Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunapoua akili asilia na kukimbilia akili bandia

“...Zamani tulifundishwa mbinu za kudhibiti malaria kuwa ni kuua mazalia ya mbu ili mbu wasiwepo; leo watoto wetu wanapotoshwa kuwa mbinu ya kudhibiti malaria ni kutumia chandarua.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Mwaka Huu Nimewajua Wasanii Waliokuwa na Akili na Wasiokuwa na Akili-Ray

"(FREEDOM OF SPEECH)

Kuna vitu vingi sana nimegunduakwenye uchaguzi wa mwaka huu nimewajua baadhi ya wasanii waliokuwa na akili na wasiokuwa na akili japokuwa nami nawezakuwa mmoja wapo katika hao wasiokuwa na akili. Why nasema hivi na samahani kama nitakuwa nime2mia lugha kali, Unajua nashanga sana sasa hivi kumekuwa na vita baina ya wasanii wanaosapoti (CCM) Na (UKAWA)

Jamani siasa ni democracy kila m2 ana haki yakuwa upande anayeuona yeye unamfaa. Mimi nilidhani badala ya kuwa na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Maradhi ya akili ni kero TZ

Tanzania, inasemekana kukabiliwa na uhaba wa wataalamu wa kuhudumia wagonjwa wa akili kutokana na idadi ya wagonjwa wenyewe

 

9 years ago

BBCSwahili

Utafiti wa matatizo ya akili

Watafiti nchini Uingereza wanasema, kuongezeka kwa vitendo viovu, kunaweza kuwa dalili za mwanzo za matatizo ya akili.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Dereva teksi na akili za kuchungulia

HABARI za siku tele abiria wa teksi yangu hii, ambayo hata hivyo, kwa muda mrefu imekuwa katika mkwamo kuanzia wa kutokukamilika kwa matengenezo kule gereji hadi kufanya malipo kwa ajili ya leseni hizi kadhaa ambazo ni lazima niwe nazo kama dereva teksi.

Lakini salamu pia kwenu ninyi ambao si abiria wa teksi yangu, kuanzia ninyi wenye usafiri binafsi na wale wenzangu na mimi, wenye kutegemea zaidi usafiri wa umma kama daladala, na hata wale wengine watumiaji wa bajaji au...

 

10 years ago

Mtanzania

Mwana Fa: Kulalalala kunanipa akili

MWANAFANA RHOBI CHACHA
MWANAMUZIKI Hamis Mwinyijuma ‘Mwana FA’ amethibitisha kwamba amelazimika kununua kitanda kidogo kwa ajili ya kulalia kila anapohisi hali ya usingizi bila kujali muda.
Mwana Fa alijieleza hivyo baada ya mwandishi wa habari hii kumshtukia akiwa anasinzia mara kwa mara katika mikusanyiko ya watu.
Mwana Fa alidai tabia hiyo ya kulala mara kwa mara humsaidia kupumzisha akili yake katika utungaji wa nyimbo zake.
“Si utani ‘best’ yaani mie napenda kweli kulala na ndiyo maana...

 

11 years ago

Habarileo

‘Wanaotukana waasisi wapimwe akili’

Anna AbdallahMJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Anna Abdallah amesema mtu yeyote anayewatukana waasisi wa Taifa, anapaswa kupimwa akili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ugonjwa wa akili baada ya kujifungua

“HALI mbaya zaidi inayoweza kutokea baada ya mjamzito  kujifungua ni ugonjwa wa akili, ijapokuwa huo si ugonjwa wa kawaida sana,” linaeleza Jarida la Brazilian Journal of Medical. Mgonjwa anaweza kuona,...

 

9 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : Je, unajua maana ya akili?

Siku moja niliwakuta walimu watatu wakibishana kuhusu uwezo wa wanafunzi wao. Mmoja alisema John ana akili zaidi kuliko Ali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani