Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KARDASHIAN AAJIRI MTAALAM AMPUNGUZE KILO SABA ALIZOONGEZEKA

MWANAMITINDO na mwigizaji Kim Kardashian wa Marekani anasemekana ameongezeka uzito wa kilo 15 na hivyo amemwajiri mtaalam ambaye amempa jukumu la kuhakikisha uzito huo wa ziada unaondoka.
Mtaalam huyo ameajiriwa ili amfundishe jinsi ya kupika chakula bora zaidi kwa ajili ya familia hiyo akiwemo mtoto wake wa kike mwenye umri wa miaka 19 aitwaye North.Mrembo huyo mwenye umri wa miaka 34 na mke wa mwanamuziki maarufu Kanye West, alisema: “Nimeanza kutafuta mtaalam wa mambo ya chakula kwani...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KARDASHIAN AAJIRI MTAALAM AMPUNGUZE KILO SABA ALIZOONGEZEKA

Mwanamitindo na mwigizaji  wa Marekani, Kim Kardashian akiwa na mtaalam huyo ameajiriwa ili amfundishe jinsi ya kupika chakula bora zaidi. MWANAMITINDO na mwigizaji Kim Kardashian wa Marekani anasemekana ameongezeka uzito wa kilo 15 na hivyo amemwajiri mtaalam ambaye amempa jukumu la kuhakikisha uzito huo wa ziada unaondoka. Mtaalam huyo ameajiriwa ili amfundishe jinsi ya kupika chakula bora zaidi kwa ajili ya familia hiyo...

 

9 years ago

Mtanzania

Kardashian: Nimepoteza kilo 7 baada ya kujifungua

kimCHICAGO, MAREKANI

NI siku 10 tangu Kim Kardashian apate mtoto wa pili, lakini mrembo huyo amesema kwa sasa amepungua uzito wa kilo 7 tangu alipojifungua.

Mrembo huyo wakati ana ujauzito wa mtoto wake, Saint alikuwa na uzito wa kilo 86, lakini baada ya kujifungua amejikuta akipoteza kilo 7 na anadai bado ataendelea kupunguza ili awe kama wakati anaolewa na mume wake, Kanye West.

“Wakati ninaolewa na Kanye West nilikuwa na uzito wa kilo 53, lakini nilipopata ujauzito wa Saint kilo zilizidi...

 

11 years ago

Bongo5

Ndoto iliyotimia: Kanye West adai aliomba kumuoa Kim Kardashian miaka saba iliyopita

Kanye West na Kim Kardashian walifunga ndoa May 24 huko Florence, Italy lakini miaka mingi iliyopita Kanye alikuwa anamzimikia Kim japo hakufanikiwa kuwa naye. Akitumbuiza kwenye tamasha la Wireless Ijumaa hii jijini London, rapper huyo kama kawaida yake alisimamisha show na kuongea mambo mbalimbali likiwemo suala la ubaguzi kwenye fashion. Lakini pia Yeezus alizungumza kuhusu […]

 

10 years ago

Bongo5

Baghdad: Kutoka kuwa kibonge mwenye kilo 150 hadi kuwa na kilo 80 (Picha)

Rapper na mtangazaji wa kituo cha EFM, Baghdad amepunguza takriban nusu ya uzito wake. Kutoka kuwa kibonge mwenye kilo 150 hadi kuwa na kilo 80! Baghdad enzi akiwa mnene Baghdad alivyo sasa “Yaweza kukuchukua muda kuelewa ka ukielewa ukasindwa kuamini haswa utakapostaajabu kuona picha mbili za mtu mmoja. Nilikuwa na kilo 150 now 80, size […]

 

5 years ago

Michuzi

KILO YA UFUTA YANUNULIWA KWA BEI YA JUU YA SH.2,172 KWA KILO-NDIKILO

 Na Mwamvua Mwinyi, PwaniMKOA wa Pwani ,umefanya mnada wa kwanza wa zao la kibiashara la ufuta ,na kufanikiwa kuu tani 1,231 kati ya tani 3,118 zilizokwenda sokoni kwa bei ya juu ya sh.2,172 kwa kilo moja.
Tani zilizokwenda sokoni zimenunuliwa kupitia mfumo wa sanduku (box) kwa wateja watatu waliojitokeza tofauti na matarajio ya wengi kuwa tani nyingi zingenunuliwa kupitia mfumo wa kielektronik wa TMX ambapo amejitokeza mteja mmoja kwa mkoa wa Pwani kwa bei ya sh.1,952 ukilinganisha na minada...

 

5 years ago

Showbiz Cheat Sheet

Kardashian Fans Think Kourtney and Kim Kardashian are the Most 'Naturally Beautiful' of Their Sisters

Kardashian Fans Think Kourtney and Kim Kardashian are the Most 'Naturally Beautiful' of Their Sisters  Showbiz Cheat SheetKourtney Kardashian Reacts Kylie Jenner & Travis Scott Getting Exposed By Mason Disick  HollywoodLifeWhy Kourtney Kardashian Made Mason Disick Delete His Instagram  E! NEWSMason Disick just spilled the tea about Kylie Jenner and Travis Scott  cosmopolitan.comKim Kardashian Shades Kylie Jenner & Kendall Jenner In New Video  HollywoodLifeView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Cosmopolitan.Com

Kim Kardashian and Kourtney Kardashian Are "Embarrassed" About Their 'KUWTK' Fight

Kim Kardashian and Kourtney Kardashian Are "Embarrassed" About Their 'KUWTK' Fight  Cosmopolitan.comKhloé Kardashian would ‘demolish Kourtney if they ever fight  Geo NewsKourtney Kardashian and Scott Disick's Co-Parenting Might Be 'Just For Show' According to Fans  Showbiz Cheat SheetKendall Jenner thinks Kourtney Kardashian’s breakup with Scott Disick is the reason behind her family feud  PINKVILLAKourtney Kardashian defends her stance on motherhood: ‘raising children is a job  Geo NewsView...

 

10 years ago

Vijimambo

IMARISHENI MAPATO YA NDANI KWA MAENDELEO YENU-MTAALAM

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Bibi Dorothy Mwanyika akichangia majadiliano kuhusu ukusanyaji wa mapato ya ndani kwajili ya maendeleo wakati wa mkutano unaoendelea hapa Umoja wa Mataifa wa maandalizi ya Mkutano wa Tatu wa Kimataifa kuhusu uwezeshaji wa raslimalifedha kwa maendeleo endelevu baada ya 2015. Mkutano huo utafanyika mapema mwakani huko Adds Ababa, Ethiopia.Sehemu ya washiriki wa mada kuhusu mapato ya ndani wakifuatilia mchango na Tanzania pamoja na wachangiaji wengine.
Na...

 

9 years ago

Bongo5

Sakata la TBC kurusha harusi live: Mtaalam wa habari na aliyefanya kazi hapo afanunua kama ni kosa!

tbc.

Serikali imeliagiza shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kutoa maelezo ya kina baada ya kurusha matangazo ya moja kwa moja sherehe za harusi kwa zaidi ya saa mbili, jambo lilihojiwa na wananchi maeneo mbalimbali hasa katika mitandao ya jamii.

tbc.

Serikali imechukua hatua hiyo baada ya kupata malalamiko mengi kwa kile kilichokuwa kinarushwa na Kituo cha Televisheni cha TBC1 cha shirika hilo linaloendeshwa kwa ruzuku kutoka Serikalini.

Agizo hilo limetolewa jana na Waziri wa Habari, Utamaduni,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani