Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sakata la TBC kurusha harusi live: Mtaalam wa habari na aliyefanya kazi hapo afanunua kama ni kosa!

tbc.

Serikali imeliagiza shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kutoa maelezo ya kina baada ya kurusha matangazo ya moja kwa moja sherehe za harusi kwa zaidi ya saa mbili, jambo lilihojiwa na wananchi maeneo mbalimbali hasa katika mitandao ya jamii.

tbc.

Serikali imechukua hatua hiyo baada ya kupata malalamiko mengi kwa kile kilichokuwa kinarushwa na Kituo cha Televisheni cha TBC1 cha shirika hilo linaloendeshwa kwa ruzuku kutoka Serikalini.

Agizo hilo limetolewa jana na Waziri wa Habari, Utamaduni,...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

TBC kikaangoni kwa kurusha harusi ‘live’

Serikali imeliagiza Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kutoa maelezo ya kina baada ya kurusha matangazo ya moja kwa moja sherehe za harusi kwa zaidi ya saa mbili, jambo lilihojiwa na wananchi maeneo mbalimbali hasa katika mitandao ya jamii.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TBC kurusha ‘live’ Kombe la Dunia

SHIRIKA la Utangazaji la Taifa (TBC), linatarajia kurusha moja kwa moja ‘live’ mashindano ya Kombe la Dunia kwa mechi zote 64 zitakazochezwa nchini Brazil. Michuano hiyo inatarajia kuanza kutimua vumbi...

 

10 years ago

Vijimambo

BWANA HARUSI AANGUKA KIFAFA KABLA YA HARUSI, ALIMFICHA MKEWE MTARAJIWA KAMA ANAANGUKA, MKE AAMUA KUOLEWA NA MWINGINE PAPO KWA PAPO

Bi harusi mmoja kaskazini mwa nchi ya India alifanya maamuzi ya papo kwa hapo kuolewa na mmoja wa wageni waliofika kushereheka naye katika harusi yake baada ya mumewe kuugua ghafla.Mwanamke huyo ajulikanaye kama Indra anayetokea Rampur jimbo la Uttar Pradesh, inaelezwa kuwa sekunde chache kabla ya ndoa ya wawili hao mume akaanguka kifafa, na hivyo kumlazimu kuondoka harusini na kwenda kumwona daktari.Bi harusi Indra, alishikwa na hasira ya hali ya juu, kwakuwa mume alimficha juu ya hali...

 

10 years ago

Vijimambo

VIJIMAMBO KURUSHA LIVE RAIS UHURU KENYATTA ATAKAPOONGEA NA WAKENYA NEW YORK ALHAMISI

Siku ya Alhamisi Sept 25, 2014 Rais Uhuru Kenyatta ataongea na Wakenya waishio New York na vitongoji vyake na Vijimambo Blog itarusha LIVE tukio hilo kuanzia saa 11:30 jioni ET.

 

9 years ago

Africanjam.Com

RADIO: SIKILIZA HAPA TBC FM "LIVE"








Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

11 years ago

KwanzaJamii

Tuchangie Maendeleo Kama Tunavyochangia Harusi

Na Daniel Mbega HIVI karibuni nilikuwa jijini Dar es Salaam na nikapata fursa Jumamosi kwenda pale Msimbazi Centre nyakati za jioni. Mandhari ya eneo hili wakati huu wa jioni huwa yamebadilika mno tofauti na nyakati za asubuhi au mchana. Uwanja wote mbele ya ukumbi huu mkubwa kabisa wa Marantha ulikuwa umefurika watu kweli kweli, wameketi vikundi vikundi. Awali nilidhani kuna sherehe kubwa hapa wakati wenyeji wangu waliponiambia nitawakuta pale, lakini nikaambiwa vikundi hivyo ninavyoviona...

 

10 years ago

GPL

JAMANI! NDOA ISISHIKILIWE KAMA GAUNI LA HARUSI

NIAlhamisi tena ambayo huwa nakutana na nyie wasomaji wangu ninaowapenda sana.Leo nataka kuzungumza na wanandoa. Ndiyo maana nimeanza kwa kusema hapo juu kuwa, ndoa isishikiliwe kama gauni la harusi. Katika ndoa kuna raha na karaha au shida. Kumbuka kuwa wewe mwanandoa uliapa utaishi na mwenzako katika maisha yote. Hicho kiapo ulikitoa kanisani au msikitini tena kwa kuulizwa mara tatu. Ndoa ni daraja. Kama zima unatakiwa kulivuka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani