TCIB: Wagombea uchaguzi wapimwe afya
Kituo cha Taarifa kwa Wananchi (TCIB), kimeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kubadilisha mfumo wa uendeshaji Uchaguzi Mkuu ikiwamo kuweka kipengele kitakachowalazimisha wagombea wa nafasi za uongozi kupima afya zao ili kuepuka kuchaguliwa viongozi wenye maradhi yatakayowafanya washindwe kumudu majukumu yao ya kazi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
WAGOMBEA CCM WARUHUSIWE KUPITAPITA ILI WAPIMWE
10 years ago
Mwananchi27 Jan
‘Watakaopitishwa kugombea Urais wote wapimwe afya zao kwanza’
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Wagombea urais wapime afya zao
10 years ago
Habarileo28 Jan
Jukwaa la Katiba lataka wagombea kupima afya
JUKWAA la Katiba nchini (JUKATA) limesema katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa taifa, ipo haja ya wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi kupimwa afya zao na kutangazwa kwa wananchi ili kuepuka kuwaweka wagonjwa madarakani.
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Wagombea waahidi uchaguzi wa amani Nigeria
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Wagombea wanne warejesha fomu za uchaguzi Kalenga
11 years ago
Michuzi21 Jul
MH.BALOZI MULAMULA AZUNGUMZA NA WAGOMBEA WA DMV NA KAMATI YA UCHAGUZI


10 years ago
Habarileo05 Aug
Kinana: Uchaguzi mwaka huu utakuwa wagombea na makapi
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, utakuwa kati ya wagombea na makapi ya CCM na wananchi watachagua wagombea wa chama hicho tawala.
10 years ago
Mwananchi07 Mar
KUELEKEA UCHAGUZI MKUU: Wanaokata majina ya wagombea CCM marufuku