Mwaka Huu Nimewajua Wasanii Waliokuwa na Akili na Wasiokuwa na Akili-Ray
"(FREEDOM OF SPEECH)
Kuna vitu vingi sana nimegunduakwenye uchaguzi wa mwaka huu nimewajua baadhi ya wasanii waliokuwa na akili na wasiokuwa na akili japokuwa nami nawezakuwa mmoja wapo katika hao wasiokuwa na akili. Why nasema hivi na samahani kama nitakuwa nime2mia lugha kali, Unajua nashanga sana sasa hivi kumekuwa na vita baina ya wasanii wanaosapoti (CCM) Na (UKAWA)
Jamani siasa ni democracy kila m2 ana haki yakuwa upande anayeuona yeye unamfaa. Mimi nilidhani badala ya kuwa na...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo502 Sep
Ray: Uchaguzi umenifanya niwajue wasanii wenye akili na wasiokuwa nazo
10 years ago
Mwananchi30 Jun
Tunapoua akili asilia na kukimbilia akili bandia
10 years ago
Bongo Movies22 Jan
Ray — “Mwaka huu filamu za nje tu, ni mwendo wa Ghana na Nigeria”
Msanii mkongwe wa filamu nchini, Vicent Kigosi a.k.a Ray amejipanga kufanya filamu nyingi za kimataifa mwaka huu, huku akiweka bayana ataanza na Ghana pamoja na Nigeria.
Kwa mujibu wa tovuti Bongo5 , Ray amesema ndani ya mwaka huu ataweka pembeni kazi za ndani na kujikita kimataifa zaidi.
“Nimepanga kufanya mambo mengi mwaka huu, lakini mwaka huu movie zangu zote nitafanya International sitafanya movie yoyote ya hapa hapa kwa sababu kama hapa nishafanya sana, kwahiyo movie zangu zote...
10 years ago
Michuzi28 Apr
wasanii 50 kuhamia mkuranga Mei MWAKA HUU
![images](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/images18.jpg)
Akizungumza katika mkutano wa wanachama uliofanyika mwishoni mwa wiki Dar es Salaam, Mwenyekiti wa SHIWATA, Cassim Taalib alisema maandalizi ya wasanii hao kuhamia kijijini yamekamilika na akiwemo yeye ataongoza msafara huo.
Alisema kati ya wasanii watakaohamia kijijini ni mchezaji wa zamani wa Simba, Dua Said...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/eL6AgHmrdiM/default.jpg)
9 years ago
BBCSwahili10 Nov
Utafiti wa matatizo ya akili
10 years ago
BBCSwahili10 Oct
Maradhi ya akili ni kero TZ
11 years ago
BBCSwahili11 Aug
10 years ago
Raia Tanzania06 Jul
Dereva teksi na akili za kuchungulia