Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchuano mkali theluthi mbili Katiba Mpya

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka Zanzibar, Ali Juma Khatib, akipiga kura ya ya siri kwa sura 10 za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa.

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka Zanzibar, Ali Juma Khatib, akipiga kura ya ya siri kwa sura 10 za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa.

MCHUANO mkali umeibuka bungeni jana wakati wa upigaji kura wa Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, ambapo wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba  kutoka Zanzibar walipiga kura ya HAPANA

Upigaji kura ulianza jana saa 9 alasiri kwa wajumbe kupiga kura katika sura 10 na ibara 157 za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa.

Hatua hiyo ilitawaliwa na wajumbe wengi kutoka...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Theluthi mbili Zanzibar rasimu ya Katiba utata

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel SittaKAMA ilivyotarajiwa kwamba theluthi mbili ya kura za ‘Ndiyo’ kwa ajili ya kupitisha Katiba Inayopendekezwa ingeleta shida, tayari kwa idadi ya wajumbe waliokuwa ndani ya ukumbi wa Bunge jana, theluthi mbili ya wajumbe wa Zanzibar imekosekana.

 

11 years ago

Habarileo

Theluthi mbili kuelekea serikali mbili si tatizo

Makamu Mwenyekiti wa Kamati Namba 9 ya Bunge Maalumu la Katiba, William NgelejaWAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba kama wataacha ushabiki wa vyama na kujikita zaidi kwenye hoja, uwezekano wa kupatikana kwa theluthi mbili kuelekea katika mfumo wa serikali mbili upo.

 

9 years ago

Mtanzania

Mchuano mkali

MTZ Alhamisi new july.indd*Lowassa atikisa Chato, Magufuli afunika Kigoma

*Kaborou akataliwa, Duni ampigia debe Kigwangala

 

NA WAANDISHI WETU

SASA ni wazi kuwa mchuano wa wagombea urais wa vyama vya CCM na Chadema ni mkali, kutokana na wagombea wa vyama hivyo kuendelea kutikisa.

Hali hiyo ilidhihirika jana, baada ya mgombea urais wa Ukawa, Edward Lowassa, kupata mapokezi makubwa katika mji wa Chato, Mkoa wa Geita ambako ni nyumbani kwa mgombea urais wa CCM, Dk. John Magufuli.

Wakati Lowassa akipata mapokezi hayo,...

 

9 years ago

Mwananchi

Mchuano mkali majimbo 34

Wakati kampeni za Uchaguzi Mkuu zikiingia katika hatua ya lalasalama, vyama vinavyounda Ukawa na CCM vinachuana vikali kwenye majimbo 30, kwa mujibu wa uchunguzi wa Mwananchi.

 

9 years ago

Raia Mwema

CCM, Chadema mchuano mkali Arusha

WAKATI kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu zikishika kasi katika m

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

BBCSwahili

Wagombea urais Nigeria mchuano ni mkali

Mchuano mkali upo kati ya Rais Goodluck Jonathan na Muhammudu Buhari katika kuwania urais nchini Nigeria.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Umoja wa Ulaya watabiri mchuano mkali CCM, UKAWA

Mwakilishi Mkazi wa Umoja wa Mataifa (UN), Alvaro Rodriguez. Na Salome Kitomary 18th September 2015 Umoja wa Ulaya (EU), umesema Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu nchini, una ushindani mkali na siyo mwepesi kama chaguzi nne zilizopita […]

The post Umoja wa Ulaya watabiri mchuano mkali CCM, UKAWA appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Theluthi mbili inawezekana — Ngeleja

MAKAMU Mwenyekiti wa Kamati Na. 9 ya Bunge Maalumu la Katiba, William Ngeleja, amesema kuna uwezekano mkubwa wa kupata theluthi mbili ya Bara na Zanzibar kuelekea mfumo wa serikali mbili....

 

10 years ago

StarTV

Theluthi mbili yaanza kutafutwa Dodoma.

UPIGAJI kura kupata Katiba Inayopendekezwa, unatarajiwa kuanza leo ambapo wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walio bungeni na nje ya Bunge, watapiga kura ya kuikubali, au kuikataa kwa njia ya wazi na siri.

Kwa wajumbe watakaokuwa nje ya ukumbi huo, wakiwemo watakaokuwa nje ya nchi, tayari utaratibu wa kupiga kura popote walipo kwa njia ya nukushi (faksi) na intaneti, umeshaandaliwa.

Akizungumza bungeni juzi wakati wa kuhitimisha mjadala wa mapendekezo ya mabadiliko ya Rasimu katika Katiba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani