Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Wanaotukana waasisi wapimwe akili’

Anna AbdallahMJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Anna Abdallah amesema mtu yeyote anayewatukana waasisi wa Taifa, anapaswa kupimwa akili.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wanaobeza mafanikio ya CCM wapimwe akili

MKUU wa Wilaya ya Rombo, Lebris Kipuyo amesema mtu ambaye anasema CCM haijafanya chochote ana matatizo ya akili na anatakiwa kufikishwa katika Hospitali ya Wagonjwa wa Akili ya Mirembe kupima akili yake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaong’ang’ania mabondeni wapimwe akili

HAWA wanaong’ang’ania kuishi mabondeni wachunguzwe kwa sababu huenda wakawa wana matatizo ya kiakili. Inabidi iwe hivyo kwa sababu haiwezekani matatizo yanayowakumba wakati wa mvua mara kwa mara, hurudi tena mvua...

 

9 years ago

Bongo Movies

Mwaka Huu Nimewajua Wasanii Waliokuwa na Akili na Wasiokuwa na Akili-Ray

"(FREEDOM OF SPEECH)

Kuna vitu vingi sana nimegunduakwenye uchaguzi wa mwaka huu nimewajua baadhi ya wasanii waliokuwa na akili na wasiokuwa na akili japokuwa nami nawezakuwa mmoja wapo katika hao wasiokuwa na akili. Why nasema hivi na samahani kama nitakuwa nime2mia lugha kali, Unajua nashanga sana sasa hivi kumekuwa na vita baina ya wasanii wanaosapoti (CCM) Na (UKAWA)

Jamani siasa ni democracy kila m2 ana haki yakuwa upande anayeuona yeye unamfaa. Mimi nilidhani badala ya kuwa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaotukana bungeni wamelaaniwa?

KABLA ya yote, nilitamani viongozi wa dini waliopo ndani ya Bunge Maalumu la Katiba akiwemo Askofu mstaafu Donald Mtetemela, Mchungaji Getrude Lwakatare na wengine, wangetafakari maandiko haya na kwanini wanalaani...

 

10 years ago

Mwananchi

Tunapoua akili asilia na kukimbilia akili bandia

“...Zamani tulifundishwa mbinu za kudhibiti malaria kuwa ni kuua mazalia ya mbu ili mbu wasiwepo; leo watoto wetu wanapotoshwa kuwa mbinu ya kudhibiti malaria ni kutumia chandarua.

 

11 years ago

Habarileo

Wanaotukana, kutumia vibaya mitandao kukiona

WIZARA ya Mawasiliano Sayansi na Teknolojia imeamua kudhibiti wanaotumia vibaya mitandao kwa kuweka picha zisizo na maadili kwa jamii, wanaotumia lugha ya matusi na wanaoiba kupitia mitandao.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wenger ataka wachezaji wapimwe vizuri

Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger anataka vipimo bora vya dawa za kusisimua misuli kuchukuliwa mara kwa mara miongoni mwa wachezaji.

 

9 years ago

Raia Mwema

Mawaziri wapya wapimwe kwa muda

KAMA kuna uteuzi ambao unasubiriwa kwa hamu kufanywa na Rais Dk.

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Mwananchi

TCIB: Wagombea uchaguzi wapimwe afya

Kituo cha Taarifa kwa Wananchi (TCIB), kimeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kubadilisha mfumo wa uendeshaji Uchaguzi Mkuu ikiwamo kuweka kipengele kitakachowalazimisha wagombea wa nafasi za uongozi kupima afya zao ili kuepuka kuchaguliwa viongozi wenye maradhi yatakayowafanya washindwe kumudu majukumu yao ya kazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani