Wagombea urais Nigeria mchuano ni mkali
Mchuano mkali upo kati ya Rais Goodluck Jonathan na Muhammudu Buhari katika kuwania urais nchini Nigeria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania17 Sep
Mchuano mkali
*Lowassa atikisa Chato, Magufuli afunika Kigoma
*Kaborou akataliwa, Duni ampigia debe Kigwangala
NA WAANDISHI WETU
SASA ni wazi kuwa mchuano wa wagombea urais wa vyama vya CCM na Chadema ni mkali, kutokana na wagombea wa vyama hivyo kuendelea kutikisa.
Hali hiyo ilidhihirika jana, baada ya mgombea urais wa Ukawa, Edward Lowassa, kupata mapokezi makubwa katika mji wa Chato, Mkoa wa Geita ambako ni nyumbani kwa mgombea urais wa CCM, Dk. John Magufuli.
Wakati Lowassa akipata mapokezi hayo,...
9 years ago
Mwananchi26 Sep
Mchuano mkali majimbo 34
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
CCM, Chadema mchuano mkali Arusha
WAKATI kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu zikishika kasi katika m
Mwandishi Wetu
10 years ago
Mtanzania30 Sep
Mchuano mkali theluthi mbili Katiba Mpya
![Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka Zanzibar, Ali Juma Khatib, akipiga kura ya ya siri kwa sura 10 za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa.](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Ali-Juma-Khatib.jpg)
Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka Zanzibar, Ali Juma Khatib, akipiga kura ya ya siri kwa sura 10 za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa.
MCHUANO mkali umeibuka bungeni jana wakati wa upigaji kura wa Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, ambapo wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka Zanzibar walipiga kura ya HAPANA
Upigaji kura ulianza jana saa 9 alasiri kwa wajumbe kupiga kura katika sura 10 na ibara 157 za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa.
Hatua hiyo ilitawaliwa na wajumbe wengi kutoka...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar18 Sep
Umoja wa Ulaya watabiri mchuano mkali CCM, UKAWA
Mwakilishi Mkazi wa Umoja wa Mataifa (UN), Alvaro Rodriguez. Na Salome Kitomary 18th September 2015 Umoja wa Ulaya (EU), umesema Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu nchini, una ushindani mkali na siyo mwepesi kama chaguzi nne zilizopita […]
The post Umoja wa Ulaya watabiri mchuano mkali CCM, UKAWA appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-XNtfzmrgWnU/VXw2bLnc1pI/AAAAAAAAJto/LTsIhT94Pyw/s72-c/1.png)
PICHA WAGOMBEA URAIS KUPITIA CCM WAKIWA KWA TB JOSHUA NIGERIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-XNtfzmrgWnU/VXw2bLnc1pI/AAAAAAAAJto/LTsIhT94Pyw/s640/1.png)
Hon. Lowassa in 2012 at TB Joshua Church!!
![](http://1.bp.blogspot.com/-6CRenwFnjuo/VXw2Ye1hP-I/AAAAAAAAJtc/EWqGG-8Kdu8/s640/2.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6Fh-NT-wXWg/VXw2acPfuwI/AAAAAAAAJtk/L7eWiggLeV8/s640/3.png)
9 years ago
Bongo Movies21 Dec
Mchuano Mkali TDFAA 2015, Jimmy Mafufu, Mike Sangu, David , Dile , Salum Chilwa
MCHUANO mkali katika kinyang’anyiro cha kugombea nafasi ya mwenyekiti wa chama cha waigizaji Taifa (TDFAA) huku wasanii wenye ushawishi kwa wasanii wenzao wakijitokeza kuchukua fomu za kugombea nafasi hiyo anasema katibu Twiza.
![Jimmy Mafufu akichukua fomu ya kugombea kutoka kwa katibu wa TDFAA Twiza Mbarouk .](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/Jimmy-Mafufu.jpg)
Jimmy Mafufu akichukua fomu ya kugombea kutoka kwa katibu wa TDFAA Twiza Mbarouk .
“Mchuano ni mkali kila mhusika amepanga kuwa ni mshindi katika kinyang’anyiro cha kugombea nafasi ya uenyekiti Kitaifa kwa chama cha Waigizaji, hadi sasa ni zaidi ya wasanii wane...
11 years ago
BBCSwahili04 May
Nigeria wafanya msako mkali Abuja
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Ndoto za wagombea urais