Lowassa: Nimepoteza pambano siyo vita
Aliyekuwa mgombea wa urais kupitia Chadema na Ukawa, Edward Lowassa amesema ataendelea kushiriki kikamilifu katika siasa na kubainisha kuwa utaendeleza mapambano ya mabadiliko kwa kudai Katiba Mpya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo13 Sep
PAMBANO HILI NI LEO USIKU LAKINI LINAONEKANA KUDODA SIYO KAMA PAMBANO LILILOPITA MAYWEATHER NA PAC.
![](https://scontent-ord1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpt1/v/t1.0-0/p280x280/12006246_1050293754989289_1837075724729834108_n.jpg?oh=695a337baac06b37f64c7c95e78eceee&oe=569FD355)
Je,unamshabikia nani katika pigano la kesho kati ya bingwa wa ndondi duniani uzani wa welter Floyd Mayweather na Andre Berto?
10 years ago
Mwananchi08 Aug
Dk Magufuli, Lowassa pambano la karne
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-U6YfGmXUcTg/VZVKTbVvkfI/AAAAAAAAw8A/UhYrsWwreYU/s72-c/DSC_0241-FILEminimizer.jpg)
Makongoro: Lowassa sikumuona Vita ya Kagera, Labda alikuja baada ya vita kuburudisha wanajeshi
![](http://2.bp.blogspot.com/-U6YfGmXUcTg/VZVKTbVvkfI/AAAAAAAAw8A/UhYrsWwreYU/s640/DSC_0241-FILEminimizer.jpg)
CHARLES Makongoro Nyerere (CMN) ni miongoni mwa wanachama wa CCM waliotangaza nia ya kutaka kuchaguliwa kuwania urais kupitia chama hicho mwaka huu. Raia Mwema lilifanya naye mahojiano wiki hii nyumbani kwake jijini Dar es Salaam. Endelea
-RAIA MWEMA: Kwanini wana CCM wanatakiwa wakuchague wewe uwe mgombea wao na si mwingine miongoni mwa wenzako 41 waliojitokeza kuwania nafasi hiyo?MAKONGORO: Mimi si...
11 years ago
Mwananchi07 May
Ni ‘vita’ baina ya serikali na wananchi na siyo upinzani
9 years ago
Habarileo12 Nov
Mshirika wa Lowassa atuhumiwa siyo raia
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na Idara ya Uhamiaji nchini, wanafanya uchunguzi kuhusu tuhuma zinazomkabili mwanaharakati na mshirika wa aliyekuwa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa, Bashir Awale anayetuhumiwa kuwa Mkenya.
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
Wanaomwamini Lowassa wampe uongozi wa Chadema siyo Tanzania
MOJAWAPO ya mambo ya kutisha zaidi kutoka katika historia ya kisiasa ya nchi yetu ni hii hamasa a
Lula wa Ndali Mwananzela
10 years ago
Vijimambo31 Jul
LOWASSA KWENDA UKAWA SAWA ILA WANASIASA SIYO WA KUWAAMINI!
![](http://api.ning.com/files/NQ48wH9Dt2S7tbojn0lFTm*KtRBJ9uPFs1OH-bfgRfm*SOSwlQsiIYEThvDWtpCrk9pkHdeefQH6SSt*v65UlZaiwwT41oMz/lowassaakizungumza.jpg?width=650)
HAKUNA adui wala rafiki wa kudumu katika siasa. Huu ni msemo ulioasisiwa na mwanadiplomasia wa Israel, Avil Primor ambaye amepata kufanya kazi katika nchi mbalimbali duniani, ikiwemo ubalozi wa nchi yake nchini Ujerumani (1993-99) na katika Umoja wa Ulaya (1987-91).
Alitoa kauli hiyo alipokuwa akizungumzia urafiki kati ya nchi yake na Iran ulivyokuwa. Kabla ya mapinduzi ya nchi hiyo ya Kiarabu ambayo ni taifa la Kiislamu mwaka 1979 yaliyomuweka...
9 years ago
Mwananchi01 Oct
MCHANGO WA MAWAZO : Siyo ubaya wa Lowassa wala uzuri wa Dk Magufuli
9 years ago
Mtanzania18 Dec
Kardashian: Nimepoteza kilo 7 baada ya kujifungua
CHICAGO, MAREKANI
NI siku 10 tangu Kim Kardashian apate mtoto wa pili, lakini mrembo huyo amesema kwa sasa amepungua uzito wa kilo 7 tangu alipojifungua.
Mrembo huyo wakati ana ujauzito wa mtoto wake, Saint alikuwa na uzito wa kilo 86, lakini baada ya kujifungua amejikuta akipoteza kilo 7 na anadai bado ataendelea kupunguza ili awe kama wakati anaolewa na mume wake, Kanye West.
“Wakati ninaolewa na Kanye West nilikuwa na uzito wa kilo 53, lakini nilipopata ujauzito wa Saint kilo zilizidi...