Wagombea waahidi uchaguzi wa amani Nigeria
Wagombea wawili wa uchaguzi wa urais nchini Nigeria wameahidi kufanyika kwa uchaguzi wa amani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU TAMISEMI AWAASA WANASIASA,WAGOMBEA NA WASHABIKI KUENDESHA KAMPENI KWA AMANI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI Bw. Jumanne Sagini akiongea na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Desemba 14 mwaka huu ambapo amesema...
9 years ago
MichuziNkone, Lissu, Mwangila waahidi makubwa Tamasha la Amani Dar
Mwimbaji wa nyimbo za injili, John Lissu akiimba kwa hisia moja ya nyimbo zake wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, kuhusu maandalizi ya Tamasha la kuombea Amani Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25,...
11 years ago
BBCSwahili07 May
Nigeria:Polisi waahidi dola laki 3
9 years ago
Habarileo23 Oct
Waahidi kuendesha kesi za uchaguzi kwa kasi
MSAJILI Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Katarina Revocatti na Msajili wa Mahakama ya Rufaa, John Kahyoza wameahidi kuwa na kasi katika uendeshaji wa kesi zitakazojitokeza baada ya Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika keshokutwa Jumapili nchi nzima.
9 years ago
MichuziWADAU WA AMANI MKOA WA SHINYANGA WAKUTANA KUJADILI JINSI YA KUDUMISHA AMANI KIPINDI CHA UCHAGUZI
Mambo kadha wa kadha yamejadiliwa ikiwemo kuhakikisha ulinzi na usalama wa...
9 years ago
Habarileo07 Sep
Wagombea wahimizwa amani
SHEHE wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amewahimiza wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu kufanya kampeni za kistaarabu ili kulinda amani.
9 years ago
StarTV21 Oct
Waangalizi wa EAC waahidi kufanya kazi kwa kufuata sheria katika Uchaguzi mkuu.
Timu ya Waangalizi wa Uchaguzi Mkuu Tanzania kutoka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), imezinduliwa jijini Dar es Salaam na kusema itafanya kazi yake kwa kufuata sheria za nchi na kanuni za jumuiya hiyo.
Timu hiyo ina jumla ya waangalizi 67 wa kutoka nchi NNEe kati ya tano ambao ni Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi, Mwenyekiti akiwa Makamu wa Rais wa zamani wa Kenya, Moody Awori.
Waangalizi hao miongoni mwao ni wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Tume za Taifa za Uchaguzi,...
9 years ago
Habarileo19 Oct
Wagombea urais wanne wasisitiza amani, umoja
WAGOMBEA wanne wa urais wamesisitiza amani na umoja wa Tanzania, huku wakielezea kuwa baadhi ya viongozi wamekuwa chanzo cha kuibuka kwa viashiria vya ubaguzi wa kidini, ukanda na ukabila.
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Wagombea urais Nigeria mchuano ni mkali