Mvutano mkali wasubiriwa kesho
Wenyeviti wa Kamati za Bunge wametabiri mvutano mkali bungeni wakati wa kuwasilishwa kwa maoni ya kamati zote kuhusu Rasimu ya Katiba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Mvutano mkali Bunge, Mahakama
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Mvutano mkali Lwakatare, DPP
RUFAA iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), dhidi ya Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demopkrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilfred Lwakatare na mwenzake Joseph Ludovick imeibua mvutano...
11 years ago
Mwananchi04 May
Mvutano mkali watokea baina ya Serikali na Bunge
9 years ago
Mtanzania22 Oct
Mvutano mkali waibuka kortini kesi ya mita 200
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
MVUTANO mkali wa zaidi ya saa sita umeibuka katika kesi ya kutaka kujua uhalali wa wananchi ama wapigakura kukaa nje ya mita 200 kutoka katika vituo vya kupigia kura na kutaka tafsiri ya mahakama kuhusu kifungu cha sheria ya uchaguzi namba 104(1).
Mvutano huo uliibuka kati ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) na wakili wa mleta maombi katika shauri hilo wakati Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ilipoanza kusikiliza kesi hiyo jana.
Kesi hiyo inayosikilizwa na...
9 years ago
Mwananchi25 Nov
Hukumu mvutano mazishi ya mawazo kesho
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-p1b8hyTvUyI/Xq_4sRFfjPI/AAAAAAALpB0/xgutdYS6RYsLskWX1xuXAux5VIxMcEvgACLcBGAsYHQ/s72-c/17b9d5d4-1bc8-41b9-a2a6-f81976619abe.jpg)
RC MAKONDA ATANGAZA VITA NA WANAOPANDISHA BEI YA SUKARI, MSAKO MKALI KUANZA KESHO.
![](https://1.bp.blogspot.com/-p1b8hyTvUyI/Xq_4sRFfjPI/AAAAAAALpB0/xgutdYS6RYsLskWX1xuXAux5VIxMcEvgACLcBGAsYHQ/s640/17b9d5d4-1bc8-41b9-a2a6-f81976619abe.jpg)
RC Makonda amewaelekeza Wakuu wa Wilaya zote Tano za Mkoa huo kuhakikisha msako huo unaanza kesho na asisalie Mfanyabiashara yoyote anaeuza Sukari hiyo kwa Bei ya Juu.
Hatua hiyo imekuja...
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Uamuzi wasubiriwa kuhusu rufaa ya Lubanga ICC
10 years ago
Vijimambo![](https://lh3.googleusercontent.com/-JZ91ljyh71w/VF-kCddS14I/AAAAAAAARZo/5UT0rCGq3LU/s72-c/blogger-image-880205719.jpg)
DEADLINE NI KESHO ....MWISHO WA KUNUNUA TICKET ZA DISCOUNT KWA $75 NI KESHO ,BAADA YA KESHO ZITAKUWA $100.
![](https://lh3.googleusercontent.com/-JZ91ljyh71w/VF-kCddS14I/AAAAAAAARZo/5UT0rCGq3LU/s640/blogger-image-880205719.jpg)
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-niM0Gpu_Rxw/U58URqVpIII/AAAAAAAABQE/VC21qXrf9us/s72-c/CHENGE2.jpg)
MVUTANO BAJETI
Kamati ya Bunge yasema serikali haitaki kusikiliza ushauri Yadaiwa haiumizi kichwa kusaka vyanzo vingine vya mapato Yabanwa na kutakiwa kurejesha mikopo ya mifuko ya hifadhi
NA WAANDISHI WETU, DODOMA
UCHAMBUZI wa bajeti ya Serikali ya mwaka 2014/2015 uneonyesha kuwa mzigo wa matumizi ni mkubwa ikilinganishwa na vyanzo vya mapato.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti ya Bunge, Andrew Chenge, alipokua akiwasilisha taarifa ya kamati yake bungeni.
![](http://4.bp.blogspot.com/-niM0Gpu_Rxw/U58URqVpIII/AAAAAAAABQE/VC21qXrf9us/s1600/CHENGE2.jpg)