Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM, Chadema mchuano mkali Arusha

WAKATI kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu zikishika kasi katika m

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Umoja wa Ulaya watabiri mchuano mkali CCM, UKAWA

Mwakilishi Mkazi wa Umoja wa Mataifa (UN), Alvaro Rodriguez. Na Salome Kitomary 18th September 2015 Umoja wa Ulaya (EU), umesema Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu nchini, una ushindani mkali na siyo mwepesi kama chaguzi nne zilizopita […]

The post Umoja wa Ulaya watabiri mchuano mkali CCM, UKAWA appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mwananchi

‘Mchuano CCM, Chadema hautabiriki’-Sungusia

Mkurugenzi wa Utetezi  wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Harold Sungusia amesema matokeo ya awali ya wagombea nafasi ya urais kupitia CCM na Chadema yanadhihirisha kuwa demokrasia ya nchi sasa imekomaa.

 

9 years ago

Mtanzania

Mchuano mkali

MTZ Alhamisi new july.indd*Lowassa atikisa Chato, Magufuli afunika Kigoma

*Kaborou akataliwa, Duni ampigia debe Kigwangala

 

NA WAANDISHI WETU

SASA ni wazi kuwa mchuano wa wagombea urais wa vyama vya CCM na Chadema ni mkali, kutokana na wagombea wa vyama hivyo kuendelea kutikisa.

Hali hiyo ilidhihirika jana, baada ya mgombea urais wa Ukawa, Edward Lowassa, kupata mapokezi makubwa katika mji wa Chato, Mkoa wa Geita ambako ni nyumbani kwa mgombea urais wa CCM, Dk. John Magufuli.

Wakati Lowassa akipata mapokezi hayo,...

 

9 years ago

Mwananchi

Mchuano mkali majimbo 34

Wakati kampeni za Uchaguzi Mkuu zikiingia katika hatua ya lalasalama, vyama vinavyounda Ukawa na CCM vinachuana vikali kwenye majimbo 30, kwa mujibu wa uchunguzi wa Mwananchi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wagombea urais Nigeria mchuano ni mkali

Mchuano mkali upo kati ya Rais Goodluck Jonathan na Muhammudu Buhari katika kuwania urais nchini Nigeria.

 

10 years ago

Mtanzania

Mchuano mkali theluthi mbili Katiba Mpya

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka Zanzibar, Ali Juma Khatib, akipiga kura ya ya siri kwa sura 10 za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa.

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka Zanzibar, Ali Juma Khatib, akipiga kura ya ya siri kwa sura 10 za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa.

MCHUANO mkali umeibuka bungeni jana wakati wa upigaji kura wa Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, ambapo wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba  kutoka Zanzibar walipiga kura ya HAPANA

Upigaji kura ulianza jana saa 9 alasiri kwa wajumbe kupiga kura katika sura 10 na ibara 157 za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa.

Hatua hiyo ilitawaliwa na wajumbe wengi kutoka...

 

9 years ago

Bongo Movies

Mchuano Mkali TDFAA 2015, Jimmy Mafufu, Mike Sangu, David , Dile , Salum Chilwa

MCHUANO mkali katika kinyang’anyiro cha kugombea nafasi ya mwenyekiti wa chama cha waigizaji Taifa (TDFAA) huku wasanii wenye ushawishi kwa wasanii wenzao wakijitokeza kuchukua fomu za kugombea nafasi hiyo anasema katibu Twiza.

Jimmy Mafufu akichukua fomu ya kugombea kutoka kwa katibu wa TDFAA Twiza Mbarouk .

Jimmy Mafufu akichukua fomu ya kugombea kutoka kwa katibu wa TDFAA Twiza Mbarouk .

“Mchuano ni mkali kila mhusika amepanga kuwa ni mshindi katika kinyang’anyiro cha kugombea nafasi ya uenyekiti Kitaifa kwa chama cha Waigizaji, hadi sasa ni zaidi ya wasanii wane...

 

10 years ago

Raia Mwema

CCM na Chadema ‘waungana’ Arusha

MAHASIMU wa kisiasa, Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama Cha Demokarisa na Maendeleo (Chadema) mko

Paul Sarwatt

 

10 years ago

Habarileo

JK afurahishwa mchuano CCM

Rais Jakaya Kikwete na Linda Thomas- Greenfield(kushoto)RAIS Jakaya Kikwete ameelezea kufurahishwa na wingi wa wagombea waliojitokeza kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, akisema ni jambo zuri na ni ushahidi wa kiasi cha uhuru ambao umejengeka katika chama hicho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani