Siri ya mvutano Serikali, Bunge kuanikwa leo
Siri ya mvutano uliodumu kwa takriban wiki mbili baina ya Serikali na Kamati ya Bajeti, utawekwa hadharani leo wakati Bunge litakapoanza kujadili Bajeti Kuu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 May
Mvutano mkali watokea baina ya Serikali na Bunge
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Mvutano mkali Bunge, Mahakama
11 years ago
Michuzi.jpg)
KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE YAKUTANA NA SERIKALI PAMOJA NA KAMATI YA BUNGE YA BAJETI MJINI DODOMA LEO
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Kura ya siri yapasua Bunge
KURA ya siri sasa imegeuka mwiba mchungu kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambapo sasa kimeapa kufa na kada yeyote atakayeunga mkono upigaji wa kura hiyo katika kupitisha vifungu vya Rasimu...
11 years ago
Habarileo28 Feb
Kura ya siri yaweka Bunge njiapanda
KIFUNGU cha kura ya siri katika Rasimu ya Kanuni za Bunge Maalumu la Katiba, kimeliweka Bunge njia panda baada ya wajumbe bila kujali vyama na makundi, kugawanyika.
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
Mafisadi wa IPTL kuanikwa Nov 26
HATIMA ya vigogo wanaotuhumiwa kuchota fedha zaidi ya sh. bilioni 300 katika akaunti ya Tegeta Escrow ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), itajulikana Novemba 26 mwaka huu, wakati ripoti ya...
11 years ago
Mwananchi04 Apr
Wasamehewa kodi kuanikwa bungeni
10 years ago
Uhuru Newspaper13 Nov
Wakwepa kodi sasa kuanikwa
NA THEODOS MGOMBA NA NJUMAI NGOTA
SERIKALI imewasilisha Bungeni muswada wa Sheria ya Usimamizi wa Kodi, ambao pamoja na mambo mengine, utaweka utaratibu wa kuwatangaza kwenye vyombo vya habari wakwepa kodi wote.
Akiwasilisha muswada huo bungeni jana, Waziri Fedha, Saada Mkuya Salum, alisema madhumuni ya muswada huo ni kuweka mfumo wa kisasa.
Waziri alisema nia ya kuwatangaza wakwepa kodi hao, ambao watathibitika kufanya hivyo, kutapunguza makosa sugu na ya makusudi.
Alisema mfumo huo wa kodi...
11 years ago
Mtanzania24 Sep
Siri ya AG Z’bar kujiuzulu Bunge la Katiba yabainika

Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Othman Masoud Othman
NA WAANDISHI WETU, DAR NA DODOMA
SIRI ya Mwanasheria Mkuu (AG) wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Othman Masoud Othman kujiuzulu ujumbe wa Kamati ya Uandishi ya Bunge Maalumu la Katiba, imebainika.
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Kamati ya Uandishi ya Bunge hilo, kililiambia MTANZANIA kuwa wakati vikao vya kamati hiyo vikiendelea, Othman alipendekeza mambo 17 yenye maslahi kwa Zanzibar yaingizwe ndani ya...