Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mvutano mkali wasubiriwa kesho

Wenyeviti wa Kamati za Bunge wametabiri mvutano mkali bungeni wakati wa kuwasilishwa kwa maoni ya kamati zote kuhusu Rasimu ya Katiba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mvutano mkali Bunge, Mahakama

Kitendo cha Mahakama kufungua milango kwa mawaziri na wabunge kufunguliwa mashtaka kutokana na kauli watakazozitoa bungeni ambazo ni kinyume cha Katiba na Sheria, kimeonekana kuwachanganya viongozi hao ambao wamesema kuwa wanalindwa na sheria ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mvutano mkali Lwakatare, DPP

RUFAA iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), dhidi ya Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demopkrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilfred Lwakatare na mwenzake Joseph Ludovick imeibua mvutano...

 

11 years ago

Mwananchi

Mvutano mkali watokea baina ya Serikali na Bunge

Sasa ni dhahiri kwamba kuna msuguano wa wazi kati ya mihimili miwili ya dola, Bunge na Serikali, kuhusiana na hatua ya Serikali kuchelewa kutekeleza maazimio ya Bunge.

 

9 years ago

Mtanzania

Mvutano mkali waibuka kortini kesi ya mita 200

Pg 4 oct 22NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM

MVUTANO mkali wa zaidi ya saa sita umeibuka katika kesi ya kutaka kujua uhalali wa wananchi ama wapigakura kukaa nje ya mita 200 kutoka katika vituo vya kupigia kura na kutaka tafsiri ya mahakama kuhusu kifungu cha sheria ya uchaguzi namba 104(1).

Mvutano huo uliibuka kati ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) na wakili wa mleta maombi katika shauri hilo wakati Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ilipoanza kusikiliza kesi hiyo jana.

Kesi hiyo inayosikilizwa na...

 

9 years ago

Mwananchi

Hukumu mvutano mazishi ya mawazo kesho

Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza kesho mchana inatarajiwa kutoa hukumu ya kesi iliyofunguliwa na ndugu wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo wakipinga zuio la polisi kuchukua na kuaga mwili wa Mawazo kwa maelezo ya kuwepo kwa mlipuko wa ugonjwa wa Kipindupindu.

 

5 years ago

Michuzi

RC MAKONDA ATANGAZA VITA NA WANAOPANDISHA BEI YA SUKARI, MSAKO MKALI KUANZA KESHO.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo ametangaza vita na Wafanyabiashara wanaouza Sukari kwa bei ghali tofauti na bei elekezi ya Serikali ambapo amesema ifikapo Kesho kikosi kazi kitafanya ukaguzi na watakaobainika kuuza bidhaa hiyo kwa bei ya juu Watakamatwa na Sukari kutaifishwa na Serikali.

RC Makonda amewaelekeza Wakuu wa Wilaya zote Tano za Mkoa huo kuhakikisha msako huo unaanza kesho na asisalie Mfanyabiashara yoyote anaeuza Sukari hiyo kwa Bei ya Juu.

Hatua hiyo imekuja...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uamuzi wasubiriwa kuhusu rufaa ya Lubanga ICC

Mahakama ya kimataifa ya ICC mjini Hague inatarajiwa kutangaza uamuzi wake leo kuhusu rufaa iliyowasilishwa na mtu wa kwanza kuhukumiwa na mahakama hio Thomas Lubanga

 

10 years ago

Vijimambo

DEADLINE NI KESHO ....MWISHO WA KUNUNUA TICKET ZA DISCOUNT KWA $75 NI KESHO ,BAADA YA KESHO ZITAKUWA $100.

           NUNUA YAKO SASA INGIA..    WWW.DIAMONDUSATOUR.COM AU PIGA 3016616207 NOW.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

MVUTANO BAJETI



 Kamati ya Bunge yasema serikali haitaki kusikiliza ushauri  Yadaiwa haiumizi kichwa kusaka vyanzo vingine vya mapato  Yabanwa na kutakiwa kurejesha mikopo ya mifuko ya hifadhi
NA WAANDISHI WETU, DODOMA
UCHAMBUZI wa bajeti ya Serikali ya mwaka 2014/2015 uneonyesha kuwa mzigo wa matumizi ni mkubwa ikilinganishwa na vyanzo vya mapato.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti ya Bunge, Andrew Chenge, alipokua akiwasilisha taarifa ya kamati yake bungeni.
Chenge alisema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani