti ya serikali kwa mwaka 2014/2015 iliyowasilishwa bungeni Alhamisi iliyopita.
Bajeti hiyo iliwasilishwa na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum, na kufuatiliwa kwa karibu na wadau wa maendeleo wa ndani na nje ya nchi huku baadhi yao wakipata fursa ya kuwepo bungeni ilipowasilishwa.
Hoja zinazotarajiwa kuteka mjadala huo ni pamoja na kodi ya Payee wanayokatwa wafanyakazi ambayo...
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Kura ya siri yazua mjadala mkali #Bunge la #Katiba [VIDEO]
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Asasi zalia na ulinzi mkali #Bunge la #Katiba, zahofu raia wataminywa [VIDEO]
10 years ago
Tanzania Daima04 Dec
Mahakama yalifunga Bunge
HATIMAYE hofu ya Bunge kuporwa madaraka yake na Mahakama imetimia baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kuafiki ombi la Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) la...