Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania nje ya mchuano wa Raga Bamburi

Timu 6 pekee zitashiriki mchuano wa raga ya wachezaji 15 kila upande wa Bamburi Super Series . Timu kutoka Tanzania imeachwa nje.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Mchuano mkali

MTZ Alhamisi new july.indd*Lowassa atikisa Chato, Magufuli afunika Kigoma

*Kaborou akataliwa, Duni ampigia debe Kigwangala

 

NA WAANDISHI WETU

SASA ni wazi kuwa mchuano wa wagombea urais wa vyama vya CCM na Chadema ni mkali, kutokana na wagombea wa vyama hivyo kuendelea kutikisa.

Hali hiyo ilidhihirika jana, baada ya mgombea urais wa Ukawa, Edward Lowassa, kupata mapokezi makubwa katika mji wa Chato, Mkoa wa Geita ambako ni nyumbani kwa mgombea urais wa CCM, Dk. John Magufuli.

Wakati Lowassa akipata mapokezi hayo,...

 

10 years ago

Habarileo

JK afurahishwa mchuano CCM

Rais Jakaya Kikwete na Linda Thomas- Greenfield(kushoto)RAIS Jakaya Kikwete ameelezea kufurahishwa na wingi wa wagombea waliojitokeza kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, akisema ni jambo zuri na ni ushahidi wa kiasi cha uhuru ambao umejengeka katika chama hicho.

 

9 years ago

Mwananchi

Mchuano mkali majimbo 34

Wakati kampeni za Uchaguzi Mkuu zikiingia katika hatua ya lalasalama, vyama vinavyounda Ukawa na CCM vinachuana vikali kwenye majimbo 30, kwa mujibu wa uchunguzi wa Mwananchi.

 

10 years ago

Michuzi

MABALOZI WA TANZANIA NJE YA NCHI WATEMBELEA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA


Pichani ni Mabalozi wa Tanzania Nje ya Nchi Waliotembelea Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wa kwanza kushoto ni Balozi wa Tanzania Ubeligiji, Luxembourg na Jumuiya ya Ulaya Balozi Dr. Diodorus Buberwa Kamala.

 

5 years ago

BBCSwahili

Gazeti Tanzania Daima lapigwa marufuku kuchapishwa na kusambazwa ndani na nje ya Tanzania

Idara ya habari Maelezo nchini Tanzania, imepiga marufuku gazeti la Tanzania Daima kuchapishwa na kusambazwa popote nchini au nje ya nchi kufuatia uamuzi wa kusitisha leseni ya uchapishaji na usambazaji wa gazeti hilo la kila siku.

 

11 years ago

BBCSwahili

FIFA yatangaza imani na mchuano Brazil

Shirikisho la soka duniani Fifa limesema kuwa lina iamni kombe la dunia Brazil litakuwa na ufanisi mkubwa

 

9 years ago

Mwananchi

‘Mchuano CCM, Chadema hautabiriki’-Sungusia

Mkurugenzi wa Utetezi  wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Harold Sungusia amesema matokeo ya awali ya wagombea nafasi ya urais kupitia CCM na Chadema yanadhihirisha kuwa demokrasia ya nchi sasa imekomaa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wagombea urais Nigeria mchuano ni mkali

Mchuano mkali upo kati ya Rais Goodluck Jonathan na Muhammudu Buhari katika kuwania urais nchini Nigeria.

 

9 years ago

Raia Mwema

CCM, Chadema mchuano mkali Arusha

WAKATI kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu zikishika kasi katika m

Mwandishi Wetu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani