Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ugonjwa wa akili baada ya kujifungua

“HALI mbaya zaidi inayoweza kutokea baada ya mjamzito  kujifungua ni ugonjwa wa akili, ijapokuwa huo si ugonjwa wa kawaida sana,” linaeleza Jarida la Brazilian Journal of Medical. Mgonjwa anaweza kuona,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Ugonjwa wa akili waathiri uchumi Australia

Magonjwa ya akili huathiri sana uchumi wa Australia na hivyobasi huduma zinahitaji kuangaziwa upya kulingana na waziri mkuu Malcolm Turnbull.

 

9 years ago

Mtanzania

Kardashian: Nimepoteza kilo 7 baada ya kujifungua

kimCHICAGO, MAREKANI

NI siku 10 tangu Kim Kardashian apate mtoto wa pili, lakini mrembo huyo amesema kwa sasa amepungua uzito wa kilo 7 tangu alipojifungua.

Mrembo huyo wakati ana ujauzito wa mtoto wake, Saint alikuwa na uzito wa kilo 86, lakini baada ya kujifungua amejikuta akipoteza kilo 7 na anadai bado ataendelea kupunguza ili awe kama wakati anaolewa na mume wake, Kanye West.

“Wakati ninaolewa na Kanye West nilikuwa na uzito wa kilo 53, lakini nilipopata ujauzito wa Saint kilo zilizidi...

 

10 years ago

Vijimambo

MTOTO ATUPWA CHOO BAADA YA KUJIFUNGUA

kuradhi kwa picha hii hivi ndivyo wasamalia wema waliowenza kumpoa mtoto huyo kwenye shimo la choo.
Tukio hili la kusikitisha limetokea Mkoani Iringa ambapo mwanamke mmoja alijifungua mtoto na kisha kumdumbukiza katika tundu la choo. Mtoto huyo alizaliwa nyumbani sio hospitali baadae siku ya tarehe 04/11/2014 mama huyo alimdumbukiza kichanga hicho mwenye jinsia ya Kiume chooni.

Mama huyo alietambulika kwa jina la Magdalena inasemekana lengo kuu la kufanya kitendo hiko cha kikatili ni kuficha...

 

10 years ago

Bongo Movies

Aunt Ezekiel Kuja na Hii Baada ya Kujifungua

Baada ya hivi karibuni kupata jina jipya la mama cookie, staa  wa bongo  movies, Aunt Ezekiel amesema amejipanga  kurudi kwa kishindo  kwenye bongo movies baada ya lengo lake hilo kutimia.

Akizungumza na gazeti la Nipashe Aunt amabaye amejifungua  mwezi uluopita alisema amejipanga kutoa filamu amabayo itahusu  maswala ya wazazi  ili kueleimisha  wanawake  wenye tabia ya kutupu watoto  wachanga mara baada ya kujifungua.

Aidha amesema  huchukia wanaume wenye kuwapa mimba wanawake kisha...

 

10 years ago

CloudsFM

Baada ya Frolah Mvungi kujifungua,ajipanga kuachia filamu mbili

Baada ya kujifungua mtoto wa kiume aitwaye Afrika,mwigizaji wa filamu za Kibongo,Florah Mvungi amejipanga kuachia filamu mbili kwa mpigo.

Mume wa msanii huyo,msanii H.Baba akizungumza kwa niaba ya mkewe alisema kuwa kwa sasa yeye na mkewe ni muda wao wa kufanya kazi kwani wana mpango wa kuachia filamu mbili mpya kwa mpigo ambazo hajazitaja jina.

‘Unajua tulipanga tuzae watoto wawili tunashukuru mipango yetu imetimia sasa ni muda wa kufanya kazi,nitaachia ngoma yangu mpya hivi karibuni na...

 

9 years ago

MillardAyo

Mwendelezo wa Hekaheka ya mama aliyetelekezwa na mume baada ya kujifungua.. (+Audio)

Hii stori ya ‘Hekaheka‘ ilianza kusikika jana December 22 2015 ambapo mwanamke alikuwa na malalamiko ya kukimbiwa na mpenzi wake baada ya kujifungua Dar es Salaam.. kibaya zaidi ni kwamba mwanamke huyo hakuwa anafahamiana na ndugu yoyote wa mwanaume huyo. Kikubwa kwa sasa mwanamke huyo aliongea kwamba anahitaji msaada wa vitu vingi ikiwemo makazi ya […]

The post Mwendelezo wa Hekaheka ya mama aliyetelekezwa na mume baada ya kujifungua.. (+Audio) appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Mwanamke alivyokimbiwa na mume baada ya kujifungua Muhimbili Dar… #Hekaheka (+Audio)

Hii stori imesikika kwenye show ya ‘Leo Tena‘ Clouds FM ambapo mwanamke mmoja amekimbiwa na mumewe baada ya kujifungua hospitali ya Muhimbili Dar es Salaam. Mwanamke huyo amesema baada ya kutoka hospitali alikuta mwanaume kabeba kila kitu kwenye nyumba walipokuwa wamepanga, akakosa msaada mpaka akajitokeza mama mmoja ambaye alimsaidia kumpa hifadhi kwa muda. Japo wameishi […]

The post Mwanamke alivyokimbiwa na mume baada ya kujifungua Muhimbili Dar… #Hekaheka (+Audio) appeared first on...

 

9 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: JE KULEWA, KUTOKUWA NA AKILI TIMAMU NI KINGA BAADA YA KUTENDA JINAI

Na  Bashir  Yakub.
Wote  tunajua  kuwa  kila  atendaye  kosa  sharti  aadhibiwe.  Na  kuadhibiwa huko  lazima  kuwe  kwa  mujibu  wa  sheria.  Pamoja  na  kuwa  mtenda  kosa  hustahili  adhabu  bado  watenda  kosa  hutofautiana hadhi. Hadhi  hapa  sio  kuwa  fulani ni  mkuu  wa  mkoa  au  mkurugenzi  na  fulani  ni  mkulima  wa  kawaida kijijini  Katanakya.  
Hadhi  ndio  kama  hizo  zilizotajwa katika  kichwa  cha  makala.  Wapo  watenda  makosa   lakini  wakiwa na  umri  mdogo,  wapo...

 

9 years ago

Bongo Movies

Mwaka Huu Nimewajua Wasanii Waliokuwa na Akili na Wasiokuwa na Akili-Ray

"(FREEDOM OF SPEECH)

Kuna vitu vingi sana nimegunduakwenye uchaguzi wa mwaka huu nimewajua baadhi ya wasanii waliokuwa na akili na wasiokuwa na akili japokuwa nami nawezakuwa mmoja wapo katika hao wasiokuwa na akili. Why nasema hivi na samahani kama nitakuwa nime2mia lugha kali, Unajua nashanga sana sasa hivi kumekuwa na vita baina ya wasanii wanaosapoti (CCM) Na (UKAWA)

Jamani siasa ni democracy kila m2 ana haki yakuwa upande anayeuona yeye unamfaa. Mimi nilidhani badala ya kuwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani