Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni ‘vita’ baina ya serikali na wananchi na siyo upinzani

>Tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini   mwaka 1992, hali ya kisiasa imekuwa ni ya mvurugano. Watawala, CCM wamekuwa wakilinda nafasi yao ili isichukuliwe na wapinzani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Sasa ni vita ya serikali na wananchi

TANGU kuzaliwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania mwaka 1992 hali ya kisiasa imekuwa ya mvurugano. Watawala ambao ni CCM wamekuwa wakilinda nafasi yao ili isichukuliwe na wapinzani wao....

 

10 years ago

Mwananchi

Uhasama baina ya wahifadhi, wananchi unavyochochea vitendo vya ujangili

Licha ya kukinzana, mipango mbalimbali imekuwa ikifanywa ili kudhibiti tatizo hilo ambalo linatishia kumaliza tembo, wanyama ambao ni adimu na walio kivutio kikubwa cha utalii.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa: Nimepoteza pambano siyo vita

Aliyekuwa mgombea wa urais kupitia Chadema na Ukawa, Edward Lowassa amesema ataendelea kushiriki kikamilifu katika siasa na kubainisha kuwa utaendeleza mapambano ya mabadiliko kwa kudai Katiba Mpya.

 

11 years ago

Mwananchi

Mvutano mkali watokea baina ya Serikali na Bunge

Sasa ni dhahiri kwamba kuna msuguano wa wazi kati ya mihimili miwili ya dola, Bunge na Serikali, kuhusiana na hatua ya Serikali kuchelewa kutekeleza maazimio ya Bunge.

 

9 years ago

Michuzi

Wasanii waaswa kuendeleza ushirikiano baina yao na Serikali

cb3Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akihutubia mbele ya wadau wa sanaa (hawapo pichani)wakati wa hafla ya kufunga maonyesho ya Siku ya Msanii iliyofanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa mapema wikiendi hii jijini Dar es Salaam.cb2Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akisalimiana na Rais wa Shirikisho la wasanii wa Filamu Tanzania Bw. Simon Mwakifamba mara baada ya kuwasili katika...

 

10 years ago

Michuzi

MTEMVU: CCM ITAUPUKUTISHA UPINZANI TEMEKE UCHAGUZI WA MITAA, SIYO KWA NGUVU ILA KWA MATUNDA YA UTEKELEZAJI ILANI

Mbunge wa Temeke, Abbas  Mtemvu akihutubia mkutano wa hadhara uliofabyika kwenye Uwanja wa shule ya Sokoine, Temeke jijini Dar es Salaam, jana, Agosti 30, 2014.Mtemvu akishangiliwa wakati akihutubia mkutano huo wa hadharaMbunge wa Temeke Abbas Mtemvu akimpa kadi ya Uanachama wa UWT Maridha Rajabu wakati wa mkutano huo, wanachama wapya 45 wa jumuia hiyo walipewa kadiMbunge wa temeke,  Mtemvu akimtuza msanii Omari Tego baada ya kukunwa na msanii huo kwa kuimba wimbo maalum wa CCM wakati wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Zacharia: Niliomba utumishi kwa wananchi, siyo ubosi

Kata ya Endiamtu iliyopo Mkoa wa Manyara, ndiyo inayoongoza kwa kuwa na maendeleo wilayani Simanjiro. Kata hiyo yenye idadi ya watu 29,000 ina shule saba za msingi, ambapo tatu ni za Serikali na nne za watu binafsi, ina shule moja ya sekondari na ina kituo kimoja cha afya na zahanati moja ya taasisi ya kidini

 

9 years ago

Dewji Blog

Mgombea wa CCM awatahadharisha wananchi kutoendelea kusikiliza propaganda za vyama vya upinzani

SAM_0074 Mgombea ubunge wa jimbo la Singida mashariki (CCM),Bwana Jonathani Njau )aliyesimama katikati ya uwanja akiwaomba kura za kuwa mbunge wa jimbo hilo katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Okt,25, mwaka huu.

Na, Jumbe Ismailly, Ikungi     

MGOMBEA wa ubunge wa jimbo la Singida mashariki kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),Jonathani Njau amewataka wananchi wa jimbo hilo kutokuwa tayari kuendelea kusikiliza Propaganda za kisiasa,walizozisikiliza kwa kipindi cha miaka mitano sasa,na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wananchi washiriki vita ya ujangili’

KAMATI Tendaji ya Umoja wa Wabunge wa Uhifadhi na Matumizi Endelevu ya Wanyamapori imetaka kuwepo kwa ushirikishwaji wa kutosha wa wananchi waishio karibu na hifadhi ili kudhibiti ujangili. Wakizungumza na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani