Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kardashian: Nimepoteza kilo 7 baada ya kujifungua

kimCHICAGO, MAREKANI

NI siku 10 tangu Kim Kardashian apate mtoto wa pili, lakini mrembo huyo amesema kwa sasa amepungua uzito wa kilo 7 tangu alipojifungua.

Mrembo huyo wakati ana ujauzito wa mtoto wake, Saint alikuwa na uzito wa kilo 86, lakini baada ya kujifungua amejikuta akipoteza kilo 7 na anadai bado ataendelea kupunguza ili awe kama wakati anaolewa na mume wake, Kanye West.

“Wakati ninaolewa na Kanye West nilikuwa na uzito wa kilo 53, lakini nilipopata ujauzito wa Saint kilo zilizidi...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

KARDASHIAN AAJIRI MTAALAM AMPUNGUZE KILO SABA ALIZOONGEZEKA

MWANAMITINDO na mwigizaji Kim Kardashian wa Marekani anasemekana ameongezeka uzito wa kilo 15 na hivyo amemwajiri mtaalam ambaye amempa jukumu la kuhakikisha uzito huo wa ziada unaondoka.
Mtaalam huyo ameajiriwa ili amfundishe jinsi ya kupika chakula bora zaidi kwa ajili ya familia hiyo akiwemo mtoto wake wa kike mwenye umri wa miaka 19 aitwaye North.Mrembo huyo mwenye umri wa miaka 34 na mke wa mwanamuziki maarufu Kanye West, alisema: “Nimeanza kutafuta mtaalam wa mambo ya chakula kwani...

 

10 years ago

GPL

KARDASHIAN AAJIRI MTAALAM AMPUNGUZE KILO SABA ALIZOONGEZEKA

Mwanamitindo na mwigizaji  wa Marekani, Kim Kardashian akiwa na mtaalam huyo ameajiriwa ili amfundishe jinsi ya kupika chakula bora zaidi. MWANAMITINDO na mwigizaji Kim Kardashian wa Marekani anasemekana ameongezeka uzito wa kilo 15 na hivyo amemwajiri mtaalam ambaye amempa jukumu la kuhakikisha uzito huo wa ziada unaondoka. Mtaalam huyo ameajiriwa ili amfundishe jinsi ya kupika chakula bora zaidi kwa ajili ya familia hiyo...

 

10 years ago

Bongo5

Kim Kardashian anatarajia kujifungua mtoto wake wa pili siku ya Christmas

Rapper Kanye West na mkewe Kim Kardashian ambaye ni mjamzito wanatarajia kumpokea mdogo wake na North siku ya Christmas, ambapo Kim ndio anatarajia kujifungua. Kwa mujibu wa TMZ, Kim K anatarajia kujifungua mtoto wake wa pili Dec. 25. Vyanzo vya karibu vimedia kuwa couple hiyo tayari ime ‘book’ Deluxe Maternity Suite kwenye hospitali ya Cedars-Sinai […]

 

10 years ago

Bongo5

Kim Kardashian ataja jina alilomchagulia mtoto anayetarajia kujifungua, japo hana uhakika kama Kanye atalipenda

Baada ya familia ya Kanye West na Kim Kardashian kushare na ulimwengu jinsia ya mtoto wanayetarajia kumpata siku ya Christmas kuwa ni wa kiume, sasa kinachofata ni jina. Staa wa reality show ya KUWTK, Kim K (34) amesema kuwa kuna jina ambalo yeye binafsi angependa kumwita mwanaye pindi atakapozaliwa ambalo ni Easton, lakini hana uhakika […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ugonjwa wa akili baada ya kujifungua

“HALI mbaya zaidi inayoweza kutokea baada ya mjamzito  kujifungua ni ugonjwa wa akili, ijapokuwa huo si ugonjwa wa kawaida sana,” linaeleza Jarida la Brazilian Journal of Medical. Mgonjwa anaweza kuona,...

 

10 years ago

Vijimambo

MTOTO ATUPWA CHOO BAADA YA KUJIFUNGUA

kuradhi kwa picha hii hivi ndivyo wasamalia wema waliowenza kumpoa mtoto huyo kwenye shimo la choo.
Tukio hili la kusikitisha limetokea Mkoani Iringa ambapo mwanamke mmoja alijifungua mtoto na kisha kumdumbukiza katika tundu la choo. Mtoto huyo alizaliwa nyumbani sio hospitali baadae siku ya tarehe 04/11/2014 mama huyo alimdumbukiza kichanga hicho mwenye jinsia ya Kiume chooni.

Mama huyo alietambulika kwa jina la Magdalena inasemekana lengo kuu la kufanya kitendo hiko cha kikatili ni kuficha...

 

10 years ago

Bongo Movies

Aunt Ezekiel Kuja na Hii Baada ya Kujifungua

Baada ya hivi karibuni kupata jina jipya la mama cookie, staa  wa bongo  movies, Aunt Ezekiel amesema amejipanga  kurudi kwa kishindo  kwenye bongo movies baada ya lengo lake hilo kutimia.

Akizungumza na gazeti la Nipashe Aunt amabaye amejifungua  mwezi uluopita alisema amejipanga kutoa filamu amabayo itahusu  maswala ya wazazi  ili kueleimisha  wanawake  wenye tabia ya kutupu watoto  wachanga mara baada ya kujifungua.

Aidha amesema  huchukia wanaume wenye kuwapa mimba wanawake kisha...

 

10 years ago

CloudsFM

Baada ya Frolah Mvungi kujifungua,ajipanga kuachia filamu mbili

Baada ya kujifungua mtoto wa kiume aitwaye Afrika,mwigizaji wa filamu za Kibongo,Florah Mvungi amejipanga kuachia filamu mbili kwa mpigo.

Mume wa msanii huyo,msanii H.Baba akizungumza kwa niaba ya mkewe alisema kuwa kwa sasa yeye na mkewe ni muda wao wa kufanya kazi kwani wana mpango wa kuachia filamu mbili mpya kwa mpigo ambazo hajazitaja jina.

‘Unajua tulipanga tuzae watoto wawili tunashukuru mipango yetu imetimia sasa ni muda wa kufanya kazi,nitaachia ngoma yangu mpya hivi karibuni na...

 

9 years ago

MillardAyo

Mwendelezo wa Hekaheka ya mama aliyetelekezwa na mume baada ya kujifungua.. (+Audio)

Hii stori ya ‘Hekaheka‘ ilianza kusikika jana December 22 2015 ambapo mwanamke alikuwa na malalamiko ya kukimbiwa na mpenzi wake baada ya kujifungua Dar es Salaam.. kibaya zaidi ni kwamba mwanamke huyo hakuwa anafahamiana na ndugu yoyote wa mwanaume huyo. Kikubwa kwa sasa mwanamke huyo aliongea kwamba anahitaji msaada wa vitu vingi ikiwemo makazi ya […]

The post Mwendelezo wa Hekaheka ya mama aliyetelekezwa na mume baada ya kujifungua.. (+Audio) appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani