Mvutano mkali watokea baina ya Serikali na Bunge
Sasa ni dhahiri kwamba kuna msuguano wa wazi kati ya mihimili miwili ya dola, Bunge na Serikali, kuhusiana na hatua ya Serikali kuchelewa kutekeleza maazimio ya Bunge.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Mvutano mkali Bunge, Mahakama
11 years ago
Mwananchi16 Jun
Siri ya mvutano Serikali, Bunge kuanikwa leo
11 years ago
Mwananchi01 Sep
Mvutano mkali wasubiriwa kesho
11 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Mvutano mkali Lwakatare, DPP
RUFAA iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), dhidi ya Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demopkrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilfred Lwakatare na mwenzake Joseph Ludovick imeibua mvutano...
10 years ago
Mtanzania22 Oct
Mvutano mkali waibuka kortini kesi ya mita 200
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
MVUTANO mkali wa zaidi ya saa sita umeibuka katika kesi ya kutaka kujua uhalali wa wananchi ama wapigakura kukaa nje ya mita 200 kutoka katika vituo vya kupigia kura na kutaka tafsiri ya mahakama kuhusu kifungu cha sheria ya uchaguzi namba 104(1).
Mvutano huo uliibuka kati ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) na wakili wa mleta maombi katika shauri hilo wakati Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ilipoanza kusikiliza kesi hiyo jana.
Kesi hiyo inayosikilizwa na...
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Mbunge ahoji mawasiliano baina ya Bunge la E.A na la Muungano
11 years ago
Mwananchi07 May
Ni ‘vita’ baina ya serikali na wananchi na siyo upinzani
9 years ago
Michuzi14 Dec
Wasanii waaswa kuendeleza ushirikiano baina yao na Serikali


11 years ago
Uhuru Newspaper16 Jun
Mjadala mkali kutikisa bunge
NA SELINA WILSON, DODOMA
MJADALA mkali unatarajiwa kutikisa Bunge leo, wakati wabunge watakapoanza kuchangia bajeti ya serikali kwa mwaka 2014/2015 iliyowasilishwa bungeni Alhamisi iliyopita.
Bajeti hiyo iliwasilishwa na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum, na kufuatiliwa kwa karibu na wadau wa maendeleo wa ndani na nje ya nchi huku baadhi yao wakipata fursa ya kuwepo bungeni ilipowasilishwa.
Hoja zinazotarajiwa kuteka mjadala huo ni pamoja na kodi ya Payee wanayokatwa wafanyakazi ambayo...