Tunapoua akili asilia na kukimbilia akili bandia
“...Zamani tulifundishwa mbinu za kudhibiti malaria kuwa ni kuua mazalia ya mbu ili mbu wasiwepo; leo watoto wetu wanapotoshwa kuwa mbinu ya kudhibiti malaria ni kutumia chandarua.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies08 Sep
Mwaka Huu Nimewajua Wasanii Waliokuwa na Akili na Wasiokuwa na Akili-Ray
"(FREEDOM OF SPEECH)
Kuna vitu vingi sana nimegunduakwenye uchaguzi wa mwaka huu nimewajua baadhi ya wasanii waliokuwa na akili na wasiokuwa na akili japokuwa nami nawezakuwa mmoja wapo katika hao wasiokuwa na akili. Why nasema hivi na samahani kama nitakuwa nime2mia lugha kali, Unajua nashanga sana sasa hivi kumekuwa na vita baina ya wasanii wanaosapoti (CCM) Na (UKAWA)
Jamani siasa ni democracy kila m2 ana haki yakuwa upande anayeuona yeye unamfaa. Mimi nilidhani badala ya kuwa na...
10 years ago
BBCSwahili10 Oct
Maradhi ya akili ni kero TZ
9 years ago
BBCSwahili10 Nov
Utafiti wa matatizo ya akili
10 years ago
Raia Tanzania06 Jul
Dereva teksi na akili za kuchungulia
10 years ago
Mtanzania10 Jun
Mwana Fa: Kulalalala kunanipa akili
NA RHOBI CHACHA
MWANAMUZIKI Hamis Mwinyijuma ‘Mwana FA’ amethibitisha kwamba amelazimika kununua kitanda kidogo kwa ajili ya kulalia kila anapohisi hali ya usingizi bila kujali muda.
Mwana Fa alijieleza hivyo baada ya mwandishi wa habari hii kumshtukia akiwa anasinzia mara kwa mara katika mikusanyiko ya watu.
Mwana Fa alidai tabia hiyo ya kulala mara kwa mara humsaidia kupumzisha akili yake katika utungaji wa nyimbo zake.
“Si utani ‘best’ yaani mie napenda kweli kulala na ndiyo maana...
11 years ago
Habarileo27 Apr
‘Wanaotukana waasisi wapimwe akili’
MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Anna Abdallah amesema mtu yeyote anayewatukana waasisi wa Taifa, anapaswa kupimwa akili.
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Ugonjwa wa akili baada ya kujifungua
“HALI mbaya zaidi inayoweza kutokea baada ya mjamzito kujifungua ni ugonjwa wa akili, ijapokuwa huo si ugonjwa wa kawaida sana,” linaeleza Jarida la Brazilian Journal of Medical. Mgonjwa anaweza kuona,...
9 years ago
Mwananchi06 Dec
SAIKOLOJIA : Je, unajua maana ya akili?