Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TCIB: Wagombea uchaguzi wapimwe afya

Kituo cha Taarifa kwa Wananchi (TCIB), kimeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kubadilisha mfumo wa uendeshaji Uchaguzi Mkuu ikiwamo kuweka kipengele kitakachowalazimisha wagombea wa nafasi za uongozi kupima afya zao ili kuepuka kuchaguliwa viongozi wenye maradhi yatakayowafanya washindwe kumudu majukumu yao ya kazi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WAGOMBEA CCM WARUHUSIWE KUPITAPITA ILI WAPIMWE

Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere. Leo tunakutana tena nikiamini kwamba wasomaji wote wa safu hii hamjambo, Mungu azidi kutuongoza katika njia ya kweli. Ni marufuku kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) kujitangaza kugombea nafasi yoyote ya uongozi katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Huo ndiyo mwongozi wa chama tawala ambao nitauchambua hapa. Ukweli ni kwamba idadi ya wanaotaka kugombea nafasi ya urais inaongezeka siku hadi...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Watakaopitishwa kugombea Urais wote wapimwe afya zao kwanza’

Wagombea nafasi ya urais  kwenye Uchaguzi Mkuu ujao wameshauriwa kupima afya zao kabla ya kuingia kwenye kinyang’anyiro hicho, ili kuepuka gharama za matibabu ya mara kwa mara za kiongozi huyo mkubwa wa nchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Wagombea urais wapime afya zao

Ni wazo ambalo limekuwa, lakini halizungumzwi bayana, lakini Jukwaa la Katiba lilidiriki kuweka bayana kuwa wagombea wa urais kwenye Uchaguzi Mkuu ujao, wapime afya zao kabla ya kuingia kwenye kinyang’anyiro hicho.

 

10 years ago

Habarileo

Jukwaa la Katiba lataka wagombea kupima afya

Mwenyekiti wa Jukata, Deus KibambaJUKWAA la Katiba nchini (JUKATA) limesema katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa taifa, ipo haja ya wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi kupimwa afya zao na kutangazwa kwa wananchi ili kuepuka kuwaweka wagonjwa madarakani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wagombea waahidi uchaguzi wa amani Nigeria

Wagombea wawili wa uchaguzi wa urais nchini Nigeria wameahidi kufanyika kwa uchaguzi wa amani.

 

11 years ago

Mwananchi

Wagombea wanne warejesha fomu za uchaguzi Kalenga

Wagombea wanne wa Ubunge Jimbo la Kalenga kupitia Vyama vya CCM, Chadema, NCCR-Mageuzi na Causta jana wamerejesha fomu za kuwania kiti cha ubunge wa jimbo hilo baada ya kukamilisha taratibu za kujaza fomu, huku wale wa CCM na Chadema wakitoa ujumbe mzito wa kuwataka wafuasi wa vyama vyao kutojihusisha na vurugu wakati wa kampeni.

 

11 years ago

Michuzi

MH.BALOZI MULAMULA AZUNGUMZA NA WAGOMBEA WA DMV NA KAMATI YA UCHAGUZI

IMG_8020Balozi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Washington Dc na Mexico Liberata Mula mula akiwa kwenye picha ya pamoja na wagombea uongozi DMV, wajumbe wa bodi na wajumbe wa tume ya uchaguzi kwenye ofisi za ubaloi Washington Dc Ijumaa Julai 18,2014. IMG_7900Mh.Balozi akifungua kikao hicho. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Habarileo

Kinana: Uchaguzi mwaka huu utakuwa wagombea na makapi

KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, utakuwa kati ya wagombea na makapi ya CCM na wananchi watachagua wagombea wa chama hicho tawala.

 

10 years ago

Mwananchi

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU: Wanaokata majina ya wagombea CCM marufuku

>Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amepiga marufuku viongozi wa chama hicho katika ngazi zinazofanya uteuzi wa wagombea kukata majina ya watu walioomba nafasi mbalimbali ili kukinusuru kisipoteze nafasi nyingi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani