KARDASHIAN AAJIRI MTAALAM AMPUNGUZE KILO SABA ALIZOONGEZEKA
Mtaalam huyo ameajiriwa ili amfundishe jinsi ya kupika chakula bora zaidi kwa ajili ya familia hiyo akiwemo mtoto wake wa kike mwenye umri wa miaka 19 aitwaye North.

CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
KARDASHIAN AAJIRI MTAALAM AMPUNGUZE KILO SABA ALIZOONGEZEKA
9 years ago
Mtanzania18 Dec
Kardashian: Nimepoteza kilo 7 baada ya kujifungua
CHICAGO, MAREKANI
NI siku 10 tangu Kim Kardashian apate mtoto wa pili, lakini mrembo huyo amesema kwa sasa amepungua uzito wa kilo 7 tangu alipojifungua.
Mrembo huyo wakati ana ujauzito wa mtoto wake, Saint alikuwa na uzito wa kilo 86, lakini baada ya kujifungua amejikuta akipoteza kilo 7 na anadai bado ataendelea kupunguza ili awe kama wakati anaolewa na mume wake, Kanye West.
“Wakati ninaolewa na Kanye West nilikuwa na uzito wa kilo 53, lakini nilipopata ujauzito wa Saint kilo zilizidi...
11 years ago
Bongo505 Jul
Ndoto iliyotimia: Kanye West adai aliomba kumuoa Kim Kardashian miaka saba iliyopita
10 years ago
Bongo506 Feb
Baghdad: Kutoka kuwa kibonge mwenye kilo 150 hadi kuwa na kilo 80 (Picha)
5 years ago
Michuzi
KILO YA UFUTA YANUNULIWA KWA BEI YA JUU YA SH.2,172 KWA KILO-NDIKILO

Tani zilizokwenda sokoni zimenunuliwa kupitia mfumo wa sanduku (box) kwa wateja watatu waliojitokeza tofauti na matarajio ya wengi kuwa tani nyingi zingenunuliwa kupitia mfumo wa kielektronik wa TMX ambapo amejitokeza mteja mmoja kwa mkoa wa Pwani kwa bei ya sh.1,952 ukilinganisha na minada...
5 years ago
Showbiz Cheat Sheet27 Mar
Kardashian Fans Think Kourtney and Kim Kardashian are the Most 'Naturally Beautiful' of Their Sisters
5 years ago
Cosmopolitan.Com05 Apr
Kim Kardashian and Kourtney Kardashian Are "Embarrassed" About Their 'KUWTK' Fight
10 years ago
VijimamboIMARISHENI MAPATO YA NDANI KWA MAENDELEO YENU-MTAALAM
Na...
9 years ago
Bongo521 Dec
Sakata la TBC kurusha harusi live: Mtaalam wa habari na aliyefanya kazi hapo afanunua kama ni kosa!

Serikali imeliagiza shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kutoa maelezo ya kina baada ya kurusha matangazo ya moja kwa moja sherehe za harusi kwa zaidi ya saa mbili, jambo lilihojiwa na wananchi maeneo mbalimbali hasa katika mitandao ya jamii.
Serikali imechukua hatua hiyo baada ya kupata malalamiko mengi kwa kile kilichokuwa kinarushwa na Kituo cha Televisheni cha TBC1 cha shirika hilo linaloendeshwa kwa ruzuku kutoka Serikalini.
Agizo hilo limetolewa jana na Waziri wa Habari, Utamaduni,...