JK afurahishwa mchuano CCM
RAIS Jakaya Kikwete ameelezea kufurahishwa na wingi wa wagombea waliojitokeza kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, akisema ni jambo zuri na ni ushahidi wa kiasi cha uhuru ambao umejengeka katika chama hicho.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi26 Oct
‘Mchuano CCM, Chadema hautabiriki’-Sungusia
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
CCM, Chadema mchuano mkali Arusha
WAKATI kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu zikishika kasi katika m
Mwandishi Wetu
9 years ago
Mzalendo Zanzibar18 Sep
Umoja wa Ulaya watabiri mchuano mkali CCM, UKAWA
Mwakilishi Mkazi wa Umoja wa Mataifa (UN), Alvaro Rodriguez. Na Salome Kitomary 18th September 2015 Umoja wa Ulaya (EU), umesema Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu nchini, una ushindani mkali na siyo mwepesi kama chaguzi nne zilizopita […]
The post Umoja wa Ulaya watabiri mchuano mkali CCM, UKAWA appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mtanzania17 Sep
Mchuano mkali
*Lowassa atikisa Chato, Magufuli afunika Kigoma
*Kaborou akataliwa, Duni ampigia debe Kigwangala
NA WAANDISHI WETU
SASA ni wazi kuwa mchuano wa wagombea urais wa vyama vya CCM na Chadema ni mkali, kutokana na wagombea wa vyama hivyo kuendelea kutikisa.
Hali hiyo ilidhihirika jana, baada ya mgombea urais wa Ukawa, Edward Lowassa, kupata mapokezi makubwa katika mji wa Chato, Mkoa wa Geita ambako ni nyumbani kwa mgombea urais wa CCM, Dk. John Magufuli.
Wakati Lowassa akipata mapokezi hayo,...
9 years ago
Mwananchi26 Sep
Mchuano mkali majimbo 34
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Wagombea urais Nigeria mchuano ni mkali
11 years ago
BBCSwahili06 Jun
FIFA yatangaza imani na mchuano Brazil
11 years ago
BBCSwahili11 Mar
Tanzania nje ya mchuano wa Raga Bamburi
10 years ago
BBCSwahili25 Sep
Waaga mchuano baada ya kuagizwa kuvua hijab